arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Wale wababe wenu jana wamekula makonzi au hawajala??🤠🤠...suala la kuishia makundi sisi sahau...huo sio utamaduni wetu....unabisha angalia sasahivi msimamo wa group nani yupo pale juu...nyny Sasa ndo mnatafuta nafasi ya Ueropa maana Galatasaray na Bayern Munich ndo watafuzu kwny group Lenu....mechi za Nyumbani rahisi zishaisha....kilichobaki mkajegejwe huko ugeniniMasingeli kwa kile mlichokifanya msimu uliopita kwenye PL zimebaki mechi 8 ligi kuisha mnaongoza kwa points 8 halafu ligi inaisha mnakua mpo nyuma kwa points 8 ni bora tu ungenyamaza kwanza mpaka mfanikiwe kufuzu kwenye hatua ya makundi, hizo mechi 3 zilizobaki unaweza kufanyiwa Surprise halafu ukajipiga Ban mwenyewe kisha tukakosa kuburudika na comedy zako humu unazowapea false hopers wenzio. View attachment 2792233






| Sergio Ramos following #SEVARS:
️ Premier League - December 2019
#afc