Mida hii mkuu ilibidi uwe bize na mumeo na sio kuwa bize na sisi washika mitutuNa mtakoma
Benchi hakai
Na akidaka lazima apate dakika 2,3 za kupooza njaa kikipanda kichaa
Umejuaje kama sikuwa bize naye?Mida hii mkuu ilibidi uwe bize na mumeo na sio kuwa bize na sisi washika mitutu
Sibishani na watu ambao hata top5 hawapoHuyo chelsea mbovu we ulimfunga ngapi?
Kwani nimebishana au nimekuuliza swali?Sibishani na watu ambao hata top5 hawapo
Hivi vitakwimu ndiyo vinawatia ujinga watu.
Dah unabembeleza kujibiwa 😂Kwani nimebishana au nimekuuliza swali?
Kwahiyo akizidisha usumbufu unamuweka ignore list?Sibishani na watu ambao hata top5 hawapo
Usumbufu gani wakati hata top5 hayupo🤣Kwahiyo akizidisha usumbufu unamuweka ignore list?
Pambaneni kwanza hadi mfike top5Kwani nimebishana au nimekuuliza swali?
Nina mashaka na zile blichi anazoweka.. wachezaji wa Chelsea wanafikirisha sana na vibuno vyao!Huyu Reece James huo ulimi na alivyoinama huyu hajaleave group kweli?
View attachment 2814007
Bora asichezeKocha wa Ufaransa anasema Saliba hua hajiulizi ikiwa atacheza weekend akiwa Arsenal hali hua tofauti akiwa France, hivyo kisaikolojia hayupo sawa.
Wadau wametafsiri kwamba Didier anasema hawezi kumpanga Saliba kwakua he is too good kwenye klabu yake.
Wengine wamehoji best defender kwenye EPL amekua kwenye kikosi cha msimu ligue 1 na EPL unashindwaje kumpa namba?
Wengine wamesema bora asicheze ili asiumie
Saka kakosa mechi 1
Martinelli 2
kinachowakocost makocha wa timu tunazokutana nazo UEFA, hawajifunzi kwa makocha wa EPL basi wajifunze hata kwa Pep hawa kina Saka na Nell wanakabwaje?
Wanakabwa na wachezaji wawili hadi watatuwao wanazani ni kina Antony hao eeh
View attachment 2813127
Klopp alimpigia simu Arteta akamuambia 'kijana naomba upambane nae huyu jini kipara, mimi mwendo nimeumaliza.'Hamuwezi kumfunga city timu inaruhusu Sana nafasi
Nyie miaka 8 mnafukuzana na pep mmeambulia 1,
Subiri sisi tuanze kumpika ,vijana washakomaa
Naona sasa Liverkuku wamerudi kundini umepata ujasiri ya kuja huku kwa genuine challengersKitambo sana sijapita huku Title contenders,Wasindikizaji FC😂
Nimeshatia nanga...hata mnifukize siondoki.
Hata mkimkanda,Bado sisi tutakuwa kileleni.
Marasi wenyewe wanaijeria aka matapeli wakuu wa dunia. Utakuta wako hapo darajani wanaanda long con ya kupiga hela za Boehly na kuoa wanawake wa kizungu. Mpira kwao ni by the way tu.Nina mashaka na zile blichi anazoweka.. wachezaji wa Chelsea wanafikirisha sana na vibuno vyao!
Na sasa hivi hao wenye vibuno wakiweka kambi hotel wanachanganywa na lile group la marasi wakiongozwa na Disasi, Oguchukwu na Chukwemeka.
Hiki kitu kinatushagnaza sana. Arteta tulihisi anauwezo mdogo kwa sababu ya kukosa uzoefu kama manager, hivyo tukaona tumpe muda ingawa tulipaza sana sauti afukuzwe pia. Klopp na Ten Hag walikuja na uzoefu wa kuwa mabingwa walikotoka hivyo mategemeo ya watu juu yao. Nahisi, deep down, issue ya Ten Hag siyo yeye kufanya vibaya, amefanya vizuri tu kama si sana, bali ni kuwa wengine kama Arteta wamefanya vizuri zaidi kwenye ligi. Hicho ndicho kinampa pressure kutoka kwa mashabiki ya United kwa maoni yangu.