arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Halafu huwa ana maneno ya kukera kishenzi akisindikiza na picha ndani yake...ukiwa na moyo mdogo unaweza ukamtukana usipokuwa mvumilivuFlano we jamaa mnafiki sana. wewe kila mwana arsenal anayegombana na mwenzake, asiyekubaliana na hamis77 au Aaron, asiyemkubali Kai na Arteta, wewe ndiyo mshikaji kwako. Kukiwa na amani humu wewe hutaki kabisa 😃😃
Halafu ilikuwaje mkapigwa 3 na mamacita? sisi marefa waliamua kuwabeba mamacita. walitunyima red card, tulipaswa kucheza na wachezaji 10 wa mamacita, ila bado tulikandamiza kila idara uwanjani na kuwapiga bao moja
“There’s always a pathway.”


