• Won the Emirates cup• Unbeaten in the league
• Top of the group in UCL
• Still in Carabao and FA Cup
• Won the Emirates cup
• Won the community shield
This teamView attachment 2793268








kweli nyie ni wakuna Nazi.Nyie si mnasema hatuna makombe? Sasa tunawaonyesha kwa tunayo.• Won the Emirates cup
• Won the community shield
kweli nyie ni wakuna Nazi.
Halafu Emirates Cup ya next season tunawaalika Manyumbu ili tuwanyuke na kulibeba mbele yenu• Won the Emirates cup
• Won the community shield
kweli nyie ni wakuna Nazi.
UEFA Cup Winners' Cup makombe ya kipuuzi hayo, Uefa yenyewe baada ya kuona huo ni upuuzi wakayafutilia mbali msimu 1998 - 1999 na kuhimiza rekodi zote za hayo mashindo zifutwe maana wao kama Uefa hawazitambui.Kumbukumbu kwa picha kuwa tushawahi kukipata kijikomba cha UEFA CUP WINNERS CUP.
Tarehe 4 MAY 1994. Ni kitu kidogo tu ila itapunguza kelele za wale wasemao 'hata West Ham wana conference...'
View attachment 2793265


HENRY14 tokea mwaka 1999 baada ya kamati ya Uefa kutangaza kuyafuta na kutoyatambua hayo mashindano ya Cup winner's cup ulishawahi kusikia timu yoyote barani Ulaya inayazungumzia au kujifaharisha nayo? UEFA Cup Winners' Cup makombe ya kipuuzi hayo, Uefa yenyewe baada ya kuona huo ni upuuzi wakayafutilia mbali msimu 1998 - 1999 na kuhimiza rekodi zote za hayo mashindo zifutwe maana wao kama Uefa hawazitambui.
HENRY14 tokea mwaka 1999 baada ya kamati ya Uefa kutangaza kuyafuta na kutoyatambua hayo mashindano ya Cup winner's cup ulishawahi kusikia timu yoyote barani Ulaya inayazungumzia au kujifaharisha nayo? View attachment 2793276
Hayakufutwa, ni shindano lililomezwa na UEFA CUP/EUROPA, na rekodi zipo pale pale. Ni kama ukioa mke na kumpa ubini wako, haimaniishi kuwa ubini wake yeye umepotea.
Sasa je mtamrudisha De Gea kweli Onana akienda AFCON? Acheni roho mbaya. De Gea ni mgumu kumfunga na muacheni apumzike.
View attachment 2793282



ingia kwenye official website ya Uefa/Europa halafu angalia winner's wote wa Europa uone kama Arsenyau wameorodheshwa


Hiki kijamaa ile mechi Man City alobebwaga pale Emirates kipindi rodri anafunga goli la ushindi ndo kilikuwa touchline pale kina manage timu...pengo sijui litazibwa na naniHearing Albert Stuivenberg is moving to Ajax as head coach. This will be a huge setback guys.
For those who don't know he is Arteta’s right hand and Arsenal assistant coach. #Arsenal #AFC #ApozView attachment 2793306
I'm all for career advancement. All the best to him.Hearing Albert Stuivenberg is moving to Ajax as head coach. This will be a huge setback guys.
For those who don't know he is Arteta’s right hand and Arsenal assistant coach. #Arsenal #AFC #ApozView attachment 2793306
Still unbeatenView attachment 2793314



ila Masingeli una ujinga mwingi sana aiseeee ndugu yangu, 




mwisho wa msimu wewe uliekaa top on the table kwa siku 258 ukashika nafasi ya 2 halafu Man Utd ambao hatujawahi kukaa hata mara moja kwenye top on the table tukawa nafasi ya 3 halafu wote tumeenda Uefa. 









7hag Nani alimpa Cheti Cha kufundisha Mpira?ila Masingeli una ujinga mwingi sana aiseeee ndugu yangu,
Msimu wa 2021 - 2022 ulikua unajitapa na kujivunia Clean sheets huku ukituzodoa Man Utd hatuna clean sheet yoyote, halafu mwisho wa msimu wote mwenye clean sheet nying na asie na clean sheet tukaenda kucheza Europa
Msimu uliosha ukawa unajitapa na unajivunia record ya kukaa top on the table kwa siku nyingi 258mwisho wa msimu wewe uliekaa top on the table kwa siku 258 ukashika nafasi ya 2 halafu Man Utd ambao hatujawahi kukaa hata mara moja kwenye top on the table tukawa nafasi ya 3 halafu wote tumeenda Uefa.
Leo hii umeanza tena kuwapa wenzio false hope kwa rekodi ya unbeaten halafu mwisho wa msimu unawakimbia wenzio na kuwaachia msala wa kujibu maswali kuhusu imekuwaje unbeaten inamaliza ligi mikono mitupu
Inabidi sasa tuongee na bodi ya PL waanze kutoa na makombe ya Clean sheet, top on table, unbeaten, pressing & overloading pamoja na makombe ya kuwin aerial duelView attachment 2793389
@FabrizioRomano:
“I can also reveal that Inter Milan wanted Tomiyasu in July but Arsenal said no; Mikel Arteta and Edu wanted to keep him and it was clearly a successful decision, he’s really appreciated at the club and is really showing his value and versatility at the moment.”(@caughtoffside)Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini 7 hag anamzidi uwezo kikochaila Masingeli una ujinga mwingi sana aiseeee ndugu yangu,
Msimu wa 2021 - 2022 ulikua unajitapa na kujivunia Clean sheets huku ukituzodoa Man Utd hatuna clean sheet yoyote, halafu mwisho wa msimu wote mwenye clean sheet nying na asie na clean sheet tukaenda kucheza Europa
Msimu uliosha ukawa unajitapa na unajivunia record ya kukaa top on the table kwa siku nyingi 258mwisho wa msimu wewe uliekaa top on the table kwa siku 258 ukashika nafasi ya 2 halafu Man Utd ambao hatujawahi kukaa hata mara moja kwenye top on the table tukawa nafasi ya 3 halafu wote tumeenda Uefa.
Leo hii umeanza tena kuwapa wenzio false hope kwa rekodi ya unbeaten halafu mwisho wa msimu unawakimbia wenzio na kuwaachia msala wa kujibu maswali kuhusu imekuwaje unbeaten inamaliza ligi mikono mitupu
Inabidi sasa tuongee na bodi ya PL waanze kutoa na makombe ya Clean sheet, top on table, unbeaten, pressing & overloading pamoja na makombe ya kuwin aerial duelView attachment 2793389
Sisi Arsenal tushahama tupo uefa na tumemaliza kazi anakuja chura kusema mambo ya kenge
Nyie kondoo huwa mna komedi, ndio mana hatukauki humu😂😂😂😂Kumbukumbu kwa picha kuwa tushawahi kukipata kijikomba cha UEFA CUP WINNERS CUP.
Tarehe 4 MAY 1994. Ni kitu kidogo tu ila itapunguza kelele za wale wasemao 'hata West Ham wana conference...'
View attachment 2793265