Zinny Ni kwa ajili ya mech za home zile za fungulia BustaHalafu bdo Timber yupo nje....akirudi kazi ipo...Zinchenko anaweza kutafutiwa pengine pa kucheza
Me namtaka dogo Andre wa BrazilTutafute LCM wauhakika Sasa ,Rice akamate DM
Nimeona tunaweza kumchukua Yousuff Fofana yule wa Monaco ,alikuwa Ni 2nd choice tukimkosa Rice
Alikuja na Monaco pre season alitupa mechi ngumu Sana na alitufunga
Ni no.6 mgumu sana ,tunaweza mpata bure mkataba wake unaisha
FOFANA as DM , Rice LCM
au tutafute LCM Kama Paqueta ,Rice DM
Hawa Sevilla hawakuona jinsi Doku wa Man City alivyomkimbia tomiyasu na kwenda Kwa Benny Blanco ambako Nako akaambulia kupigwa doba?Huyu jamaa Jana aliupiga mwingi sana
Zinny ataweza kwenda LCM Kwa Xhaka kuleHalafu bdo Timber yupo nje....akirudi kazi ipo...Zinchenko anaweza kutafutiwa pengine pa kucheza
Hawafiki mbali hawa kengeNinyi pimbi mmebahatisha jana Sevilla mnajiona miamba si ndio ?
Shabiki la unyumbuni ndio maana unapigwa na mkeoHawafiki mbali hawa kenge
Tubaki pale pale EPLTutafute LCM wauhakika Sasa ,Rice akamate DM
Nimeona tunaweza kumchukua Yousuff Fofana yule wa Monaco ,alikuwa Ni 2nd choice tukimkosa Rice
Alikuja na Monaco pre season alitupa mechi ngumu Sana na alitufunga
Ni no.6 mgumu sana ,tunaweza mpata bure mkataba wake unaisha
FOFANA as DM , Rice LCM
au tutafute LCM Kama Paqueta ,Rice DM
Arteta hata hawazi ivyo ,angekua ashamjaribu japo kwenye baadhi ya game au taarifa za mazoezni zile za ndani ambazo hua tunapenyezewa tungekua tushazipata.Zinny ataweza kwenda LCM Kwa Xhaka kule
Hahahaha,mm sio wa unyumbuni sasaShabiki la unyumbuni ndio maana unapigwa na mkeo View attachment 2792579
Mkimbizi?Hahahaha,mm sio wa unyumbuni sasa
Wewe huna mamlaka ya kuongea na wanaume kuhusu uefaSisi Arsenal tushahama tupo uefa na tumemaliza kazi anakuja chura kusema mambo ya kenge
Mi nina mamlaka ya kuongea na wanawake tu.Wewe huna mamlaka ya kuongea na wanaume kuhusu uefa