Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal imetangaza kazi ,Kama una sifa pita kwenye link , muhimu Sana uwe mbunifu wa social media , content ,ujue lugha ya malkia vizuri maana Kuna kuwafanyia interview wachezaji na staff

We're hiring a social media producer to join us Arsenal

You’ll be responsible for:

  • Producing content for our club channels
  • Reporting at men’s, women’s and academy matches
  • Planning/conducting interviews with players and staff

Apply here arsn.al/GmCKbu6
 
Arsenal imetangaza kazi ,Kama una sifa pita kwenye link , muhimu Sana uwe mbunifu wa social media , content ,ujue lugha ya malkia vizuri maana Kuna kuwafanyia interview wachezaji na staff

We're hiring a social media producer to join us Arsenal

You’ll be responsible for:

  • Producing content for our club channels
  • Reporting at men’s, women’s and academy matches
  • Planning/conducting interviews with players and staff

Apply here arsn.al/GmCKbu6
Masingeli kazi inakufaa sana hio na pia unaimudu vizuri kabisa, haya fungua link uanze mchakato.
 
Kwny hii ratiba ataambulia point 4 tu akijitahidi ila akikaa vbaya atapata point 1 nayo ni dhidi ya Brentford....Man U hawatakubali kudhalilishwa pale OT
OT sasa hivi limeshakua shamba la bibi, sasa hivi hakuna tena timu inayoogopa kucheza pale kwenye matofali ya kuchoma.
 
Masingeli kazi inakufaa sana hio na pia unaimudu vizuri kabisa, haya fungua link uanze mchakato.
Dah kwanza ulipotelea wapi aisee

Majukwaa yalipoa

Hiyo kazi ningekuwa napiga English ya kiwango Cha juu ningeomba ,sisi wa St.kayumba hazitufai hizo, unaona hapo Kuna kuwafanyia interview wachezaji na staff , inahitaji lugha iwe inapanda kwa kiwango kikubwa Sana .
 
Dah kwanza ulipotelea wapi aisee

Majukwaa yalipoa

Hiyo kazi ningekuwa napiga English ya kiwango Cha juu ningeomba ,sisi wa St.kayumba hazitufai hizo, unaona hapo Kuna kuwafanyia interview wachezaji na staff , inahitaji lugha iwe inapanda kwa kiwango kikubwa Sana .
Hizi mechi za kimataifa zinazingua tunaamua kwanza kwenda kutulia kwenye majukwaa ya Israel na Palestina kwa muda.
Acha mchecheto Masingeli mbona kiinglish chako kimenyooka vizuri tu, au kiingreza chako ndio kama changu kinaishia kwenye kalamu la karatasi ila ukisimama na mtu kuongea nae unaanza kuyatafuta maneno na huyapati
 
Hizi mechi za kimataifa zinazingua tunaamua kwanza kwenda kutulia kwenye majukwaa ya Israel na Palestina kwa muda.
Acha mchecheto Masingeli mbona kiinglish chako kimenyooka vizuri tu, au kiingreza chako ndio kama changu kinaishia kwenye kalamu la karatasi ila ukisimama na mtu kuongea nae unaanza kuyatafuta maneno na huyapati
Acha tu sitaruhusu mwanangu asome hizi shule nilizosoma Mimi
 
Naona Masingeli sasa hivi anatamba tu humu peke yake na kuwalisha false hopes.
Nachoshukuru sasa hivi Masingeli mwenyewe ameanza kukubali kua Kai Harvez ilikua ni biashara haramu hata kwenye first 11 yake hamuweki tena.


Wewe jamaa hujawahi ishiwa maneno aisee


Wachezaji Kama Kai wapo kwa ajili yakuzi kill timu Kama Mancity ,

Uliona umuhimu wa aeria duels ,alipoingia Mancity wakawa hawapati mipira ya juu,

Kai anaweka kwenye deep freezer,anatuliza ,anatoa assist

Mechi Kama zile huwez kutoboa na kina nketiha

Kai simuweki kwenye First eleven sababu napenda kiungo Cha

Ode Partey Rice

Lakin napenda kumuona Kama CF ,but Kuna Jesus, so Kama plan B mambo yakiwa magumu ,Basi Kai anafaa ,

20231017_145956.jpg
 
Nimevaa uhusika Kama shabiki wa Chelsea ,nimegundua jumamos hatutoki tunajifariji tu

Nimegundua tunahitaji kuwa makini dakika zote 90 ,tusifaye makosa ,lasivyo half time Arsenal wanaweza kutupiga 3-0
 
Nyie Kenge FC hakuna mchezaji wenu hata mmoja anaingia hii first eleven

Kama hakuna wakuwaambia ukweli ,Mimi najitolea kuwaambia ili nisije chomwa Moto


Kama mnabisha tafuta mchezaji wenu yeyote halafu aingie kwenye hii first eleven

Tunakuja kushinda Mara ya 4 mfululizo hapo Darajani
20231017_145956.jpg
 
West Ham striker Michail Antonio on the #Arsenal Goalkeeper situation:

"I feel like this one has been so big because of how well Arsenal did last year and Ramsadle was their number one. The fact that they brought in Raya and just threw him in, the media has made it more than it actually is. At the end of the day, the manager makes the decision and he's chosen to put Raya in. It's just what it is."
 
Jermaine Pennant on Ivan Toney:

"In a team like #Arsenal where they can control the game, he would be the absolute perfect fit.

"He would be like a modern era Ian Wright. I would be shocked if Arsenal didn’t go out and get him this season." #afc
20231018_212731.jpg
 
Nyie Kenge FC hakuna mchezaji wenu hata mmoja anaingia hii first eleven

Kama hakuna wakuwaambia ukweli ,Mimi najitolea kuwaambia ili nisije chomwa Moto


Kama mnabisha tafuta mchezaji wenu yeyote halafu aingie kwenye hii first eleven

Tunakuja kushinda Mara ya 4 mfululizo hapo Darajani
View attachment 2785482
Endelea kuota hivyo hivyo ,haitatokea kamwe .
Utaona kinachokupata jumamosi ,itakuwa ni aibu na fedheha kwako ewe mshabiki wa asenane
Angalizo : Msikimbie hiki kijiwe chenu ,msijinyonge na wala msije mkavunja vibanda umiza huko kitaa kwa hasira zenu baada ya kupigwa kipigo cha mbwa koko na bingwa wa dunia Chelsea
 
Back
Top Bottom