Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

huyu jamaa pale kwa Simeoni alikuwa hapati injury , kuja Arsenal kila siku injury ,means alidanganya umri ,na hii Ni kawaida kwa waafrika wanachelewa kwenda ulaya , Kama hapa anasema ana 30yrs , unaweza kuta amepunguza hata miaka mitatu
Unaweza kuta kaongopa hata mi5.
Mwaka fulani tulipata nafasi timu fulani premier league kwa kigezo cha U17, ila mie nilikuwa bize na masomo nishafikisha 22 sikuhangaikia sababu ya masomo, ila jamaa yangu alikuwa mkubwa zaidi yangu akarudisha miaka nyuma na akaenda kukipiga fresh tu. 🤣

Watu weusi umri tunadanganya mnooo., We angalia mzize eti ndio ana 20, kina essien miili ikawa ina pancha daily 🤣.
Lazio kuna kijeba kimoja cha nigeria kiliongopa umri, nimekisahau jina kile.🤣
 
Hizi ni assumptions ambazo unaweza shindwa ku-defend. Ina maana Jesus, Martineli, Tierney Vieira wanaoumia mara kwa mara nao ni kwa sababu ya umri.
Kwanini Mesi na Ronaldo hawaumii mara kwa mara?
Mere unproven assumptions

Of course, ni assumptions tu ndio maana nimesema “inawezekana” na moja kwa moja nikajaribu kuhusianisha uwezekano huo na issue yake ya kutaka kuuzwa huku kila mtu anakiri na hata usipokiri Partey anadhihirisha kuwa bado anahitajika Arsenal na hatujawa na “perfect substitute” yake.

Sijamlaumu wala sina uthibitisho wowote zaidi ya kujibu ‘jokes’ alizo raise makaveli10 na hamis77
 
Of course, ni assumptions tu ndio maana nimesema “inawezekana” na moja kwa moja nikajaribu kuhusianisha uwezekano huo na issue yake ya kutaka kuuzwa huku kila mtu anakiri na hata usipokiri Partey anadhihirisha kuwa bado anahitajika Arsenal na hatujawa na “perfect substitute” yake.

Sijamlaumu wala sina uthibitisho wowote zaidi ya kujibu ‘jokes’ alizo raise makaveli10 na hamis77

Nimekuelewa, jamaa bado tunamuhitaji sana. When 100% fit, hata betting companies uwa wanatupa odds ndogo
 
Unaweza kuta kaongopa hata mi5.
Mwaka fulani tulipata nafasi timu fulani premier league kwa kigezo cha U17, ila mie nilikuwa bize na masomo nishafikisha 22 sikuhangaikia sababu ya masomo, ila jamaa yangu alikuwa mkubwa zaidi yangu akarudisha miaka nyuma na akaenda kukipiga fresh tu.

Watu weusi umri tunadanganya mnooo., We angalia mzize eti ndio ana 20, kina essien miili ikawa ina pancha daily .
Lazio kuna kijeba kimoja cha nigeria kiliongopa umri, nimekisahau jina kile.

Haya mambo yapo sana, kuna mshakaji pia tulikua naye kitaa ni mwanangu tulikuwa tunapiga boli pamoja ila amenizidi miaka miwili na madarasa mawili tangu primary na baadaye sekondari moja.

Basi nikiwa form two yeye akamaliza form four, kwa miaka ya tisini std seven unamaliza na 15yrs so ukiongeza na minne ya sekondari akawa na 19yrs ila baada ya kumaliza form four, mwaka unaofuta akacheza under 17 national team na akendelea kwa mwaka mwingine.

Baada ya hapo akasajiliwa na JKT Ruvu wakampa na ajira, akamalizia soka lake hapo ila mshkaji alikuwa bonge ya player na ni versatile haswa. Alikuwa anacheza CB, holding midfield, attacking mid, both wings na ni CF hatari sana.

Huyu kama angekuwa spotted mapema angeenda nje na naamini angekuwa na career nzuri sana kwa mazingira ya wenzetu ila ndio hivo kwa familia zetu tulikuwa tunazuiwa ‘kuzama’ kwenye soka kwa kuwa mpira haukuwa na defined future kipindi hicho.
 
Mohamed Elneny interview: ‘I cried when Arsenal asked me to stay, I want to finish my career here’



“It was one of the happiest days in my life,” says Elneny. “The way they spoke to me, the way the entire club was happy about this decision, they made me cry this day.

“Arsenal football club, they know I love them 100 per cent, so much. They know I don’t want to leave. I want to stay and finish my career there, 100 per cent.

“I was injured and my contract was finishing and I could not play anymore last season, and they came straight away after I got injured, the next day and said: ‘Mo, what sort of contract will it have to be? We love you here and we and we want you to stay’. Really, this club is great.”


“I am thinking about football all the time because I know we have had older players before who have finished their careers, and they don’t know what to do after,” says Elneny. “It is much better to think now, because then when you finish you can have something already built.

Elneny has been doing his coaching badges and has secured his UEFA B Licence. He is one of a number of Arsenal players, past and present, who have been inspired to go into coaching after working under Mikel Arteta.
 
Mashabiki wa Chelsea wanapanga siku ya Game Yao na Arsenal wamzomee Kai Havertz

Ikumbukwe Havertz ndo alifunga goli Fainali ya UCL against Man City

Hii fanbase ya kupuuzi kuliko hata ultras wa PSG
 
Mashabiki wa Chelsea wanapanga siku ya Game Yao na Arsenal wamzomee Kai Havertz

Ikumbukwe Havertz ndo alifunga goli Fainali ya UCL against Man City

Hii fanbase ya kupuuzi kuliko hata ultras wa PSG
Game na kenge, Kai atatokea bench
Arteta anajua kucheza na hiz mind games

Kai anaingia wameshaloa kamba 3,
uwanja umeinama
Watoto mchele mchele wanapelekewa Moto
JamiiForums-143610989.jpg
 
, yan nacheka kama mazuri ila lijamaa kama limeziweka timu kama chelsea chini ya Luton lazima ukeleke sana kama shabiki ya chelsea

Aisee mkorea na hamis77 hawa jamaa unaweza chukulia poa comments zao humu kama wewe ni Arsenal fan ila ukweli hawa jamaa kuna muda ukijaribu kuvaa viatu vya fans wa team pinzani utakereka sana na kuna muda unaweza shauri team isiletwe kupambana na Arsenal.

Imagine mkorea anasema Chelsea akiamua kukaa nyuma, half time ubao utakuwa unasoma 0-5 na akitaka tupishane basi dhahama itamkuta

Then anaenda mbali na kuiweka Chelsea chini ya Luton fc in terms of threat daah ndio maana hata tukitoa sare tu humu ndani ni povu la kufulia maduvet yaan

hamis77 anasema manyumbu hawawezi piga hata pasi 5, maelekezo ya 7hag ni kuwa mpira ukipatikana popote upigwe alipo Rashfod then chelsea na manyumbu wana points zetu 12 msimu huu.
 
Aisee mkorea na hamis77 hawa jamaa unaweza chukulia poa comments zao humu kama wewe ni Arsenal fan ila ukweli hawa jamaa kuna muda ukijaribu kuvaa viatu vya fans wa team pinzani utakereka sana na kuna muda unaweza shauri team isiletwe kupambana na Arsenal.

Imagine mkorea anasema Chelsea akiamua kukaa nyuma, half time ubao utakuwa unasoma 0-5 na akitaka tupishane basi dhahama itamkuta

Then anaenda mbali na kuiweka Chelsea chini ya Luton fc in terms of threat daah ndio maana hata tukitoa sare tu humu ndani ni povu la kufulia maduvet yaan

hamis77 anasema manyumbu hawawezi piga hata pasi 5, maelekezo ya 7hag ni kuwa mpira ukipatikana popote upigwe alipo Rashfod then chelsea na manyumbu wana points zetu 12 msimu huu.
Hawa ndo mabalozi wetu wa kuwakera wapinzani.
 
EXCLUSIVE

Arsenal keep monitoring the same players they like and Douglas Luiz remains one of them. He's always been appreciated

"Get 1 Year's Subscription to my Premium Newsletter for FREE! Subscribe NOW - thedailybriefing.io/cd70fdfa" - @FabrizioRomano


Huyu jamaa ndo mrithi wa Partey Summer?
 
Hivi Chelsea walimdhulumu Abramovic hela yake uwekezaji au kuna kitu alipata?
Chelsea imerudi ilikotoka ,

Nachelea kusema imekuwa Kama N.Forest ,inapambana kubaki kwenye Ligi tu

Hayo huwa Ni maisha ya oil money clubs

Leo hii Pep anajiandaa kutafuta mrithi wake pale mancity ,anamtaja Di Zerbi after 2yrs

Nao watarudi walikotoka
 


Kenge anakufa mkono Kama akiamua kukaa nyuma

Akijiroga kutaka kupishana, dhahama itamkuta
Hii game naipenda sababu watataka kupishana ,hapo ndio watakutana na dhahama

Stamford Bridge ni moja ya viwanja tunapata matokeo kirahisi Sana

Tumewahi kwenda hapo na front three ya

Smith Rowe Nketiah saka

Kipindi wapo

Tukawapiga 4-2

Tumekuwa tunawapiga hapo kirahisi

Wanasema Arsenal ina viwanja vitatu

Emirates
Wembley
Stamford Bridge


20231016_161725.jpg
20231016_155556.jpg
 
Ratiba yetu ilivyo inatakiwa tukusanye points nyingi iwezekanavyo

Nia tunayo uwezo tunao

Upande wa UCL sijawahi kuwa na wasiwasi sababu tulishajiandaa kwa Hilo

Tukutane Robo fainal ,huku group stages tutaongoza kundi, Round ya 16 tutapita

Kwenye Robo ndio tunatakiwa kuwa watulivu hapa tutakutana na timu ambazo ukikaa vibaya zinakupeleka hatua za penalties


But tumejiandaa kwa Hilo ,

Una backline ya

White Saliba Magalhaes Timber

_______ Partey Rice ______

Tumecheza na mancity Mara 2 msimu huu wanashindwa kabisa kutoboa ,mechi ya kwanza kwa dakika 100 wanapata On target 2 ,mechi ya 2 kwa dakika 94 wanapata On target 1 ,hii Ni mipango ya Champions League, ninaposema UCL wakutusumbua Ni mancity Kuna watu wanaona nafanya jokes

Hiyo Ni February , Timber kasharudi , tunaitafuta Nusu fainal na fainal

SION SABABU YA KUTOKUWEPO PALE WEMBLEY MWEZI MAY





20231016_102344.jpg
 
Ratiba yetu ilivyo inatakiwa tukusanye points nyingi iwezekanavyo

Nia tunayo uwezo tunao

Upande wa UCL sijawahi kuwa na wasiwasi sababu tulishajiandaa kwa Hilo

Tukutane Robo fainal ,huku group stages tutaongoza kundi, Round ya 16 tutapita

Kwenye Robo ndio tunatakiwa kuwa watulivu hapa tutakutana na timu ambazo ukikaa vibaya zinakupeleka hatua za penalties


But tumejiandaa kwa Hilo ,

Una backline ya

White Saliba Magalhaes Timber

_______ Partey Rice ______

Tumecheza na mancity Mara 2 msimu huu wanashindwa kabisa kutoboa ,mechi ya kwanza kwa dakika 100 wanapata On target 2 ,mechi ya 2 kwa dakika 94 wanapata On target 1 ,hii Ni mipango ya Champions League, ninaposema UCL wakutusumbua Ni mancity Kuna watu wanaona nafanya jokes

Hiyo Ni February , Timber kasharudi , tunaitafuta Nusu fainal na fainal

SION SABABU YA KUTOKUWEPO PALE WEMBLEY MWEZI MAY





View attachment 2783810
Arsenal NDOO

FA, LIGI, UEFA

hapo tunapita na mawili, waamue wenyewe tuchukue lipi na lipi
 
Chelsea imerudi ilikotoka ,

Nachelea kusema imekuwa Kama N.Forest ,inapambana kubaki kwenye Ligi tu

Hayo huwa Ni maisha ya oil money clubs

Leo hii Pep anajiandaa kutafuta mrithi wake pale mancity ,anamtaja Di Zerbi after 2yrs

Nao watarudi walikotoka
Team yenu iko na average coach Hana exposer yeyote ,Hana historia yeyote mbaya Zaidi mnategemea awape CL ,PL ,FA sijui na ujinga gani ....

Bro amka toka usingizini ,Arteta Hana uwezo wa kuchukua kombe lolote mbele ya Hawa makocha pep ,klop ,Carlo ,simion ,tuchel .......

Sevilla tu anaweza kuwafundisha adabu hata mkikutana final Europa au CL ,...

Kombe kubwa kama CL halibebwi na average coach kama Hao Mzee ,kama unavuta bangi sema mapema , au kama umechanganyikiwa mpaka sasa unatype uko mirembe sema ...

Hakuna kombe utakalo chukua na average coach never ,labda uchukue masahani ya carabao na community shield...
 
Arsenal NDOO

FA, LIGI, UEFA

hapo tunapita na mawili, waamue wenyewe tuchukue lipi na lipi
Mwaka huu hata Carabao nilisema tunalitolea macho Tena mawili ,

Kule Carabao tuna kina Aaron Ramsdale , Trossard,Jorginho

Tuna kihunzi Westham , tukipita hiki

Tukutane fainal pale WEMBLEY kwenye Carabao

Tukimpiga Westham ,tunaingia Robo , tunacheza Emirates
 
Team yenu iko na average coach Hana exposer yeyote ,Hana historia yeyote mbaya Zaidi mnategemea awape CL ,PL ,FA sijui na ujinga gani ....

Bro amka toka usingizini ,Arteta Hana uwezo wa kuchukua kombe lolote mbele ya Hawa makocha pep ,klop ,Carlo ,simion ,tuchel .......

Sevilla tu anaweza kuwafundisha adabu hata mkikutana final Europa au CL ,...

Kombe kubwa kama CL halivebwi na average coach kama Hao Mzee ,kama unavuta bangi sema mapema , au kama umechanganyikiwa mpaka sasa unatype uko mirembe sema ...

Hakuna kombe utakalo chukua na average coach never ,labda uchukue masahani ya carabao na community shield...
Sijibishanagi na mtu anayejiita mshabiki wa Mamacita

Maana Ni sawa na wanawake ambao kila timu inayoshinda wanashabikia
 
Back
Top Bottom