mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
wewe malizana nao tu mzee



Kenge anakufa mkono Kama akiamua kukaa nyuma
Akijiroga kutaka kupishana, dhahama itamkuta
wewe malizana nao tu mzee



Unaweza kuta kaongopa hata mi5.huyu jamaa pale kwa Simeoni alikuwa hapati injury , kuja Arsenal kila siku injury ,means alidanganya umri ,na hii Ni kawaida kwa waafrika wanachelewa kwenda ulaya , Kama hapa anasema ana 30yrs , unaweza kuta amepunguza hata miaka mitatu
Hizi ni assumptions ambazo unaweza shindwa ku-defend. Ina maana Jesus, Martineli, Tierney Vieira wanaoumia mara kwa mara nao ni kwa sababu ya umri.
Kwanini Mesi na Ronaldo hawaumii mara kwa mara?
Mere unproven assumptions
Of course, ni assumptions tu ndio maana nimesema “inawezekana” na moja kwa moja nikajaribu kuhusianisha uwezekano huo na issue yake ya kutaka kuuzwa huku kila mtu anakiri na hata usipokiri Partey anadhihirisha kuwa bado anahitajika Arsenal na hatujawa na “perfect substitute” yake.
Sijamlaumu wala sina uthibitisho wowote zaidi ya kujibu ‘jokes’ alizo raise makaveli10 na hamis77
Unaweza kuta kaongopa hata mi5.
Mwaka fulani tulipata nafasi timu fulani premier league kwa kigezo cha U17, ila mie nilikuwa bize na masomo nishafikisha 22 sikuhangaikia sababu ya masomo, ila jamaa yangu alikuwa mkubwa zaidi yangu akarudisha miaka nyuma na akaenda kukipiga fresh tu.
Watu weusi umri tunadanganya mnooo., We angalia mzize eti ndio ana 20, kina essien miili ikawa ina pancha daily.
Lazio kuna kijeba kimoja cha nigeria kiliongopa umri, nimekisahau jina kile.![]()
Game na kenge, Kai atatokea benchMashabiki wa Chelsea wanapanga siku ya Game Yao na Arsenal wamzomee Kai Havertz
Ikumbukwe Havertz ndo alifunga goli Fainali ya UCL against Man City
Hii fanbase ya kupuuzi kuliko hata ultras wa PSG![]()
, yan nacheka kama mazuri ila lijamaa kama limeziweka timu kama chelsea chini ya Luton lazima ukeleke sana kama shabiki ya chelsea
![]()




ndio maana hata tukitoa sare tu humu ndani ni povu la kufulia maduvet yaanHawa ndo mabalozi wetu wa kuwakera wapinzani.Aisee mkorea na hamis77 hawa jamaa unaweza chukulia poa comments zao humu kama wewe ni Arsenal fan ila ukweli hawa jamaa kuna muda ukijaribu kuvaa viatu vya fans wa team pinzani utakereka sana na kuna muda unaweza shauri team isiletwe kupambana na Arsenal.
Imagine mkorea anasema Chelsea akiamua kukaa nyuma, half time ubao utakuwa unasoma 0-5 na akitaka tupishane basi dhahama itamkuta
Then anaenda mbali na kuiweka Chelsea chini ya Luton fc in terms of threat daahndio maana hata tukitoa sare tu humu ndani ni povu la kufulia maduvet yaan
hamis77 anasema manyumbu hawawezi piga hata pasi 5, maelekezo ya 7hag ni kuwa mpira ukipatikana popote upigwe alipo Rashfod then chelsea na manyumbu wana points zetu 12 msimu huu.

Arsenal keep monitoring the same players they like and Douglas Luiz remains one of them. He's always been appreciated
"Get 1 Year's Subscription to my Premium Newsletter for FREE! Subscribe NOW - thedailybriefing.io/cd70fdfa" - @FabrizioRomanoChelsea imerudi ilikotoka ,Hivi Chelsea walimdhulumu Abramovic hela yake uwekezaji au kuna kitu alipata?
Hii game naipenda sababu watataka kupishana ,hapo ndio watakutana na dhahama
Kenge anakufa mkono Kama akiamua kukaa nyuma
Akijiroga kutaka kupishana, dhahama itamkuta






Arsenal NDOORatiba yetu ilivyo inatakiwa tukusanye points nyingi iwezekanavyo
Nia tunayo uwezo tunao
Upande wa UCL sijawahi kuwa na wasiwasi sababu tulishajiandaa kwa Hilo
Tukutane Robo fainal ,huku group stages tutaongoza kundi, Round ya 16 tutapita
Kwenye Robo ndio tunatakiwa kuwa watulivu hapa tutakutana na timu ambazo ukikaa vibaya zinakupeleka hatua za penalties
But tumejiandaa kwa Hilo ,
Una backline ya
White Saliba Magalhaes Timber
_______ Partey Rice ______
Tumecheza na mancity Mara 2 msimu huu wanashindwa kabisa kutoboa ,mechi ya kwanza kwa dakika 100 wanapata On target 2 ,mechi ya 2 kwa dakika 94 wanapata On target 1 ,hii Ni mipango ya Champions League, ninaposema UCL wakutusumbua Ni mancity Kuna watu wanaona nafanya jokes
Hiyo Ni February , Timber kasharudi , tunaitafuta Nusu fainal na fainal
SION SABABU YA KUTOKUWEPO PALE WEMBLEY MWEZI MAY
View attachment 2783810
Team yenu iko na average coach Hana exposer yeyote ,Hana historia yeyote mbaya Zaidi mnategemea awape CL ,PL ,FA sijui na ujinga gani ....Chelsea imerudi ilikotoka ,
Nachelea kusema imekuwa Kama N.Forest ,inapambana kubaki kwenye Ligi tu
Hayo huwa Ni maisha ya oil money clubs
Leo hii Pep anajiandaa kutafuta mrithi wake pale mancity ,anamtaja Di Zerbi after 2yrs
Nao watarudi walikotoka
, au kama umechanganyikiwa mpaka sasa unatype uko mirembe sema ...Mwaka huu hata Carabao nilisema tunalitolea macho Tena mawili ,Arsenal NDOO
FA, LIGI, UEFA
hapo tunapita na mawili, waamue wenyewe tuchukue lipi na lipi
Sijibishanagi na mtu anayejiita mshabiki wa MamacitaTeam yenu iko na average coach Hana exposer yeyote ,Hana historia yeyote mbaya Zaidi mnategemea awape CL ,PL ,FA sijui na ujinga gani ....
Bro amka toka usingizini ,Arteta Hana uwezo wa kuchukua kombe lolote mbele ya Hawa makocha pep ,klop ,Carlo ,simion ,tuchel .......
Sevilla tu anaweza kuwafundisha adabu hata mkikutana final Europa au CL ,...
Kombe kubwa kama CL halivebwi na average coach kama Hao Mzee ,kama unavuta bangi sema mapema, au kama umechanganyikiwa mpaka sasa unatype uko mirembe sema ...
Hakuna kombe utakalo chukua na average coach never ,labda uchukue masahani ya carabao na community shield...