Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama nilivyoomba

Kai as RCM

Smith Rowe LCM


Arsenal warming up with Smith Rowe as left No8 and Havertz the right one, with Rice sitting.
 
Kwa upande wangu huyu Zubimendi sijawahi kumuelewa kabisa tangu tunahusishwa naye msimu uliopita. Kwa hizi clips za YouTube anaonekana mchezaji wa kawaida labda nitafute mechi ya sociedad nimuone vizuri lhuenda akanishawishi

Wachezaji ambao nahisi Wana uwezo wa kutupa anachotupa Party ni Youssef Fofana na Andre wa fluminense
Mchezaji haangaliwi YouTube coz kuna mengi huonyeshwi kama kakosea au kafanya vizuri.

Kosa hilo hilo ndio wanafanya matajiri wa Chelsea, wanaangalia mchezaji YouTube kisha ndo wanaenda kumsajili.

Mimi wakati tunahusishwa na Declan Rice, niliingia YouTube kuangalia clip zake, kisha nikaangalia na clip za Moises Caicedo.. Mwisho nikajiuliza hii scout ya Arsenal ina akili kweli kutaka kutoa £100 mil kwa kiungo wa kiingereza ambae havutii hata YouTube? 🤔

The rest unajua..
 
Tuuzieni Odegaard na Martinelli basi
Kila mtu abaki na matatizo yake mkuu...mlitujazia sana nzi wiki hii pamoja na kutoa draw🤠🤠🤠...sijui mngebahatisha kutufunga ingekuwaje🤠🤠🤠...wiki ijayo mna Tottenham....Mungu awasaidie kwakwli
 
Nimependa leo Arteta ameingia kibingwa zaidi

Rice anakua mkabaji, huko mbele watajua wenyewe

Backline iko poa

Fabio , Trossad na nelson ni sub baada ya kuwakanda 3

Mpira mwingi
 
Kenge kafa mbili

Nataka niwaone kenge wakiwa wanajitetea kuhusu lile goal la pili
 
I like to see Kai as RCM

Midfield ya Leo

Kai Rice Rowe

But sijajua Nani atakuwa RCM na LCM


Moja ya nafasi nyingine ya Kai Ni RCM , anaijua vzr kuliko LCM

Smith Rowe pia Ni LCM na RCM
Ngoja tuone mkongwe
 
Hizi kauli hua sizikubali kabisa, jana tena kuna mtu anadai Rice na yeye apumzike. Ivi ni kwakua amekuja Arsenal tu au maanza sijawah sikia timu zingine zikidai wachezaj wake wapumzike.
Sawa utaelewa wakianza umia hapo January. Squad depth ni muhimu ndio maana Man City hawashikiki maana wanaweza pumzisha first 11 nzima na usione tofauti!!
 
Hii mechi Arteta kaidharau. Kitendo cha kuwaacha wachezaji muhimu nje kinadhihirisha hilo.

Tusishangae tuka struggle kupata matokeo leo. Tumeona hilo dhidi ya promoted teams last year, refer mechi dhidi ya Bournemouth.
 
Arteta aelewe kuwa hatuna 1st eleven nyengine zaidi ya ile tuliyozoea, so hakuna haja ya kupumzisha wachezaji muhimu.
 
Back
Top Bottom