Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnaosema Havertz kaimprove sijaona sehemu yoyote aliyoimprove.
Kwa mfano Hamis anasema jamaa anakava pengo la Martin lakini Martin angekua ameshamtest kipa ashajaribu kutoa assist, ashadrop kwa mid, kafanya dribbles na take ons za kutosha.

Nafikiri improvement yake ni kupunguza errors. Kocha anatoa maneno positive hoping yatamjenga na confidence
 
20231111_190104.jpg
 
Kwa mfano Hamis anasema jamaa anakava pengo la Martin lakini Martin angekua ameshamtest kipa ashajaribu kutoa assist, ashadrop kwa mid, kafanya dribbles na take ons za kutosha.

Nafikiri improvement yake ni kupunguza errors. Kocha anatoa maneno positive hoping yatamjenga na confidence
Ngoja tuone mwisho wake ila sidhani kama hii couple ya Arteta na Kai ikidumu.

1st half yote yeye ndie anaeongoza kuwaangusha mwenzie. Anapewa mipira akiwa kwenye position nzuri at the end anaku disappoint. Pengine Arteta hayaoni yote haya!
 
Burnley wamejitahidi sana kucheza kwa nidhamu, na hivyo ndio inavyotakiwa ukicheza na arsenal

Lakini FIMBO zipo pale pale
Hapo hatujaweka mid uliyosuggest.

Anyway, tuone VAR itachosema
 
Back
Top Bottom