R.I.P watani zetu,
Nilipita tu mara moja kuhani msiba, nadhani sasa mtakubaliana nami kwamba kuna tofauti kubwa sana kati ya "boys" na "men".
Muendelee tu kujasiriamali, mjaze minoti kwenye akaunti za wadosi huku mkijiuguza na magonjwa ya moyo. Kama vipi hamieni ,..............!