Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

• Unbeaten in the league
• Top of the group in UCL
• Still in Carabao and FA Cup
• Won the Emirates cup
• Won the community shield

This team
20231022_105809.jpg
 
Kumbukumbu kwa picha kuwa tushawahi kukipata kijikomba cha UEFA CUP WINNERS CUP.

Tarehe 4 MAY 1994. Ni kitu kidogo tu ila itapunguza kelele za wale wasemao 'hata West Ham wana conference...'

View attachment 2793265
UEFA Cup Winners' Cup makombe ya kipuuzi hayo, Uefa yenyewe baada ya kuona huo ni upuuzi wakayafutilia mbali msimu 1998 - 1999 na kuhimiza rekodi zote za hayo mashindo zifutwe maana wao kama Uefa hawazitambui.
HENRY14 tokea mwaka 1999 baada ya kamati ya Uefa kutangaza kuyafuta na kutoyatambua hayo mashindano ya Cup winner's cup ulishawahi kusikia timu yoyote barani Ulaya inayazungumzia au kujifaharisha nayo?
tapatalk_1728412027_320x414.jpg
 
UEFA Cup Winners' Cup makombe ya kipuuzi hayo, Uefa yenyewe baada ya kuona huo ni upuuzi wakayafutilia mbali msimu 1998 - 1999 na kuhimiza rekodi zote za hayo mashindo zifutwe maana wao kama Uefa hawazitambui.
HENRY14 tokea mwaka 1999 baada ya kamati ya Uefa kutangaza kuyafuta na kutoyatambua hayo mashindano ya Cup winner's cup ulishawahi kusikia timu yoyote barani Ulaya inayazungumzia au kujifaharisha nayo? View attachment 2793276

Hayakufutwa, ni shindano lililomezwa na UEFA CUP/EUROPA, na rekodi zipo pale pale. Ni kama ukioa mke na kumpa ubini wako, haimaniishi kuwa ubini wake yeye umepotea.

Sasa je mtamrudisha De Gea kweli Onana akienda AFCON? Acheni roho mbaya. De Gea ni mgumu kumfunga na muacheni apumzike.

1698303912401.jpeg
 
Hayakufutwa, ni shindano lililomezwa na UEFA CUP/EUROPA, na rekodi zipo pale pale. Ni kama ukioa mke na kumpa ubini wako, haimaniishi kuwa ubini wake yeye umepotea.

Sasa je mtamrudisha De Gea kweli Onana akienda AFCON? Acheni roho mbaya. De Gea ni mgumu kumfunga na muacheni apumzike.

View attachment 2793282
ingia kwenye official website ya Uefa/Europa halafu angalia winner's wote wa Europa uone kama Arsenyau wameorodheshwa
Masingeli mwenyewe anatambua kua hilo kombe la wakuna Nazi lilifutwa na record zake zote zikateketezwa kwa moto kisha jivu lake likaenda kutupwa baharini.
Ndio maana mpaka leo hii zikiorodheshwa timu zilizo shinda mashindano ya Ulaya Masingeli hua anajikunyata kama kitoto cha paka kilicho mwagiwa maji.
Screenshot_20230514_225554.jpg
 
Hearing Albert Stuivenberg is moving to Ajax as head coach. This will be a huge setback guys.

For those who don't know he is Arteta’s right hand and Arsenal assistant coach. #Arsenal #AFC #Apoz
20231026_102836.jpg
 
Hearing Albert Stuivenberg is moving to Ajax as head coach. This will be a huge setback guys.

For those who don't know he is Arteta’s right hand and Arsenal assistant coach. #Arsenal #AFC #ApozView attachment 2793306
Hiki kijamaa ile mechi Man City alobebwaga pale Emirates kipindi rodri anafunga goli la ushindi ndo kilikuwa touchline pale kina manage timu...pengo sijui litazibwa na nani
 
Hearing Albert Stuivenberg is moving to Ajax as head coach. This will be a huge setback guys.

For those who don't know he is Arteta’s right hand and Arsenal assistant coach. #Arsenal #AFC #ApozView attachment 2793306
I'm all for career advancement. All the best to him.
Sasa sisi tumlete Klopp wa Liverpool aje kuwa assistant wa Arteta 😀😀😀
 
ila Masingeli una ujinga mwingi sana aiseeee ndugu yangu,
Msimu wa 2021 - 2022 ulikua unajitapa na kujivunia Clean sheets huku ukituzodoa Man Utd hatuna clean sheet yoyote, halafu mwisho wa msimu wote mwenye clean sheet nying na asie na clean sheet tukaenda kucheza Europa
Msimu uliosha ukawa unajitapa na unajivunia record ya kukaa top on the table kwa siku nyingi 258 mwisho wa msimu wewe uliekaa top on the table kwa siku 258 ukashika nafasi ya 2 halafu Man Utd ambao hatujawahi kukaa hata mara moja kwenye top on the table tukawa nafasi ya 3 halafu wote tumeenda Uefa.
Leo hii umeanza tena kuwapa wenzio false hope kwa rekodi ya unbeaten halafu mwisho wa msimu unawakimbia wenzio na kuwaachia msala wa kujibu maswali kuhusu imekuwaje unbeaten inamaliza ligi mikono mitupu
Inabidi sasa tuongee na bodi ya PL waanze kutoa na makombe ya Clean sheet, top on table, unbeaten, pressing & overloading pamoja na makombe ya kuwin aerial duel
Screenshot_20220513_190254.jpg
 
ila Masingeli una ujinga mwingi sana aiseeee ndugu yangu,
Msimu wa 2021 - 2022 ulikua unajitapa na kujivunia Clean sheets huku ukituzodoa Man Utd hatuna clean sheet yoyote, halafu mwisho wa msimu wote mwenye clean sheet nying na asie na clean sheet tukaenda kucheza Europa
Msimu uliosha ukawa unajitapa na unajivunia record ya kukaa top on the table kwa siku nyingi 258 mwisho wa msimu wewe uliekaa top on the table kwa siku 258 ukashika nafasi ya 2 halafu Man Utd ambao hatujawahi kukaa hata mara moja kwenye top on the table tukawa nafasi ya 3 halafu wote tumeenda Uefa.
Leo hii umeanza tena kuwapa wenzio false hope kwa rekodi ya unbeaten halafu mwisho wa msimu unawakimbia wenzio na kuwaachia msala wa kujibu maswali kuhusu imekuwaje unbeaten inamaliza ligi mikono mitupu
Inabidi sasa tuongee na bodi ya PL waanze kutoa na makombe ya Clean sheet, top on table, unbeaten, pressing & overloading pamoja na makombe ya kuwin aerial duel View attachment 2793389
7hag Nani alimpa Cheti Cha kufundisha Mpira?

20231026_095541.jpg
 
@FabrizioRomano:

“Takehiro Tomiyasu is another player earning praise for his recent performances and although I don’t currently have any information on the possibility of a new contract soon, Arsenal are very happy with his performances,”

“I can also reveal that Inter Milan wanted Tomiyasu in July but Arsenal said no; Mikel Arteta and Edu wanted to keep him and it was clearly a successful decision, he’s really appreciated at the club and is really showing his value and versatility at the moment.”(@caughtoffside)
20231026_110619.jpg
 
ila Masingeli una ujinga mwingi sana aiseeee ndugu yangu,
Msimu wa 2021 - 2022 ulikua unajitapa na kujivunia Clean sheets huku ukituzodoa Man Utd hatuna clean sheet yoyote, halafu mwisho wa msimu wote mwenye clean sheet nying na asie na clean sheet tukaenda kucheza Europa
Msimu uliosha ukawa unajitapa na unajivunia record ya kukaa top on the table kwa siku nyingi 258 mwisho wa msimu wewe uliekaa top on the table kwa siku 258 ukashika nafasi ya 2 halafu Man Utd ambao hatujawahi kukaa hata mara moja kwenye top on the table tukawa nafasi ya 3 halafu wote tumeenda Uefa.
Leo hii umeanza tena kuwapa wenzio false hope kwa rekodi ya unbeaten halafu mwisho wa msimu unawakimbia wenzio na kuwaachia msala wa kujibu maswali kuhusu imekuwaje unbeaten inamaliza ligi mikono mitupu
Inabidi sasa tuongee na bodi ya PL waanze kutoa na makombe ya Clean sheet, top on table, unbeaten, pressing & overloading pamoja na makombe ya kuwin aerial duel View attachment 2793389
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini 7 hag anamzidi uwezo kikocha

Ole gunar sosha
Malale hamsini
Juma Mgunda
Meja Jenerali mingange
Pastor Athanas wa Gwambina
Frank Lampard
Graham Potter
Michael Carrick
Wayne Rooney Waza
20231025_193921.jpg
 
Gabrieli Jesus

"Siku zote huwa naenda kwa mabeki - Gabi, Saliba, Ben, Zinchenko, Tomiyasu, hata kipa - na nasema:

'Sikiliza, unapotaka kupiga mpira, niangalie kila wakati. Ikiwa huwezi kuangalia kwa sababu ni haraka, weka katikati, nitakuwa hapo.'"



20231025_182200.jpg
 
Ian Wright on Tomiyasu

“He’s so reliable, his strength, positional awareness, when he gets on the ball he has no problem passing the ball progressing it.

It’s very rare you see anyone get past him, he’s just a dependable player, 8/10 every week.”
20231026_110619.jpg
 
Back
Top Bottom