Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyny mbona mnaamini mtamaliza top 4...kitu ambacho ni ndoto za mchana
Top foo ni kitu kidogo sana kwa Man Utd.
Masingeli anaiaminisha misukule ya humu kua CL ndio kombe rahisi kubeba kuliko makombe yote, nimemuuliza kama ni rahisi timu yako ya Arsenyau tokea imeanzishwa mpaka sasa hivi ina makombe mangapi ya CL?
Mpaka leo hajanijibu zaidi ya kuniwekea tu takwimu za Kai Harvez anavyo interchange position na kuwin duel.
 
Top foo ni kitu kidogo sana kwa Man Utd.
Masingeli anaiaminisha misukule ya humu kua CL ndio kombe rahisi kubeba kuliko makombe yote, nimemuuliza kama ni rahisi timu yako ya Arsenyau tokea imeanzishwa mpaka sasa hivi ina makombe mangapi ya CL?
Mpaka leo hajanijibu zaidi ya kuniwekea tu takwimu za Kai Harvez anavyo interchange position na kuwin duel.
Mmeshinda kwa papatupapatu kwa Luton tayari ushaanza kuiona top 4


Nyie mnachekesha Sana ,top 4 mnaingia kwa kumtoa nani


Wazee wakuburuza mkia UCL
20231111_134444.jpg
 
Eti Newcastle ana consistency kuliko Arsenal


Kuna watu wanavuta bangi aisee

Timu inaburuza mkia UCL
 
Eti Newcastle ana consistency kuliko Arsenal


Kuna watu wanavuta bangi aisee

Timu inaburuza mkia UCL
Yaani Hawa Bournemouth wanavyocheza utadhani wao ndo wamefungwa wanatafuta goli la kusawazisha🤠🤠🤠...yle bwana mdgo huwa anatukosea sana kuja kubishana na kaka zake humu ndani
 
Eti Newcastle ana consistency kuliko Arsenal


Kuna watu wanavuta bangi aisee

Timu inaburuza mkia UCL
Hao mbwa ile nguvu walioitumia kwenye game dhidi yetu ni nyingi sana, kwa mtu ambae hua anafuatlia mechi zao sio jambo la kawaida kabisa,
Ile game tu ni kama walicheza game 5 kwa siku moja mpaka leo wapo hoi wachezaji hata game ya,Dortmund walikua hoi kabisa, ndo tatizo la kukamia game za wakubwa rejea game vs Man city nguvu waliyotuma japo walifungwa 1-0 game zilizofuata walipoteza game mbili mfululizo kama hiki hiki juzi wamepoteza na dortmond na leo karudisha chenji
 
Hao mbwa ile nguvu walioitumia kwenye game dhidi yetu ni nyingi sana, kwa mtu ambae hua anafuatlia mechi zao sio jambo la kawaida kabisa,
Ile game tu ni kama walicheza game 5 kwa siku moja mpaka leo wapo hoi wachezaji hata game ya,Dortmund walikua hoi kabisa, ndo tatizo la kukamia game za wakubwa rejea game vs Man city nguvu waliyotuma japo walifungwa 1-0 game zilizofuata walipoteza game mbili mfululizo kama hiki hiki juzi wamepoteza na dortmond na leo karudisha chenji
Yule forward wao baunsa sijui leo kwann hajacheza angewasaidia🤠🤠...na Bruno naye sijui kwann hajacheza...Man of the Match leo ni kipa wao...maana kawaokoa na aibu ya kipigo cha mbwa koko
 
Unaongelea consistency mbele ya Newcastle na unaifananisha na westbrom kweli ? Hio case study mbona ya magumashi kiasi icho.

Ngoja nikufundishe kidogo hapa kwenye 10 last game za Newcastle ni hizi
1:Newcastle vs man city 1:0
2:Newcastle vs burnley 2:0
3:Newcastle vs PSG 4:1
4:westham vs Newcastle 2:2
5:Newcastle vs crystal 4:0
6:Newcastle vs Dortmund 0:1
7:wolves vs Newcastle 2:2
8:man utd vs Newcastle 0:3
9:Newcastle vs Arsenal 1:0
10: Dortmund vs Newcastle 2:0

Twende kwa Arsenal
1:Brentford vs Arsenal 0:1
2:Bournemouth vs Arsenal 0:4
3:Lens vs Arsenal 2:1
4:Arsenal vs man city 1:0
5:chelsea vs Arsenal 2:2
6:sevilla vs Arsenal 1:2
7:Arsenal vs Sheffield 5:0
8:westham vs Arsenal 3:1
9:Newcastle vs Arsenal 1:0
10: Arsenal vs sevila 2:0

Katika game 10 ume loss game 3 na Newcastle 2 sasa hizo midteam zilizomfunga Newcastle ni zipi?
Ninarudia tena

Nyukesto ni westham yenye hela.

Chura kabisa.

Eti Nyukesto ana consistency kuzidi Arsenal.

Na ole wako ujibu bila kunitag 😂
 
Back
Top Bottom