Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zinny Ni kwa ajili ya mech za home zile za fungulia Busta

Tukishapata magoli tunataka kufunga duka ndio unamuona Tomiyasu akiingia

Lakini Kuna mechi hasa za mtoano tulijiandaa kwa combination hizi


White Saliba Magalhaes Timber

Timber Saliba Magalhaes Tomiyasu

Tomiyasu Saliba Magalhaes Timber


Itategemea na mechi na mpinzan ana hatari upande gani
Ila hii depth ni ndogo sana mkuu maana white au Saliba akiumia yatatukuta yale ya last season baada ya game ya sporting!!
 
Zinny Ni kwa ajili ya mech za home zile za fungulia Busta

Tukishapata magoli tunataka kufunga duka ndio unamuona Tomiyasu akiingia

Lakini Kuna mechi hasa za mtoano tulijiandaa kwa combination hizi


White Saliba Magalhaes Timber

Timber Saliba Magalhaes Tomiyasu

Tomiyasu Saliba Magalhaes Timber


Itategemea na mechi na mpinzan ana hatari upande gani
 
Gabriel Jesus has told his Arsenal team-mates to believe they can go all the way in the Champions League this year.

“Obviously it is not easy, but I think we have to believe. If we don’t believe, we cannot be here.”

20231018_140427.jpg
 
Kila team lazima wahimizane kupambana kupata matokeo bora sasa sijui wewe unapata wapi makasiriko,mbona hivyo vitu vya kawaida kwenye kila team. Of course uwezo tunao wa kupambana na kushinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakuwa ni nyumbu fc au chelkenge....wana sumu ya Moyoni kwa sasa....wao wanaishi kwa history...utasikia mna uefa ngapi....mara mwaka jana mmeongoza kwa points 8 hamjachukua ndoo....sasa ni kwnda nao kimyakimya tu2😀😀😀....yule jamaa wa nyukesto yy ndo anaamini kabisa kwmba watafika mbali UEFA😄😄😄...akili za wapi sijui hzi
 
Back
Top Bottom