Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kwa Enzo Fernandes pale yule dogo ni mtu na nusu ,Enzo ni mchezaji mzuri ila si mchezaji wa €120m, Profile yake haina tofauti na Xabi Alonso.
Benfica wabaya sn, walimpiga Atletico €120m kwa Felix sahivi wanamtoa mkopo, wamempiga liverpool €100m Nunez, tukasema ni mchezaji wa project, tacticos JF wakasema si mchezaji wa project ni complete player, sasa complete player anafundishwa finishing & decision making? Ok soon mwingine anapigwa €120m kwa Enzo afu unakuja kugundua Jude ni zaidi ya Enzo as Jude anaexcel kwa phases zote hadi Final 3rd.
,Enzo nimemuangalia kwenye World cup, Argentina nilikuwa naisupport pia, ni mchezaji mzuri kwenye phases mbili za chini.Kwa Enzo Fernandes pale yule dogo ni mtu na nusu ,
Ukimuweka Bellingham na Enzo, aisee nasepa na Enzo,
Media zilimpigia Sana promo Bellingham, ila kwa Moto aliouwasha Enzo, Kuanzia Madrid, Liverpool ,man u ,Chelsea wote wamegeukia kwa Enzo, wamegundua uhalisia
Bellingham akikutana na Viungo wenye ufundi kidogo huwezi kumuona ,
Binafsi nilikuwa Team Argentina ,Baada ya mechi ya Kwanza nikawakataa nilipoona Viungo wao Parades na De Paul , nikahamia Spain Sababu napenda mpira mzuri,
Mechi ya 2 Argentina wakaanza kumtumia Enzo Fernandes , hapo ndipo Argentina ilibadilika ,dogo ni fundi, humpress kiboya ,passing ability,
Bellingham mechi nyepesi nyepes ndio utamuona , Enzo kachafua mechi Zile nyepes ,ngumu katakata
Nunez ilikuwa risk ya kupigwa Ni kubwa, wewe mchezaji kafanya vzr msimu mmoja unaruka nae kwa €100m .
Upo sahihi , kwa hizo Sifa , Bellingham napiga chini , mechi nyepesi tu ndio utamuonaEnzo nimemuangalia kwenye World cup, Argentina nilikuwa naisupport pia, ni mchezaji mzuri kwenye phases mbili za chini.
Enzo hn tofauti na partey kwa majukumu anayopewa, lakini utofauti wao partey ana physicality ya kumudu central area Peke yake kwenye kila transitional moments ( Attacking/ Dafensive) , kocha wa Argentina Scaloni in possession amemtumia Enzo kwenye build up & progression lkn off the ball alimuhitaji Rodrigo De paul ambaye alikuwa anacheza km right wing in possession kuja katikati kufanya dirty works cuz alikosa athleticism kwenye mid area, so in my opinion Enzo analack athleticism in defensive transition lkn pia he doesnt excel to tht extent in 3rd phase, that's why i opt for Bellingham . Nimetumia Argentina's performance kama Benchmark.
namkubali zinny lkn game na brighton itabidi ajiandae vizuri kiulinzi zaidi.. upande wake kuna march so itakuwa kazi kum zibiti yule jmaa.KUELEKEA MECHI NA BRIGHTON NIMEFARIJIKA KUMUONA ZINNY MAZOEZINI
Zinny akiwepo tu ,kunakuwa na uhakika 90% hiyo mechi lazima tukamate kiungo ,utake usitake
Kwenye lineup anakuwa Kama LB, but tukiwa na mpira Ni Holding midfielder
Faida zake
Anaongeza namba ya Viungo hivo Ni rahis timu kutoka nyuma kwenda mbele kwa haraka
Zinny Ni press resistant , technical (ufundi) anao mkubwa, passing ability yake Ni kubwa
View attachment 2462530View attachment 2462531
Waandishi wa habari walimuuliza Arteta swali Kama lako mechi na Spurs ,wakamwambia Spurs anatumia kaunta ,je umejiandaaje Upande wa Zinnynamkubali zinny lkn game na brighton itabidi ajiandae vizuri kiulinzi zaidi.. upande wake kuna march so itakuwa kazi kum zibiti yule jmaa.
Waandishi wa habari walimuuliza Arteta swali Kama lako mechi na Spurs ,wakamwambia Spurs anatumia kaunta ,je umejiandaaje Upande wa Zinnynamkubali zinny lkn game na brighton itabidi ajiandae vizuri kiulinzi zaidi.. upande wake kuna march so itakuwa kazi kum zibiti yule jmaa.
ni sawa mze lkn brighton hawachezi kaunta.. 1 vs 1 lzima zitatokea nyingi tu hususan kwa zinny na white.Waandishi wa habari walimuuliza Arteta swali Kama lako mechi na Spurs ,wakamwambia Spurs anatumia kaunta ,je umejiandaaje Upande wa Zinny
Aliwaambia hawazi kulinda kaunta, Cha Kwanza ikamate game , mengine yatafata
Without ball ndani ya sekunde utaona Arsenal Shepu ya ulinzi imebadilika na kuwa 4-4-2 , saka na martinel wanarud kusaidia kukaba .
Huyo si wa kuuza, akomae hapo kama Saliba atakuja kutufaa. Ni finisher mzuri sana na tunamhitaji.TUTAPIGA PESA NDEFU HAPA TUKITAKA KUUZA ,
Ten goals from Folarin Balogun in just 16 games in Ligue 1 this term. Last season, Ekitike, who joined PSG on loan with a €35m purchase option, scored 11 goals in 26 games.
Belligham sio mchezaji wa build up, ukicheza na Mount & Rice km 8s. rice anabaki km lone 6. Kumbuka Rice doesnt excel enough with the entire build up running thru him as lone 6, kocha anaona ni vizuri Henderson awe beside him kusaidia build up with his passing range. Km Bellingham angekuwa anaexcel kwa build up phase basi angekuwa untouchable level za Mbappe. Bellingham ni replacement nzuri ya Xhaka but i know we cant afford this. Ningependa Arsenal tuwe na Locatelli, Rice, Bellingham siku mojaUpo sahihi , kwa hizo Sifa , Bellingham napiga chini , mechi nyepesi tu ndio utamuona
Kule bundesliga anafanya vzr ,njoo Sasa akikutana na Viungo nje ya bundesliga anavyotepeta
World cup mechi ya Kwanza kafanya vzr dhidi ya Iran Sababu Ni average team ,
Mechi ya 2 dhidi ya USA ,yenye watoto mafundi kama Musah Weston na Tyre Adams ,ilibidi Bellingham wamtoe aingine Henderson Timu ikatulia ,
Southgate akagundua ,ili uupate ubora angalau wa Jude, Ni kumuwekea 2 holding Midfielders (Rice na Henderson) ,na hata akienda Liverpool anaenda kutumika na Viungo wawili wakumfanyia Kazi chafu,
Iwapo utamchukua umtumie kwenye double 8, Basi unahitaji workrate kubwa kwa wachezaji wako, na Muda wowote usubiri apotezwe .
Southgate alipenda atumie double 8 ( mount & Bellingham) chini Yao Rice , Akaja kugundua atapigika vibaya ,hakurudia
Nimeisoma hii nimeona makosa hapo kwenye Mount & Rice ilibidi kuandika Mount & Bellingham km 8s.Belligham sio mchezaji wa build up, ukicheza na Mount & Rice km 8s. rice anabaki km lone 6. Kumbuka Rice doesnt excel enough with the entire build up running thru him as lone 6, kocha anaona ni vizuri Henderson awe beside him kusaidia build up with his passing range. Km Bellingham angekuwa anaexcel kwa build up phase basi angekuwa untouchable level za Mbappe. Bellingham ni replacement nzuri ya Xhaka but i know we cant afford this. Ningependa Arsenal tuwe na Locatelli, Rice, Bellingham siku moja