Huna hoja. Unakimbilia kutukana. Huna akili pia ndiyo maana hujui mchezaji muhimu anagewa treatment gani.sasa kuna Uhusiano gani hapo? hivi hapo unaona kichwa chako kipo sawa kweli? hamna we jamaa kutakua na shida mahali
Zee la simulizi, oya Mshawahi kusikia story teller kwenye mpira? This nigga defines the role.Tuna ile game dhidi ya Soton msimu uliopita.
Tunasuluhu nao 3 kwa 3
Ukiniuliza mimi nitasema magoli mawili ya Soton ni kazi ya Ramsdale.
At some point nahisi Arteta anakumbuka matukio kama hayo
Endelea kunifuatilia bob usichoke. Hifadhi mafile yangu kwenye kijiwe chako nifanye kua topic. Ukikaa na mke wako/ mume wako acha niwe mada kuu.Zee la simulizi, oya Mshawahi kusikia story teller kwenye mpira? This nigga defines the role.
Nigga mafile yako ninayo shazi. Ulitaka kuiaminisha dunia Arsenal inamuhitaji Renato Sanchesmtu aliyetuaminisha Locatelli ni mchezaji mbovu, afu Sijasahau ulivyotuaminisha Mudryk hawezi kucheza final ball, oya your time will come. Tutakukumbusha tu.
Dah ndugu hamis, the street wont forget!Kwa Enzo Fernandes pale yule dogo ni mtu na nusu ,
Ukimuweka Bellingham na Enzo, aisee nasepa na Enzo,
Media zilimpigia Sana promo Bellingham, ila kwa Moto aliouwasha Enzo, Kuanzia Madrid, Liverpool ,man u ,Chelsea wote wamegeukia kwa Enzo, wamegundua uhalisia
Bellingham akikutana na Viungo wenye ufundi kidogo huwezi kumuona ,
Binafsi nilikuwa Team Argentina ,Baada ya mechi ya Kwanza nikawakataa nilipoona Viungo wao Parades na De Paul , nikahamia Spain Sababu napenda mpira mzuri,
Mechi ya 2 Argentina wakaanza kumtumia Enzo Fernandes , hapo ndipo Argentina ilibadilika ,dogo ni fundi, humpress kiboya ,passing ability,
Bellingham mechi nyepesi nyepes ndio utamuona , Enzo kachafua mechi Zile nyepes ,ngumu katakata
Nunez ilikuwa risk ya kupigwa Ni kubwa, wewe mchezaji kafanya vzr msimu mmoja unaruka nae kwa €100m .
Carabao Jumatano atadaka na FA CUPNafikiri Mkorea alileta quote ya Henry juu ya kipa. Ramsdale kazi anayo.
Hata hivyo Arteta asimfungie vioo jamaa. Akifanya vyema mazoezini agewe nafasi
Endelea kunifuatilia bob usichoke. Hifadhi mafile yangu kwenye kijiwe chako nifanye kua topic. Ukikaa na mke wako/ mume wako acha niwe mada kuu.
Usiku ukikosa usingizi, ingia JF search nyuzi zangu zisome. Ingia hili jukwaa endelea kutafuta mafile mengine.
Be obsessed with me, ukiona post yangu changamka kuiscreenshot, kuza obsession mtoto wako muite Castr.
Na siku ikifika ukishindwa kuvumilia tangaza mtaani kwenu kwamba kuna mwanaume mmoja humjui hata sura ila una mafile yake.
HahahahahahahaDah ndugu hamis, the street wont forget!nipo kwenye harakati za kumtafuta tactico story teller, nitampata tu.
Ana utoto mwingi.
We are family brothers, tusifike huku
Hawa achana nao washachezea 2 hapa.Japo unatuchukia ila sisi kesho tupo na nyny ndugu zetu....Manchester is red...GGMU🤠🤠🤠
Nilikuwa nawachangamsha kidogo...Chelkenge na Manunu ni baba mmoja na mama mmojaHawa achana nao washachezea 2 hapa.
Dah ndugu hamis, the street wont forget!nipo kwenye harakati za kumtafuta tactico story teller, nitampata tu.
Ndo alivyoNimewacheki Leverkusen kipindi kimoja, wapo vizuri, kimbinu anaonekana yupo vizuri, japo simpi 100%sababu mpinzani wake ana madhaifu mengi.
Ila kale katoto florian writz ndio daima yupo vile au leo tu kaamka vizuri, kamechangamka, kanazunguka uwanja mzima, mguu ana ball, kasumbufu.
Ni kazuri, naona kamezaliwa 2003, naamini kana nafasi ya kuwa bora zaidi ya pale, ni kama kasmith rowe vileNdo alivyo
Huyo dogo ni Fundi Sana,anaelekea Bayern huyo ,Musiala amegoma kusaini anataka aende MadridNimewacheki Leverkusen kipindi kimoja, wapo vizuri, kimbinu anaonekana yupo vizuri, japo simpi 100%sababu mpinzani wake ana madhaifu mengi.
Ila kale katoto florian writz ndio daima yupo vile au leo tu kaamka vizuri, kamechangamka, kanazunguka uwanja mzima, mguu ana ball, kasumbufu.