Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ninarudia tena

Nyukesto ni westham yenye hela.

Chura kabisa.

Eti Nyukesto ana consistency kuzidi Arsenal.

Na ole wako ujibu bila kunitag

Au sio, wewe ulimfunga huyo Newcastle? Tumepokea matokeo kwa mikono 2 bila lawama yoyote.

Lineups ya Newcastle leo kwanzia midfielders na frontline wamecheza second choice.

Tuna injuries zaidi ya 11 ambapo watu 6 ni first choice ndani ya team .

Tumekubali kabisa injuries ni part ya game ila subiri nyinyi false hopers mpate injuries visingizio vitakuwa vingi mara ooh tungebeba angekuwepo saliba mara jesus .
 
shida kubwa ni false hopes ndugu yangu, au wewe hujamsikia Masingeli anavyo waaminisha mashabiki humu waanze kabisa kushangilia makombe yao wakati ligi inaendelea?
Masingeli anakwambia SuperComputer tayari imeshawapea Arsenyo ushindi wa mezani wa CL, PL na FA.
Masingelea amewahakikishia watu humu kua msimu huu Arsenyo anachukua treble. View attachment 2810885
Wewe ni simply Msengerema. Usipende kuwazoea Wanaume rijali
 
Hao mbwa ile nguvu walioitumia kwenye game dhidi yetu ni nyingi sana, kwa mtu ambae hua anafuatlia mechi zao sio jambo la kawaida kabisa,
Ile game tu ni kama walicheza game 5 kwa siku moja mpaka leo wapo hoi wachezaji hata game ya,Dortmund walikua hoi kabisa, ndo tatizo la kukamia game za wakubwa rejea game vs Man city nguvu waliyotuma japo walifungwa 1-0 game zilizofuata walipoteza game mbili mfululizo kama hiki hiki juzi wamepoteza na dortmond na leo karudisha chenji
Intensity ilikuwa kubwa Sana

Arsenal ishaundwa kucheza kwa intensity ile ile week and week

Hao Kenge washukuru International break

Siuliona hata Kenge FC baada ya kucheza na Arsenal ,kilichofata ni kipigo
 
Nyota wangu wa mchezo leo ni Zinchenko.
It was one of Oleksandr Zinchenko’s best performances in an Arsenal shirt today against Burnley.

  • 90 minutes played
  • 116 touches
  • 94 passes
  • 2 key passes
  • 100% long ball accuracy
  • 1 goal
  • 100% dribble success
  • 7 aerial duels won
  • 7 ground duels won
  • 5 tackles

Incredible from the Ukrainian.
 
Au sio, wewe ulimfunga huyo Newcastle? Tumepokea matokeo kwa mikono 2 bila lawama yoyote.

Lineups ya Newcastle leo kwanzia midfielders na frontline wamecheza second choice.

Tuna injuries zaidi ya 11 ambapo watu 6 ni first choice ndani ya team .

Tumekubali kabisa injuries ni part ya game ila subiri nyinyi false hopers mpate injuries visingizio vitakuwa vingi mara ooh tungebeba angekuwepo saliba mara jesus .
Ona huyu😀😀😀...nilikwambia ndani ya mechi 2 zijazo gepu litafunguka kwa Point 7 na yameshatokea....hivi kwli kbsa leo hii Manunu anakuwa juu yenu??...nilikwambia nyie mtaenda kuwafata wenzenu kina Fulham huko chinichini na ndo kinachotokea...na bdo mtadundwa sana kuku nyny
 
Au sio, wewe ulimfunga huyo Newcastle? Tumepokea matokeo kwa mikono 2 bila lawama yoyote.

Lineups ya Newcastle leo kwanzia midfielders na frontline wamecheza second choice.

Tuna injuries zaidi ya 11 ambapo watu 6 ni first choice ndani ya team .

Tumekubali kabisa injuries ni part ya game ila subiri nyinyi false hopers mpate injuries visingizio vitakuwa vingi mara ooh tungebeba angekuwepo saliba mara jesus .
Timu inayolalamikia injuries ni liva, united na nyukesto. Wakati mnashinda kwa nyumbu ulikua busy kusifia kikosi kua cha second choice na kimemfunga nyumbu.

Mpaka sasa hivi nyukesto kaifunga arsenal mara 4, Arsenal kaifunga nyukesto mara 21.

Sasa trace back msimu ambao mlikua fit kisha taja kikombe mlichochukua. Chochote tu.
 
Timu inayolalamikia injuries ni liva, united na nyukesto. Wakati mnashinda kwa nyumbu ulikua busy kusifia kikosi kua cha second choice na kimemfunga nyumbu.

Mpaka sasa hivi nyukesto kaifunga arsenal mara 4, Arsenal kaifunga nyukesto mara 21.

Sasa trace back msimu ambao mlikua fit kisha taja kikombe mlichochukua. Chochote tu.
Arsenal tuna injury 6 kubwa Halafu bado tunaongoza UCL group

Tupo kwa mbio za ubingwa

Nacheka Lakini naogopa watakaporejea


Timber
Smith Rowe
Martin Ødegaard
Partey
Ben White
Jesus


Mtu akikuambia wana injury mnase vibao
 
Yule nyumbu aliyekuwa anatukana tayari kashakula ban ya mwaka mmoja

Aje na akaunti nyingine Tena
 
The Gunners wamemuweka Douglas Luiz kuwa target ya kwanza.

Hata hivyo, Luiz atalazimika kuomba kutaka kuhama ikiwa anataka kupata nafasi ya kujiunga na Arsenal - kwani Aston Villa hawana nia ya kumuuza.

[@RyanTaylorSport]
 
Brazil wamesisitiza Gabriel Jesus kujiunga na timu ya taifa na wanataka kumtathmini akiwa Brazil.

Arsenal hawajapendezwa na timu ya taifa ya Brazil , Wanaonekana kuvunja mahusihano kati ya pande zote mbili
 
Trosaard

"Kila wakati Bukayo anapopata mpira najua ninahitaji kufanya mikimbio."
20231109_150254.jpg
 
Back
Top Bottom