[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe jamaa hujawahi ishiwa maneno aisee
Wachezaji Kama Kai wapo kwa ajili yakuzi kill timu Kama Mancity ,
Uliona umuhimu wa aeria duels ,alipoingia Mancity wakawa hawapati mipira ya juu,
Kai anaweka kwenye deep freezer,anatuliza ,anatoa assist
Mechi Kama zile huwez kutoboa na kina nketiha
Kai simuweki kwenye First eleven sababu napenda kiungo Cha
Ode Partey Rice
Lakin napenda kumuona Kama CF ,but Kuna Jesus, so Kama plan B mambo yakiwa magumu ,Basi Kai anafaa ,
View attachment 2785235