Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I am still surprised why City let Gundogan go? Not sure if city have already found his replacement. Yule bwana alikuwa anawabeba sana city kwenye critical moments.
His void will be felt this season
Mkuu hili Jambo tuliwahi ongea humu na Mkorea,wakati Ni vile watu wanakaza vichwa

Gundogan ,mahrez hawa walikuwa wanaokoa mechi muhimu

Kdb fitness itamsumbua tulisema humu ,

Bernardo as winger anakamatika kirahisi Sana ,coz sio pure and natural winger
 
Huyo Lens uliangalia mpira ?una uhakika Lens akija Emirates ,ukiweka agregate atatoboa

Hatusemi hatufungwi ,hata Ac Milan 2007 alipigwa na Lens

Hata Madrid ya Zidane ilifungwa na Timu dhaifu ya kina Peter Banda aliyefeli Simba

Kama unajiamini, weka laki hapa lens akija Emirates anakula 3+


Eti mancity alikuwa kilema ,nimembutua Mara 2 msimu huu ,

Nyie kila siku mnasema Wana kikos kipana Leo unasema walikuwa vilema

Mashabiki wa manjesta lini mtakuwa na akili ?


Walikuwa na Rodri ,Kdb tuliwapakisha Basi wakatema bungo ,au mnajisahaulisha
Huna ubabe wa kumfunga timu ya ovyo kama Lens Halafu unajigamba unajiita mwamba, we subiri jumamosi tukutoe Manundu
 
Arsenal NDOO

FA, LIGI, UEFA

hapo tunapita na mawili, waamue wenyewe tuchukue lipi na lipi
Ninyi pimbi hamna ubavu wa kubeba ligi wala Uefa tena hiyo UEFA ndio msahau kabisa katika vinywa vyenu .
Ninyi kombe lenu li Karaghabao cup , na hiyo FA hamnusi msimu huu
Ninyi ni kama spurs Tu , gari la mkaa
 
Ninyi pimbi hamna ubavu wa kubeba ligi wala Uefa tena hiyo UEFA ndio msahau kabisa katika vinywa vyenu .
Ninyi kombe lenu li Karaghabao cup , na hiyo FA hamnusi msimu huu
Ninyi ni kama spurs Tu , gari la mkaa
Unajidhalilisha mkuu
 
Mwaka huu hata Carabao nilisema tunalitolea macho Tena mawili ,

Kule Carabao tuna kina Aaron Ramsdale , Trossard,Jorginho

Tuna kihunzi Westham , tukipita hiki

Tukutane fainal pale WEMBLEY kwenye Carabao

Tukimpiga Westham ,tunaingia Robo , tunacheza Emirates
Hilo ndio kombe lenu ,na msimu huu hamchukui ,kiufupi ninyi ni vibonde
 
Which signing has been the best value for money?

Gabriel Martinelli £6m
Aaron Ramsdale £24m
William Saliba £27m
Martin Ødegaard £30m
 
Unajidhalilisha mkuu
Usihangaike nae ,ana siku 5 atapotea hataingia humu

Walikuwepo wenzie walisema wapigwe na ban

Acha abwabwaje
20231016_155556.jpg
 
Hilo ndio kombe lenu ,na msimu huu hamchukui ,kiufupi ninyi ni vibonde
Huyu asikusumbue ,vichwa maji Kama Hawa niachie ,kuanzia Next week nataka niweke kambi jukwaa Lao nitakuwepo miezi miwili

Timu ipo nafasi ya 11 tutaichabanga iende nafasi ya 13

Halafu nitaanza kutembea na hii ratiba Yao mpaka nihakikishe wanashika nafasi ya 17,

Nitalikodi jukwaa Lao kwa miezi miwili


I will be there no matter what


20231016_110439.jpg
 
Huyu asikusumbue ,vichwa maji Kama Hawa niachie ,kuanzia Next week nataka niweke kambi jukwaa Lao nitakuwepo miezi miwili

Timu ipo nafasi ya 11 tutaichabanga iende nafasi ya 13

Halafu nitaanza kutembea na hii ratiba Yao mpaka nihakikishe wanashika nafasi ya 17,

Nitalikodi jukwaa Lao kwa miezi miwili


I will be there no matter what


View attachment 2784015
Hao wote mechi rahisi kuliko zote ni kucheza dhidi ya timu mbovu kama Asenane
 

Hiyo jersey ninayo ni ya msimu wa 2011/12. Maana yake hapo alikuwa na 18yrs, watu wa West Africa huwa na maumbo makubwa ni sawa lakini ukitazama face yake inasuggest umri juu ya huo.

Inawezekana kabisa hata kina Arteta wamebaini hilo ndio maana pamoja na umuhimu wake bado unaona wanataka kumuachia.

Kama kweli yuko atleast 2yrs above current age ni ngumu kuepuka majeruhi ya mara kwa mara kwa level ya intensity ya mazoezi na mechi pamoja na high demands za kocha uwanjani. Labda ndio sababu pia Arteta anampa club doctor hata kwenye international duties.

Ndio maana, mara nyingi me huwa ni mzito sana kuquestion maamuzi ya watu ambao ni full time professionals (Arteta et al) na wanafanya kazi week in week out na hawa watu.

Kuna a lot of details ambazo ni undisclosed zinazo tumika kufikia maamuzi husika, sisi kama mashabiki mara nyingi tunaona mechi live na picha za mazoezini ila mengi ya ndani hatuna taarifa za kutosha.
Ronaldo na Messi wana umri mkubwa ila majeruhi yapo mbali
 
Huyu asikusumbue ,vichwa maji Kama Hawa niachie ,kuanzia Next week nataka niweke kambi jukwaa Lao nitakuwepo miezi miwili

Timu ipo nafasi ya 11 tutaichabanga iende nafasi ya 13

Halafu nitaanza kutembea na hii ratiba Yao mpaka nihakikishe wanashika nafasi ya 17,

Nitalikodi jukwaa Lao kwa miezi miwili


I will be there no matter what


View attachment 2784015
Unasema?????
 
Back
Top Bottom