Huyo jesus mwenye mapaja mengi ana goli ngapi? Jipe hopes ni kawaida yenu nyinyi tena una bahati hayupo ungekula vinu vya kutosha hio jumamos
Kuhusu nyukesto kua westham yenye hela huo siyo uongo. Yaani pamoja na hela zote kocha wa kuiepeleka nyukesto kwenye level za elites hawezi kua Howe kwa 100%.
Hata wachezaji mlionao wengi ni wa kufanya nao warm up wakati mnasubiri kwenda level za elites.
Westham katufunga Arsenal chama kubwa 3. Tumechana sana mikeka ya watu wasiojua timu yenye malengo haigombei carabao.
Hela zipi mkuu? Pesa mnazo nyinyi rice paun 100, haivertz 60 tena with huge salaries, howe hawezi ila Arteta anaweza tusubiri muda ni jibu sahihi.
Kama hawa ndo wachezaji wetu wa warm up sasa hao wenyewe wa kutupekeka huko si ni hatariii zaidiii maana hawa wachezaji wa warmup hakuna hata mchezaji mmoja wa arsenal hii ya kurusha jezi anaewafikia kwa vitu hivi vitatu @ SAVES &CLEAN SHEETS, ASSISTS na mwisho kabisa GOALS .
Kama yupo tuonyeshe kwa upande wa Goals scored hii Newcastle ya eddie howe pia imewazidi pamoja na ratiba ya kibabe iliyokuwa nayo.
Hamgombei carabao mnagombea nini au kuna arsenal mbili tofauti si jana tu arteta kasema carabao ni muhimu kama ligi au sizitakii mbichi hizi mpaka kufika may itakuwa bado tupo phase 4 makombe ni mpaka phase 7
Ana goli moja na katuweka pale nafasi ya 2...nyny mko ya ngapi mkuu
Ushaanza kuandika kishabiki.Hela zipi mkuu? Pesa mnazo nyinyi rice paun 100, haivertz 60 tena with huge salaries, howe hawezi ila Arteta anaweza tusubiri muda ni jibu sahihi.
Kama hawa ndo wachezaji wetu wa warm up sasa hao wenyewe wa kutupekeka huko si ni hatariii zaidiii maana hawa wachezaji wa warmup hakuna hata mchezaji mmoja wa arsenal hii ya kurusha jezi anaewafikia kwa vitu hivi vitatu @ SAVES &CLEAN SHEETS, ASSISTS na mwisho kabisa GOALS .
Kama yupo tuonyeshe kwa upande wa Goals scored hii Newcastle ya eddie howe pia imewazidi pamoja na ratiba ya kibabe iliyokuwa nayo.
Hamgombei carabao mnagombea nini au kuna arsenal mbili tofauti si jana tu arteta kasema carabao ni muhimu kama ligi au sizitakii mbichi hizi mpaka kufika may itakuwa bado tupo phase 4 makombe ni mpaka phase 7
Hebu nione kikosi cha nyumbu cha janaStill haiondoiii chochote hapo subiri muende OT muone kama kuna matokeo mtapata pale .
Hii Newcastle ndo alikutana nayo jana man utd . Newcastle ya madogo janja tuView attachment 2801460
Nionyeshe kikosi kilichopigwa UEFaStill haiondoiii chochote hapo subiri muende OT muone kama kuna matokeo mtapata pale .
Hii Newcastle ndo alikutana nayo jana man utd . Newcastle ya madogo janja tuView attachment 2801460
Hivi umesahau kuwa Arteta anachagua kikosi kwa kurusha jezi hewani na anayedaka ndio anayeingia uwanajani kuanza?Arteta kaanza na viungo wote hawajui kukaba plus vulnerable Zinchenko, halafu tupate matokeo!
Hao viungo hawajawahi kucheza hata siku moja pamoja..
Halafu utasikia mtu anakuambia bora tumuuze Partey january!
Hata alivyoingia Rice unaona kabisa mambo hayaendi, mpira unakuwa recycled at the end tunakua hatuna threat kabisa.
Kaa utulie team yako imejifia huko 3-0 OT !Hivi umesahau kuwa Arteta anachagua kikosi kwa kurusha jezi hewani na anayedaka ndio anayeingia uwanajani kuanza?
Mbona watu vigeugeu ninyi au mnataka abadilishe utaratibu wa kuchagua kikosi kipana alichonacho?
We jamaa una facts, saluti.Wachezaji gani wanaocheza kila siku mkuukwani lineup si ile ile tu
1:Nketiah 2:ben white 3: gabriel 4:zincheko haw wote wanacheza kila siku .
2: Aerola, antonio, ward prowse na zouma hawa ni first eleven ya westham na hakucheza jana pia au unaona wewe tu ndo ulipumzisha wachezaji , fabianski ni second goalkeeper westham .
Aisee, utawaua. WasameheView attachment 2801365
View attachment 2801366
Hiii hapo tayariiii kama nkentiah ni forward butu leta forward yenye makali tuone
Nimekuuliza baada ya hayo yte mko nafasi ya ngapi...hutaki kujibu unakimbilia kuleta mapicha hmu na data za ajabu ajabu....baada ya Gordon kutupia mko nafasi ya ngapi...tukisema nyny bdo ni wadogo tuna maana kama hzigoli mmoja na assist ngapi ?? Nimekuonea huruma tu nimemchukua gordon ila bado kamzidi kila kitu si assist si goals. Nafasi ya 2 ukimaliza hio nafasi unapewa kombe gani still hio nafasi si yako subiri december muda wa kushikana mashati ndo utasema vizuriii hapa bado haujasema ila utasema tu huko MAY.
Striker wako mkali ana goli 1 kazidiwa kila kitu na striker butu wa Newcastle, alichomzidi wilson ni dakika za kucheza tu jesus kacheza dakika nyingiView attachment 2801464
View attachment 2801465
Maneno kidogo data nyingi leta na zako za Gabriel ku overlapping & overloading : mpaka hapa unachakuongea nikakusikiliza kweliii au huo ujasiri unapata wapi mkuu.
Nimekuuliza baada ya hayo yte mko nafasi ya ngapi...hutaki kujibu unakimbilia kuleta mapicha hmu na data za ajabu ajabu....baada ya Gordon kutupia mko nafasi ya ngapi...tukisema nyny bdo ni wadogo tuna maana kama hzigoli mmoja na assist ngapi ?? Nimekuonea huruma tu nimemchukua gordon ila bado kamzidi kila kitu si assist si goals. Nafasi ya 2 ukimaliza hio nafasi unapewa kombe gani still hio nafasi si yako subiri december muda wa kushikana mashati ndo utasema vizuriii hapa bado haujasema ila utasema tu huko MAY.
Striker wako mkali ana goli 1 kazidiwa kila kitu na striker butu wa Newcastle, alichomzidi wilson ni dakika za kucheza tu jesus kacheza dakika nyingiView attachment 2801464
View attachment 2801465
Maneno kidogo data nyingi leta na zako za Gabriel ku overlapping & overloading : mpaka hapa unachakuongea nikakusikiliza kweliii au huo ujasiri unapata wapi mkuu.
Naomba kuuliza nafasi ya ngapi inasaidia nini kwa sasa?Nimekuuliza baada ya hayo yte mko nafasi ya ngapi...hutaki kujibu unakimbilia kuleta mapicha hmu na data za ajabu ajabu....baada ya Gordon kutupia mko nafasi ya ngapi...tukisema nyny bdo ni wadogo tuna maana kama hzi
mtatolewa na mashindano yote yaliyobaki halafu mwisho wa msimu mtajikuta mmebaki na sinia tu la ngao ya jamii kima nyie.
Wasamehe kidogo wapumue mkuu🙌😂 hizi spana unawapiga ni nzito mno. Makombora mengine yatunze kwa ajili ya J mosi ukishawabutuaHuyo jesus mwenye mapaja mengi ana goli ngapi? Jipe hopes ni kawaida yenu nyinyi tena una bahati hayupo ungekula vinu vya kutosha hio jumamos
Wasamehe kidogo wapumue mkuuhizi spana unawapiga ni nzito mno. Makombora mengine yatunze kwa ajili ya J mosi ukishawabutua