Ratiba yetu ilivyo inatakiwa tukusanye points nyingi iwezekanavyo
Nia tunayo uwezo tunao
Upande wa UCL sijawahi kuwa na wasiwasi sababu tulishajiandaa kwa Hilo
Tukutane Robo fainal ,huku group stages tutaongoza kundi, Round ya 16 tutapita
Kwenye Robo ndio tunatakiwa kuwa watulivu hapa tutakutana na timu ambazo ukikaa vibaya zinakupeleka hatua za penalties
But tumejiandaa kwa Hilo ,
Una backline ya
White Saliba Magalhaes Timber
_______ Partey Rice ______
Tumecheza na mancity Mara 2 msimu huu wanashindwa kabisa kutoboa ,mechi ya kwanza kwa dakika 100 wanapata On target 2 ,mechi ya 2 kwa dakika 94 wanapata On target 1 ,hii Ni mipango ya Champions League, ninaposema UCL wakutusumbua Ni mancity Kuna watu wanaona nafanya jokes
Hiyo Ni February , Timber kasharudi , tunaitafuta Nusu fainal na fainal
SION SABABU YA KUTOKUWEPO PALE WEMBLEY MWEZI MAY
View attachment 2783810