Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani mechi nzima Wolves anaonekana anatafuta kitu ila kushut ndiyo anaremba, anakuja kushut goli la kwanza.

Anashut tena la pili. Namuangalia kipa wa Spurs anavyoshangaa
Mimi mwenyewe nilijua watashinda hii mechi sema wamechelewa tu kupata ushindi.
 
Yaani mechi nzima Wolves anaonekana anatafuta kitu ila kushut ndiyo anaremba, anakuja kushut goli la kwanza.

Anashut tena la pili. Namuangalia kipa wa Spurs anavyoshangaa
Aisee wale Wolves siku tutakayocheza nao tujiandae....Wana ball carriers wengi sana na Wana physicality ya ajabu🤠🤠🤠..leo Spurs kilichomkuta na ile Angeball Yao hawatasahau
 
Aisee wale Wolves siku tutakayocheza nao tujiandae....Wana ball carriers wengi sana na Wana physicality ya ajabu🤠🤠🤠..leo Spurs kilichomkuta na ile Angeball Yao hawatasahau
Advantage yetu ni kwamba wasiwe na ST wa uhakika kama leo. Pia naamini tunaweza kumiliki mpira kuzidi Spurs, entire time Spurs analazimishwa kucheza kaunta siyo jambo dogo
 
Kai angekuwa hivo unavyodai asingecheza na kupata nafasi ,

Wewe kubali labda uelewa wako mdogo tu, usitake kulazimisha kuwa Kai Ni mchezaji wa ovyo

Hajafanya vzr Sana ,lakin tayari ameshaanza ku click

Halafu unataja majina tu Kova ,amefanya Nini hapo mancity


Kama hujui kwanini Arteta alitoa €65m kwa Kai hutajua Tena


Hao unaowataja wangeweza kukusaidia kutumika LCM,RCM na CF?

Mpaka msimu huu bado hatukuwa na proper RCM wakumsaidia Øde ,amejaribiwa Vieira kaonekana anafit zaidi LCM, Smith Rowe angalau alionekana anapaweza ,ila injury

Yaani thamani kwanza Ni kiraka ,wewe unakomaa tu Ni no.8
Poa haina noma
 
Sometimes hua unajiuliza ikiwa kocha/ players hawaoni unachoona.

Mfano ishu ya kushut, factors zote zinaonyesha ni hicho tu ndiyo kinahitajika ila utashangaa timu haitekelezi
 
Back
Top Bottom