Arteta wamekataa bana 10mil + bendtner wamepiga chini
masaa machache yamebaki wenger anahangaika na kamkoba cha bajeti .. hehehehe
![]()
Arteta anataka 90,000 kwa wiki na hio haiwezekani kwa umri wake kwani ana 29.
Per Mertesacker ana miaka 26 na ametaka 80,000 na Arsenal wamekubali kwahio utaona difference mkuu.
#skysources - Arsenal are back in for Everton's Mikel Arteta. We hear a £10m bid has been accepted, terms are the issue #ssn #deadlineday
skynews wame tweet just now breaking news.. everton wamekubali kumuachia arteta .. more news to folllow wanasema stay tuned
yeah...naona BBC wanaripoti kuwa Arteta ameomba kuondoka Everton, jambo lililowashawishi Arsenal kuendelea na mazungumzo!skynews wame tweet just now breaking news.. everton wamekubali kumuachia arteta .. more news to folllow wanasema stay tuned
Thats it.
Arsenal muda mfupi ujao itatangaza kuwasajili wachezaji Yosi Benayoun na Mikael Arteta.
Arteta bado anataka zaidi ya 80,000 lakini inaweza kumalizwa na Wenger mwenyewe ame-sanction paundi milioni 12 zilipwe kwa Everton.
Yosi Benayoun ambae ni muisraeli inabidi ashughulikiwe suala la kibali cha kufanya kazi ambacho bado kina jina la Chelsea kama mwajiri na inabidi Chelsea waiambie UK Border Agency kwamba Benayoun anabadili jina la mwajiri kuwa Arsenal na hiyo ni kesho lakini kila kitu tayari.
..mkuu uko chumba cha majadiliano nini?