Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,107
- 3,189
Cheki false hoper mwingine huyu mpaka mwisho wa msimu akiwa kwenye illusion hii si anaweza kuchanganyikiwa huyu 😂.Game ngumu hapo ni luton town ambayo tunaicheza nayo 5 December
Waliobaki wote FIMBO zinawahusu. Yan goal 2+
Westaham tutamfunga ila kitachafuka Sana, coz ni derby
Newcastle anaweza akala mkono, hili ni kama tawi letu kwenye kukusanya maokoto ya points
Kenge sioni sababu ya kutaka kuingiza team uwanjani. Watupe Ushindi wa mezani tu ili kuepuka dhahama
Bingwa wako back to back unasema sio kipimo sahihi. Haya jipime mwenyewe basi!Naona kila shabiki la Asenyani likitoa mfano rejea inakua mechi ya kipara. Hiyo game ya kipara inawapa upofu siyo kipimo sahihi
Mkimaliza juu ya ARSENAL NIPIN KWENYE HII POST NIKUPE HELA LAKI MBILI NTAKUWEKEA KWA WAKALA…Naona akili imeanza kuwakaa sawa ligi bado mbichi lolote linaweza kutokea Man U utashangaa tukamaliza juu ya Arsenal
Onana 😂Naona akili imeanza kuwakaa sawa ligi bado mbichi lolote linaweza kutokea Man U utashangaa tukamaliza juu ya Arsenal
Namimi ntamuongezea lakiMkimaliza juu ya ARSENAL NIPIN KWENYE HII POST NIKUPE HELA LAKI MBILI NTAKUWEKEA KWA WAKALA…
Wale mabwana biashara na sisi ndo imekufa rasmi...hawatakaa watuuzie mtu tena...tusahau🤠🤠🤠January siti wakiruhusu biashara,arteta akambebe Kavin Philips amfufue😆
Jorginho ni bora kwa kusambaza mipira asipokuwa na presha ila kwa mechi za vurugu vurugu ujiandae kwa lolote😂
Man U gari limewaka top 4 muhimu kuna watu wamekalia nafasi zetu😂Mkimaliza juu ya ARSENAL NIPIN KWENYE HII POST NIKUPE HELA LAKI MBILI NTAKUWEKEA KWA WAKALA…
City ile mechi akikosa wachezaji wake muhimu wengi haiwezi kuwa kipimo sahihiBingwa wako back to back unasema sio kipimo sahihi. Haya jipime mwenyewe basi!
Yan ume struggle kuipiga timu yenye point moja uje ukae hapo juu ? Mnaota ndoto mbayaMan U gari limewaka top 4 muhimu kuna watu wamekalia nafasi zetu😂
👉Top 4
Man City
Man U
Liverpool
Newcastle
Fit jorgihno alikuwa mchezaji Bora ulaya kitu abacho partey na wajukuu wake ni ndoto ya maisha yao lakini kudra Sasa ndio changamoto.Arteta nae aelewe anapoambiwa unfit Partey ni bora kuliko fully fit Jorginho.
Sijasema kama Jorginho kacheza vibaya ila tunakosa mambo mengi tukimkosa Partey.
Yamekua hayo tena nyie kabla ya game si mlijidai mkisema itafikia kipindi hatagusa mpira kwa kiungo cha Ode,Mchele, na Babu. Kwamba mpaka half time atakufa goli 5
Huo ni upepo ambao Mhuni mmoja HAMIS huwa anawajaza watu humu na wengi humuamini,siku zote huwa namwambia Mpira si kitu rahisi kama anavyodhani hivyo awe na Heshima kwa wapinzani. Akiandikaga upuuzi wa kusifiasifia ujinga huwa namshangaa sana,akiandika kumsifia Raya utadhani Raya ana mikono 20 kumbe ni kipa mmoja BOYA tu,kafungwa goli la kisenge jana na kuchomesha,uwezo wake wa kujiamini ni mdogo sanaWalishajisaulisha hawa viraza
Jamaa mbona kama unaongea kinyume yaan arsenal ndo tume cheza game nyepesi, na tushacheza na spurs, man u, man city, chelsea.Humu false hopes nyingi ila ukiangalia kwa ukaribu utakuja gundua katika timu za top 4 Asenane ndiye aliyecheza game nyepesi wakati wengine wanapitia njia ngumu.
Asenyani bado hajacheza big match na Liverpool, Brighton, Newcastle, West Ham nk.
Game kubwa alizocheza ametoa draw na Tottenham, Chelsea, na pia Fulham.
Maana yake kama Arse8 anadondosha point kizembe hivi kwenye big match tutegemee kuona akidondosha point nyingi zaidi hapo mbeleni akikutana na wakubwa wengine
Sio kwamba mlikuwa na kiwango kibovu sema sisi Ndio tumewafanya muwe wabovu tumeshinda mechi tatu mfululizo sio kwa bahati mbaya kabla ya kukutana na nyie nyinyi mkawa na picha kwasababu ya nafasi yetu tunayoshika kwenye table wakati team ilishabadilika tulikuwa compact tukaziba space na tulikuwa tunawin mipira ya kugombania most sasa nyinyi mnashinda against ya team ambayo ipo open Ndio ubora Wenu unaonekanaSio uongo mmecheza vyema despite ya matokeo lakini msijidanganye kama performance hii mtakuja kui display tena mkija Emirates..
Leo mmeshindwa kutumia home advantage kutufunga, mkiwa mbele kwa mabao 2, wakati huo huo Arsenal ikiwa kwenye kiwango kibovu inatoka nyuma na kupata sare.
If I were you, I'd never have such idea.
Chelsea sio wabovu kama unavyofikiri wanashindwaga ni kwenye kumalizia tu nafasi basi but wanapiga mpira mkubwa sana hivi uliona dhidi ya Liverpool walivyokuwa wanapigwa msako wa maana kipindi vyote walimiliki waa, walitengeneza nafasi nyingi sana za goal but the end mechi inaisha draws but kama wangetumia nafasi liverpool alikuwa anapigwa hata 6Title contender anashangilia draw dhidi ya Chelsea dhaifu😂