Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha uongo, wapi alikufira?

Arsenal wenyewe walimwambia arudi ,hawezi kuitwa halafu anakaa benchi tu
Yule anafirwa sio anafira, yule marinda hana ndio mana wakamtimua, yeye na ode dugu moja. Au mnateteana?
 
Hao ndio wanatoa pesa nyingi

Mfano pale Emirates

Mabango ya Emirates,Adidas ndio yanaonekana Sana yakifuatiwa na Visit Rwanda

Kuna jedwari nimelikosa ungeona ,Wanaweka idadi Adidas ,Fly Emirates, Visit Rwanda wanaonekana Sana ,unakuta kwa mechi Adidas, Emirates na Visit Rwanda wanaonekana pale uwanjani Mara 10-15 ,wanafatiwa na wengine wadogo wadogo

Emirates pays £50million per season while Rwanda pays £10m per season
 
Leo mazoezini
20231031_195635.jpg
20231031_195633.jpg
20231031_195629.jpg
20231031_201219.jpg
20231031_201225.jpg
 
"There is always a pathway"

Mikel Arteta insists Charlie Patino still has a chance of forcing his way into his long-term plans following a bright start to his loan spell at Swansea City.
 
Thomas Partey is out for 4-6 weeks, per source.

Arsenal hope to have him back for the congested December period, including the trip to Anfield.
20231018_162830.jpg
 
Thomas Partey is out for 4-6 weeks, per source.

Arsenal hope to have him back for the congested December period, including the trip to Anfield.View attachment 2799509
Wasaudi wakirudi kumtaka January asepe mazima anaumiaje na hachezi Partey?players wa kiafrica kwa kudanganya umri wanaongoza sana anakula salary ya bure tu huyu ,yes ana kipaji but kwa mtindo huu wa kuplay 5 games then another incoming 5 games unakuwa nje na tunaitaka EPL trophy no way asepe
 
FabrizioRomano:


"Ivan Toney anathaminiwa sana na Arsenal, hiyo ni hakika. Ndivyo ilivyo kwa Chelsea, kwa hivyo nadhani mbio ziko wazi kabisa, hakuna kilichoamuliwa bado, kwa hivyo vilabu vingine vinaweza kujiunga na mbio au kutoa zabuni. Hakuna kilichokubaliwa na Brentford, kwa hivyo ningeweka hali hiyo wazi.


"Kwa Arsenal, itakuwa muhimu kuona jinsi wanavyofanya mwezi Desemba, jinsi wanavyofanya katika jedwali la Ligi Kuu, jinsi wanavyofanya katika kundi lao la Ligi ya Mabingwa ... kwa sasa hakuna uamuzi juu ya nini cha kufanya. Januari.


"Wanajadiliana ndani kama kawaida, lakini tutaona kitakachotokea kwa sababu Ivan Toney hatakuwa nafuu - kutokana na kile nilichoambiwa anaweza kugharimu angalau pauni milioni 65, na hivyo kwa sasa Arsenal wanataka kuchukua muda wa kuamua kama huyu ndiye mchezaji wanayemtaka kweli."


[Substack, @caughtoffside] #
 
Kuna jamaa anapenda kusema kwa kwenye timu za top 4 Arsenal haijacheza na timu ngumu lakini Arsenal ishacheza na Spurs na City wakati City na Spurs hazijakutana bado.

Title race is on. Arsenal haitakiwi kujiuliza juu ya kwenda mbele ni kujishikilia na kupress advantage and everything else will fall into place.
 
FabrizioRomano:


"Ivan Toney anathaminiwa sana na Arsenal, hiyo ni hakika. Ndivyo ilivyo kwa Chelsea, kwa hivyo nadhani mbio ziko wazi kabisa, hakuna kilichoamuliwa bado, kwa hivyo vilabu vingine vinaweza kujiunga na mbio au kutoa zabuni. Hakuna kilichokubaliwa na Brentford, kwa hivyo ningeweka hali hiyo wazi.


"Kwa Arsenal, itakuwa muhimu kuona jinsi wanavyofanya mwezi Desemba, jinsi wanavyofanya katika jedwali la Ligi Kuu, jinsi wanavyofanya katika kundi lao la Ligi ya Mabingwa ... kwa sasa hakuna uamuzi juu ya nini cha kufanya. Januari.


"Wanajadiliana ndani kama kawaida, lakini tutaona kitakachotokea kwa sababu Ivan Toney hatakuwa nafuu - kutokana na kile nilichoambiwa anaweza kugharimu angalau pauni milioni 65, na hivyo kwa sasa Arsenal wanataka kuchukua muda wa kuamua kama huyu ndiye mchezaji wanayemtaka kweli."


[Substack, @caughtoffside] #
Fabrizio sometimes vilabu vinamtumia kupandisha bei za wachezaji.

Alifanya hivyo kwenye dili la Mudryk, Caicedo na hata Rice.

Tukiingia kichwa kichwa hapa ni either tupasuke sisi au Chelsea.
 
FabrizioRomano:


"Ivan Toney anathaminiwa sana na Arsenal, hiyo ni hakika. Ndivyo ilivyo kwa Chelsea, kwa hivyo nadhani mbio ziko wazi kabisa, hakuna kilichoamuliwa bado, kwa hivyo vilabu vingine vinaweza kujiunga na mbio au kutoa zabuni. Hakuna kilichokubaliwa na Brentford, kwa hivyo ningeweka hali hiyo wazi.


"Kwa Arsenal, itakuwa muhimu kuona jinsi wanavyofanya mwezi Desemba, jinsi wanavyofanya katika jedwali la Ligi Kuu, jinsi wanavyofanya katika kundi lao la Ligi ya Mabingwa ... kwa sasa hakuna uamuzi juu ya nini cha kufanya. Januari.


"Wanajadiliana ndani kama kawaida, lakini tutaona kitakachotokea kwa sababu Ivan Toney hatakuwa nafuu - kutokana na kile nilichoambiwa anaweza kugharimu angalau pauni milioni 65, na hivyo kwa sasa Arsenal wanataka kuchukua muda wa kuamua kama huyu ndiye mchezaji wanayemtaka kweli."


[Substack, @caughtoffside] #

£65m is too much, we better continue to groom Nketiah; give him enough game time, after one season he will be valued over and above Ivan
 
Fabrizio sometimes vilabu vinamtumia kupandisha bei za wachezaji.

Alifanya hivyo kwenye dili la Mudryk, Caicedo na hata Rice.

Tukiingia kichwa kichwa hapa ni either tupasuke sisi au Chelsea.
Kuna dalili naiona hatutamsajili Toney ,

Nimeona Tetes hasa za yule CF wa Fayernood Ni mdogo ,pia nimeona za Sesko

Ivan Toney kukaa nje Sana halafu tukatoe £65m sio rahis
 
£65m is too much, we better continue to groom Nketiah; give him enough game time, after one season he will be valued over and above Ivan
Tena kwa mchezaji ambaye atahitaji fitness ,

Huo msala ngoja tumuachie Chelsea ,
 
Kuna dalili naiona hatutamsajili Toney ,

Nimeona Tetes hasa za yule CF wa Fayernood Ni mdogo ,pia nimeona za Sesko

Ivan Toney kukaa nje Sana halafu tukatoe £65m sio rahis
Anaweza Sajiliwa kama tu Nketiah atauzwa, kwa maana tutakuwa na depth lets say Sesko & Toney, binafsi kwangu namuona Jesus as a RW asaidiane na Saka na alishaonesha anaweza hilo kwenye mechi dhidi ya Man city.
 
Declan Rice alikuja Arsenal na sifa kuu mbili athleticism and tackling abilit

kuna role ambayo kaongezewa na Arteta inaenda kuwa hatari sana kwa Opponents

Uwezo wa Ku score / Ku Assist per Game, imebaki 30% out of 100 %

Mje na tahadhari na Viungo wenu wa Mafungu
20231027_174814.jpg
 
Mikel Arteta juu ya Tomiyasu:

"Ndio! Yeye hajali! Unamwona akipiga mpira kulia au kushoto, au akicheza beki wa kushoto au beki wa kati, anabadilika mara moja. Huo ni ubora mkubwa.”

Kisha Arteta aliulizwa kuhusu nafasi bora ya Tomiyasu.

Alisema:

“Siwezi kukuambia, kusema kweli. Sijui. Anahitaji mfululizo wa michezo na pengine tunahitaji kuona ushirikiano ili kujibu swali hilo kwa njia sahihi.
20231029_123235.jpg
 
Back
Top Bottom