Niliandika kabla ya Mechi kumwambia huyu Mhuni HAMIS kwamba ajifunze kumheshimu Mpinzani,aache kudanganya watu humu na VITAKWIMU vyake vya KISENGE,haya dakika 45 hatuna hata on target moja
ni mazuzu tu ambao huwa wanamuamini na nyuzi zake za KIPUUZI humu jukwaani