Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku kama hazitembei hivi wazee au kwangu tu?
20231015_193041.jpg
 
Usije ukakimbia jukwaa kama kawaida yako,ukaacha mikondoo yako inahaha hapa, na pia nataka nikufahamishe mpira hauna bahati, usije ukaja ukasema tuliwabahatsha.
Wewe mwaka Jana hukupotea had nikakutafuta umesahau ?

Hizi tambo zenu pigeni bado mna muda mpaka jumamos ,

Tutakapowalamba nadhani utapotea Kama last season
 
Hamna ubavu huo ,ninyi level zenu ni Luton FC ,hao ndio mnaiweza kuwavimbia ,sio simba wa London Chelsea .
Tutawabikiri na kutoa onyo kali kwenye hiyo mechi , tutapiga kama tunaua mwizi .
Ghalladog na Caicedo watawavunja kwato hao vilema wenu wanaowapa hype
Najua unaongea hivi maana utakimbia tu

Yaani nyie hata tukianza na

Kai Jorginho Vieira

Hamtoboi

Uzuri kwasasa hatuna huruma kabisa

Tutawapiga tuwazamishe mtaa wa 12 halafu mna ratiba ile ya kibabe ,kwa kejeri na dharau hizi , nawapa laana mtaishia nafasi ya 12 tena mwaka huu
 
hawana utofauti, wote UEFA =0
Masingeli usitake kutuaminisha Arse88 nayo ni timu kubwa.
Kenge FC hamna tofaut na N.Forest mna UCL Lakini small teams ,kwasasa mnagombea kubaki kwenye Ligi tu

Nafasi ya 8-15 ndio nafasi zenu, Jumamos ijayo tunawashindilia mbaki huko huko nafasi zenu za 12
 
Hamna ubavu huo ,ninyi level zenu ni Luton FC ,hao ndio mnaiweza kuwavimbia ,sio simba wa London Chelsea .
Tutawabikiri na kutoa onyo kali kwenye hiyo mechi , tutapiga kama tunaua mwizi .
Ghalladog na Caicedo watawavunja kwato hao vilema wenu wanaowapa hype
Huna timu ya kubattle na Arsenal ,

Kenge FC mm nawachukulia Kama N Forest malengo yenu Ni kubaki kwenye Ligi tu , ukiniambia hata nafasi ya 7 utaipata nitakwambia mnahitaji kufanya kazi ya ziada

Mmetumia €1B kusajili Lakini bado hamna timu ya kugombea walau top 7

Mimi huwa nasema Kenge FC mmesharudi zama zenu za kugombea kubaki kwenye Ligi ,hata mtumie pesa kiasi gani
 
Edu Gaspar alikutana na bodi ya Fluminense FC siku ya Ijumaa juzi na inaonekana kama anajaribu kumtaka Mbrazil kiungo mkabaji Andre mwenye umri wa miaka 22 katika Klabu ya Soka ya Arsenal mnamo 2024.

André ni aina ya mchezaji ambaye atastawi Arsenal.

Ni hodari sana ns bora katika 1v1.

Sawa na Declan Rice, yeye ni mashine ya kushinda mpira katikati ya uwanja, uwezo wake wa kurejesha umiliki ni sifa kuu,.

Andre alitakiwa Sana na Liverpool dirisha lililopita , Andre ameitwa Timu ya Taifa ya Brazil baada ya Casemiro kuumia
20231015_223429.jpg
 
Edu Gaspar alikutana na bodi ya Fluminense FC siku ya Ijumaa juzi na inaonekana kama anajaribu kumtaka Mbrazil kiungo mkabaji Andre mwenye umri wa miaka 22 katika Klabu ya Soka ya Arsenal mnamo 2024.

André ni aina ya mchezaji ambaye atastawi Arsenal.

Ni hodari sana ns bora katika 1v1.

Sawa na Declan Rice, yeye ni mashine ya kushinda mpira katikati ya uwanja, uwezo wake wa kurejesha umiliki ni sifa kuu,.

Andre alitakiwa Sana na Liverpool dirisha lililopita , Andre ameitwa Timu ya Taifa ya Brazil baada ya Casemiro kuumia View attachment 2783215
Yule dogo Bitello Dili lake liliendaje?
 
Kwakweli asee ,aweke full mziki ,mambo ya kumuacha nje Partey ,sijui nketiah aanze hapana

Aweke full kikos , tunataka mtu akijichanganya apigwe hata mkono half time ,ili tuheshimihane

Siunaona wiki nzima Hakuna kelele humu

Aweke hii lineup chini

Bado had Sasa hatujawahi kuanza na kiungo Cha Øde Partey Rice na attacking ya Saka Jesus Martinelli

View attachment 2781978
Hapa tukifungwa, tumefungwa wote.
 
Najua unaongea hivi maana utakimbia tu

Yaani nyie hata tukianza na

Kai Jorginho Vieira

Hamtoboi

Uzuri kwasasa hatuna huruma kabisa

Tutawapiga tuwazamishe mtaa wa 12 halafu mna ratiba ile ya kibabe ,kwa kejeri na dharau hizi , nawapa laana mtaishia nafasi ya 12 tena mwaka huu
Hahaaaa ,unawawapa laana mabingwa, unajitambua kweli wewe ? Sisi mabingwa wa epl msimu huu
Chelsea bingwa
 
Dah! Wachezaji wa kiafrika tunaongopa saana umri, napiga hesabu jezi hii mwaka uliotoka na jinsi partey anavyooneka sura hiyo ni tayari miaka 25 hivi.
huyu jamaa pale kwa Simeoni alikuwa hapati injury , kuja Arsenal kila siku injury ,means alidanganya umri ,na hii Ni kawaida kwa waafrika wanachelewa kwenda ulaya , Kama hapa anasema ana 30yrs , unaweza kuta amepunguza hata miaka mitatu
 
Najua unaongea hivi maana utakimbia tu

Yaani nyie hata tukianza na

Kai Jorginho Vieira

Hamtoboi

Uzuri kwasasa hatuna huruma kabisa

Tutawapiga tuwazamishe mtaa wa 12 halafu mna ratiba ile ya kibabe ,kwa kejeri na dharau hizi , nawapa laana mtaishia nafasi ya 12 tena mwaka huu
Unawapa laana? 😂😂😂😂 boss wasamehehe Hawa kwani ni kenge tu na hawajui wasemalo
 
Nafasi ya 11-12 inawahusu
Wenzao Man Shitty waliweka mpk ahadi wataacha kutumia JF ila hawajatimiza na ilikuwa hivihivi wiki nzima walitufanyia Fujo weee ila ilipofika siku ya tukio baada ya kudundwa maneno yakawa meeeengi...sijui mara na wao waacheni wajipooze maana tumewafunga sana....sijui mara mwsho wa siku tutabeba kombe tu...kama tuliwauliza vile....Sasa na Hawa ni hivihivi unawaacha wabwabwaje wee...ikifika siku hyo tuombee tuwe na watu wte halafu tuone watachezea wapi huo mpira wao🤠🤠🤠....
 
Back
Top Bottom