In fact sisi msimu wetu utaanza January sasa hivi ni kumaintain kutoachwa points nyingi na wa kwanza.Arsenal tuna injury 6 kubwa Halafu bado tunaongoza UCL group
Tupo kwa mbio za ubingwa
Nacheka Lakini naogopa watakaporejea
Timber
Smith Rowe
Martin Ødegaard
Partey
Ben White
Jesus
Mtu akikuambia wana injury mnase vibao
Hapana, bado hatujakamata form ya msimu uliopitaMko vizuri kwa sasa.
tatizo mna mdomo sana.
Aaaaaaf. Nimekufananisha na mshkaji wa Newcastle, die hard fan.Mko vizuri kwa sasa.
tatizo mna mdomo sana.
Aaah me natokea winners family.Aaaaaaf. Nimekufananisha na mshkaji wa Newcastle, die hard fan.
Safi SanaYule nyumbu aliyekuwa anatukana tayari kashakula ban ya mwaka mmoja
Aje na akaunti nyingine Tena

Hawa madogo wanaivunja hiyo recordBukayo Saka amesaidia mabao yote sita(6) ya Leandro Trossard msimu huu.
Mesut Ozil anashikilia rekodi ya Arsenal kwa kutoa pasi nyingi zaidi kwa mchezaji mmoja katika msimu mmoja (7).View attachment 2811094
Mchezaji wao jana alitaka kupigana na shabiki anajitetea et tuna injury nyingi, huu si ni utoto na kuwavunjia heshima wachezaji wengine waliopata nafasi ambao tuliambiwa wanakikosi kipana kuliko sisi.Arsenal tuna injury 6 kubwa Halafu bado tunaongoza UCL group
Tupo kwa mbio za ubingwa
Nacheka Lakini naogopa watakaporejea
Timber
Smith Rowe
Martin Ødegaard
Partey
Ben White
Jesus
Mtu akikuambia wana injury mnase vibao
Yan hadi captain timu wako anatoa utetez kwa maahabiki wao nusura wazichape et tuna injury nyingi .Timu inayolalamikia injuries ni liva, united na nyukesto. Wakati mnashinda kwa nyumbu ulikua busy kusifia kikosi kua cha second choice na kimemfunga nyumbu.
Mpaka sasa hivi nyukesto kaifunga arsenal mara 4, Arsenal kaifunga nyukesto mara 21.
Sasa trace back msimu ambao mlikua fit kisha taja kikombe mlichochukua. Chochote tu.
Hahaha kumbe tatizo ni mdomo tu basi?Mko vizuri kwa sasa.
tatizo mna mdomo sana.
Yule nyumbu aliyekuwa anatukana tayari kashakula ban ya mwaka mmoja
Aje na akaunti nyingine Tena



Mchezaji wao jana alitaka kupigana na shabiki anajitetea et tuna injury nyingi, huu si ni utoto na kuwavunjia heshima wachezaji wengine waliopata nafasi ambao tuliambiwa wanakikosi kipana kuliko sisi.

.Daaah. Yaani unacompare beki aliyecheza mechi moja na striker aliyecheza mechi 8? 😂😂😂Mmeshinda kwa papatupapatu kwa Luton tayari ushaanza kuiona top 4
Nyie mnachekesha Sana ,top 4 mnaingia kwa kumtoa nani
Wazee wakuburuza mkia UCLView attachment 2810960
Kenge ni wabishi sana bro. Si unajua Hawa ndiyo wale mpaka damu itoke? Niliwaonyesha ki graphic kilichoonyesha kuwa hata magoli ya dhidi yetu waliyafunga vipindi sisi ndiyo tunadominate mchezo. Yaani walibahatisha tu. Lakini waambie hivyo kama watakuelewaKenge huna uwezo wakumpiga msako Arsenal
Ulichofanikiwa ulipata chance you ,
Ile game zingeongezwa dakika 10 mlikuwa mfe chuma ya 3
Mkiambiwa nyny ni watoto wadogo muwe mnaelewa🤠🤠🤠...na bdo mje kucheza na viwete wenzetu kina Chelkenge na Spurs wawabonde...nilikuambia mechi 2 zijazo gepu litafunguka kwa point 7 na ishatokea....Sasa bdo nyngine ya kuwafata kina Fulham huko chinichini...Trippier analalamika Wana injuries nyingi kwani wale wanaocheza ni viwete🤠🤠...yaani Bournemouth mnashindwa kushikilia bomba hata mpate draw...wiki ilopita mlicheza na Manunu mkawaonea na kikosi chenu cha tatu sijui ukatutambia hmu...jana mmekutana na madongo janja kipa akawaokoa na fedheha ya kula Tano🤠🤠🤠...na bdoSasa injuries 5 ambazo watu 2 tu ndo first 11 ndo mnataja hapa et smith rowe.
Injuries tulizonazo Newcastle ni zina impact kubwa kwa timu kama unabisha ngoja nikufafunilie hapa
Isak na wilson hawa wawili wanacheza position 1 ambapo wote hawa hawapo na hakuna mchezaji yoyote wa arsenal ambae amewafikia magoli hawa wawili (7+6) .
Unaleta injuries za watu 5 against 12 injuries ! Miley ni third choice ameanza kutokana na first & second choice wote kuwa injuries.
Third choices walioanza game ya jana kutokana na first & second choice ya jana kutokuwepo ( Miley, Ritchie, Parkinson)
Results tumeipokea kwa mikono miwili kabisa na hatuna wasiwasi na position yetu hapo juu.