Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Flano we jamaa mnafiki sana. wewe kila mwana arsenal anayegombana na mwenzake, asiyekubaliana na hamis77 au Aaron, asiyemkubali Kai na Arteta, wewe ndiyo mshikaji kwako. Kukiwa na amani humu wewe hutaki kabisa 😃😃

Halafu ilikuwaje mkapigwa 3 na mamacita? sisi marefa waliamua kuwabeba mamacita. walitunyima red card, tulipaswa kucheza na wachezaji 10 wa mamacita, ila bado tulikandamiza kila idara uwanjani na kuwapiga bao moja
Halafu huwa ana maneno ya kukera kishenzi akisindikiza na picha ndani yake...ukiwa na moyo mdogo unaweza ukamtukana usipokuwa mvumilivu
 
Halafu huwa ana maneno ya kukera kishenzi akisindikiza na picha ndani yake...ukiwa na moyo mdogo unaweza ukamtukana usipokuwa mvumilivu
😃 😃 😃 kabisa yaani. Jamaa ni shabiki flani proper na yuko mature kichwani. anamix nzuri ya unafiki, uchochezi, mahaba ya timu yake na uelewa kuwa mpira ni burudani tu na yeye hajistress nao. Ila anajua namna ya kukera wenzie na usipokuwa makini na mvumilivu, unamtukana 😃😃😃
 
😃 😃 😃 kabisa yaani. Jamaa ni shabiki flani proper na yuko mature kichwani. anamix nzuri ya unafiki, uchochezi, mahaba ya timu yake na uelewa kuwa mpira ni burudani tu na yeye hajistress nao. Ila anajua namna ya kukera wenzie na usipokuwa makini na mvumilivu, unamtukana 😃😃😃
Kabisa mkuu...ile picha ya Antony akitung'ong'a alivyotutungua ilikuwa inanikera kishenzi halafu jamaa ndo akawa anazidi kuitupia😀😀😀....ila tulivyowalamba tatu siku ile...picha imepotea kabisa
 
Arteta blocked Kiwior going on loan to Sevilla

(@sport_tvppl via @Sport_Witness)
20231029_160925.jpg
 
“There’s always a pathway.”

Mikel Arteta says Arsenal will always look at internal options before going to the transfer market.
 
Kabisa mkuu...ile picha ya Antony akitung'ong'a alivyotutungua ilikuwa inanikera kishenzi halafu jamaa ndo akawa anazidi kuitupia😀😀😀....ila tulivyowalamba tatu siku ile...picha imepotea kabisa
ile picha ilikuwa inaudhi sana. Nilikuwa nasubiri tu tukutane nao tuwanyuke tuone flano ataishia wapi na kapicha kake. na kweli sasa huwezi kukaona kale kapicha humu
 
Teh Hag bado yupo sana ana full support ya bodi labda Sir Jim asimhitaji baadae. Au ili afukuzwe maybe tuburuze mkia UCL na kwenye ligi tupotekee vipigo back to back kitu ambacho sioni kikitokea
Kuburuza mkia hamuwez ,ila kwa uchezaji ule ,hamtoboi top 7

Jana anasema KAMWE hawezi kucheza Kama Ajax ,sababu Hana wachezaji

Hii inaonesha ameshapagawa ,


Niliwahi waambia kule jukwaani kwenu 7hag hata apewe miaka 5 hataweza kucheza modern football sababu hawezi kuifundisha hasa kwa zile Ligi 5 Bora duniani.


Ni sawa na Professor Nabi umpeleke EPL utake acheze Kama ilivyokuwa Yanga , Ni ngumu sababu ya levels ,japo Kuna Baadhi wanafundisha mpira mzuri kwenye Ligi yoyote ,7hag hayupo Hilo kundi


Anadai Hana wachezaji,watu wanahoji maswali ,98% ya wachezaji anasajili Ni mahitaji yake sio ya bodi,

Pia alimnunua Onana ,mchezaji ambaye Ni suitable kwa Modern football,halafu Leo anasema KAMWE hataweza kucheza modern football,Hadi hapo unaona kocha wenu ameshapagawa ,anasubiri miujiza tu ,

Bora Basi angewadanganya kuwa atacheza Modern football mbeleni ,Yeye kasema kabisa NEVER hatacheza
 
“There’s always a pathway.”

Mikel Arteta says Arsenal will always look at internal options before going to the transfer market.
Yule Charlie Patino anagonga namba ngapi yule dogo....maana mpk alikataa kumuuza maana yake kuna kitu kakiona kwa yule bwana mdgo
 
Flano we jamaa mnafiki sana. wewe kila mwana arsenal anayegombana na mwenzake, asiyekubaliana na hamis77 au Aaron, asiyemkubali Kai na Arteta, wewe ndiyo mshikaji kwako. Kukiwa na amani humu wewe hutaki kabisa

Halafu ilikuwaje mkapigwa 3 na mamacita? sisi marefa waliamua kuwabeba mamacita. walitunyima red card, tulipaswa kucheza na wachezaji 10 wa mamacita, ila bado tulikandamiza kila idara uwanjani na kuwapiga bao moja
Mkuu huoni kua mimi nasimamia amani humu ndani?
Muda wote nawaasa vijawa wawe wastaarabu, wapendane na kuheshimiana.
Vijana wengi humu wamekosa malezi ya pande 2 mimi nimejitolea kuplay party ya mjomba baada ya kuona humu wamejazana watoto wa singo maza.
Kuhusu Nyumbu hebu tupumzishe kwanza, msimu ulioisha wenyewe tuliwafunga City kwa kupewa goli la offside.
 
ile picha ilikuwa inaudhi sana. Nilikuwa nasubiri tu tukutane nao tuwanyuke tuone flano ataishia wapi na kapicha kake. na kweli sasa huwezi kukaona kale kapicha humu
Ile picha imeshapotea ,Flano aliniandama na ile picha maana Anthony sikuwahi kumkubali since day one,

Msimu huu anaweza akamaliza na goli 1 au 0 kabisa
 
Mkuu huoni kua mimi nasimamia amani humu ndani?
Muda wote nawaasa vijawa wawe wastaarabu, wapendane na kuheshimiana.
Vijana wengi humu wamekosa malezi ya pande 2 mimi nimejitolea kuplay party ya mjomba baada ya kuona humu wamejazana watoto wa singo maza.
Kuhusu Nyumbu hebu tupumzishe kwanza, msimu ulioisha wenyewe tuliwafunga City kwa kupewa goli la offside.
Unaleta hizo habari za kutufunga? nitamwambia hamis77 awalaani kama alivyo walaani kenge. kawaachia laana wasivuke nafasi ya 12. nyie nyumbu hamisi anaweza kuwalaani mshuke daraja kabisa sema tu tunataka mbaki huku premier league ili tuendelee kuwachapa kila msimu.
 
Yule Charlie Patino anagonga namba ngapi yule dogo....maana mpk alikataa kumuuza maana yake kuna kitu kakiona kwa yule bwana mdgo
Yupo mkopo championship anakiwasha balaa ,anacheza LCM ,

amesema anamtumia Saliba Kama mfano alipopelekwa mkopo alirudi na kuingia kwenye XI ,

Kwa anavyocheza na alivyoiva akirudi hata January moja kwa moja anagombea namba vzr kabisa

Barcelona walikuwa wamchukue,na timu za EPL, alikataa Hadi kuongeza mkataba ,mwisho Arteta akamwambia yupo kwenye mipango ya timu, aende Championship,Kisha arudi .
 
Ile picha imeshapotea ,Flano aliniandama na ile picha maana Anthony sikuwahi kumkubali since day one,

Msimu huu anaweza akamaliza na goli 1 au 0 kabisa
Antony Masebene kaacha soka anahamia karate. Alimuona Doku kamtoka akapiga buti. Sijui ni zile rasta za Doku zilimfanya Masebene afikiri anadili na videmu vyake? Maana wasineamuliwa wale, Masebene angelala ICU ile siku.
 
Antony Masebene kaacha soka anahamia karate. Alimuona Doku kamtoka akapiga buti. Sijui ni zile rasta za Doku zilimfanya Masebene afikiri anadili na videmu vyake? Maana wasineamuliwa wale, Masebene angelala ICU ile siku.
😅😅😅😅....vijeba vingezichapa....
 
ile picha ilikuwa inaudhi sana. Nilikuwa nasubiri tu tukutane nao tuwanyuke tuone flano ataishia wapi na kapicha kake. na kweli sasa huwezi kukaona kale kapicha humu
Mkuu mapichapicha ya kukera na kutibua nyongo mbona yapo mengi tu, sema sometimes tunawaacha na nyinyi mfurahie kidogo pressing & overloading, aerial duel pamoja na kuinvert kiungo.
Screenshot_20220930_135207.jpg
 
Back
Top Bottom