


Hiyo jersey ninayo ni ya msimu wa 2011/12. Maana yake hapo alikuwa na 18yrs, watu wa West Africa huwa na maumbo makubwa ni sawa lakini ukitazama face yake inasuggest umri juu ya huo.
Inawezekana kabisa hata kina Arteta wamebaini hilo ndio maana pamoja na umuhimu wake bado unaona wanataka kumuachia.
Kama kweli yuko atleast 2yrs above current age ni ngumu kuepuka majeruhi ya mara kwa mara kwa level ya intensity ya mazoezi na mechi pamoja na high demands za kocha uwanjani. Labda ndio sababu pia Arteta anampa club doctor hata kwenye international duties.
Ndio maana, mara nyingi me huwa ni mzito sana kuquestion maamuzi ya watu ambao ni full time professionals (Arteta et al) na wanafanya kazi week in week out na hawa watu.
Kuna a lot of details ambazo ni undisclosed zinazo tumika kufikia maamuzi husika, sisi kama mashabiki mara nyingi tunaona mechi live na picha za mazoezini ila mengi ya ndani hatuna taarifa za kutosha.