hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,400
- 26,958
Partey na Jorginho hawawez kutufikisha summer ?Kuanzia January Hadi may tutatafutana uchawi wenyewe kwa wenyewe
Hadi dakika hii tunamtegemea Rice, na itatokea game zingine atazidiwa
Dirisha la January Ni gumu Sana , Mancity wanamtegemea rodri pekee hawana mbadala .
Kwa dirisha la January kupata DM wa uhakika ,CB na RW unahitaji £150m
Sio kweli kwamba Partey atakuwa injury kila siku ,atatusaidia mech kadhaa then Summer tuachane nae
Nimeona sehemu akitokea mteja wanamuuza January,Labda hapo ndio tunaweza kusajili backup yake
Sidhan Kama Kuna timu EPL ina DM wenye Kariba ya Partey Rice na Jorginho , na Elneny
Ndio maana naona January tukomae na RW na CB,