verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,126
- 6,179
Siku kama hazitembei hivi wazee au kwangu tu?
Wewe mwaka Jana hukupotea had nikakutafuta umesahau ?Usije ukakimbia jukwaa kama kawaida yako,ukaacha mikondoo yako inahaha hapa, na pia nataka nikufahamishe mpira hauna bahati, usije ukaja ukasema tuliwabahatsha.
Najua unaongea hivi maana utakimbia tuHamna ubavu huo ,ninyi level zenu ni Luton FC ,hao ndio mnaiweza kuwavimbia ,sio simba wa London Chelsea .
Tutawabikiri na kutoa onyo kali kwenye hiyo mechi , tutapiga kama tunaua mwizi .
Ghalladog na Caicedo watawavunja kwato hao vilema wenu wanaowapa hype
Kenge FC hamna tofaut na N.Forest mna UCL Lakini small teams ,kwasasa mnagombea kubaki kwenye Ligi tuhawana utofauti, wote UEFA =0
Masingeli usitake kutuaminisha Arse88 nayo ni timu kubwa.
Huna timu ya kubattle na Arsenal ,Hamna ubavu huo ,ninyi level zenu ni Luton FC ,hao ndio mnaiweza kuwavimbia ,sio simba wa London Chelsea .
Tutawabikiri na kutoa onyo kali kwenye hiyo mechi , tutapiga kama tunaua mwizi .
Ghalladog na Caicedo watawavunja kwato hao vilema wenu wanaowapa hype
Edu Gaspar alikutana na bodi ya Fluminense FC siku ya Ijumaa juzi na inaonekana kama anajaribu kumtaka Mbrazil kiungo mkabaji Andre mwenye umri wa miaka 22 katika Klabu ya Soka ya Arsenal mnamo 2024.
André ni aina ya mchezaji ambaye atastawi Arsenal.
Ni hodari sana ns bora katika 1v1.
Sawa na Declan Rice, yeye ni mashine ya kushinda mpira katikati ya uwanja, uwezo wake wa kurejesha umiliki ni sifa kuu,.
Andre alitakiwa Sana na Liverpool dirisha lililopita , Andre ameitwa Timu ya Taifa ya Brazil baada ya Casemiro kuumia Yule dogo Bitello Dili lake liliendaje?Edu Gaspar alikutana na bodi ya Fluminense FC siku ya Ijumaa juzi na inaonekana kama anajaribu kumtaka Mbrazil kiungo mkabaji Andre mwenye umri wa miaka 22 katika Klabu ya Soka ya Arsenal mnamo 2024.
André ni aina ya mchezaji ambaye atastawi Arsenal.
Ni hodari sana ns bora katika 1v1.
Sawa na Declan Rice, yeye ni mashine ya kushinda mpira katikati ya uwanja, uwezo wake wa kurejesha umiliki ni sifa kuu,.
Andre alitakiwa Sana na Liverpool dirisha lililopita , Andre ameitwa Timu ya Taifa ya Brazil baada ya Casemiro kuumia View attachment 2783215
Hapa tukifungwa, tumefungwa wote.Kwakweli asee ,aweke full mziki ,mambo ya kumuacha nje Partey ,sijui nketiah aanze hapana
Aweke full kikos , tunataka mtu akijichanganya apigwe hata mkono half time ,ili tuheshimihane
Siunaona wiki nzima Hakuna kelele humu
Aweke hii lineup chini
Bado had Sasa hatujawahi kuanza na kiungo Cha Øde Partey Rice na attacking ya Saka Jesus Martinelli
View attachment 2781978
Kabisa mkuu, usishangae chelkenge akatuganda siku hiyo.Kuna muda mpira hua unamatokeo ya kikatili sana, matarajio makubwa kwenye game hasa Derby ni yakuyaepuka.
Hahaaaa ,Najua unaongea hivi maana utakimbia tu
Yaani nyie hata tukianza na
Kai Jorginho Vieira
Hamtoboi
Uzuri kwasasa hatuna huruma kabisa
Tutawapiga tuwazamishe mtaa wa 12 halafu mna ratiba ile ya kibabe ,kwa kejeri na dharau hizi , nawapa laana mtaishia nafasi ya 12 tena mwaka huu




unawawapa laana mabingwa, unajitambua kweli wewe ? Sisi mabingwa wa epl msimu huuDah! Wachezaji wa kiafrika tunaongopa saana umri, napiga hesabu jezi hii mwaka uliotoka na jinsi partey anavyooneka sura hiyo ni tayari miaka 25 hivi.Never forget that Thomas Parteywas ALWAYS destined to be an #Arsenal man
I cannot wait to see him back in action for us after the international break
View attachment 2782395
Naona siku hizi wewe umekuwa shushu wa ArsenalNimepita kwenye Uzi wa Chelsea eti wanasema Watakupigeni nyingi 🤔
FFP ilizuia ,siunaona hata Raya ni loanYule dogo Bitello Dili lake liliendaje?
Nafasi ya 11-12 inawahusuHahaaaa ,unawawapa laana mabingwa, unajitambua kweli wewe ? Sisi mabingwa wa epl msimu huu
Chelsea bingwa
Dah! Wachezaji wa kiafrika tunaongopa saana umri, napiga hesabu jezi hii mwaka uliotoka na jinsi partey anavyooneka sura hiyo ni tayari miaka 25 hivi.




huyu jamaa pale kwa Simeoni alikuwa hapati injury , kuja Arsenal kila siku injury ,means alidanganya umri ,na hii Ni kawaida kwa waafrika wanachelewa kwenda ulaya , Kama hapa anasema ana 30yrs , unaweza kuta amepunguza hata miaka mitatuKuja arsenal ni uhakika?FFP ilizuia ,siunaona hata Raya ni loan
HapanaKuja arsenal ni uhakika?
Unawapa laana? 😂😂😂😂 boss wasamehehe Hawa kwani ni kenge tu na hawajui wasemaloNajua unaongea hivi maana utakimbia tu
Yaani nyie hata tukianza na
Kai Jorginho Vieira
Hamtoboi
Uzuri kwasasa hatuna huruma kabisa
Tutawapiga tuwazamishe mtaa wa 12 halafu mna ratiba ile ya kibabe ,kwa kejeri na dharau hizi , nawapa laana mtaishia nafasi ya 12 tena mwaka huu
Unawapa laana?boss wasamehehe Hawa kwani ni kenge tu na hawajui wasemalo


Wenzao Man Shitty waliweka mpk ahadi wataacha kutumia JF ila hawajatimiza na ilikuwa hivihivi wiki nzima walitufanyia Fujo weee ila ilipofika siku ya tukio baada ya kudundwa maneno yakawa meeeengi...sijui mara na wao waacheni wajipooze maana tumewafunga sana....sijui mara mwsho wa siku tutabeba kombe tu...kama tuliwauliza vile....Sasa na Hawa ni hivihivi unawaacha wabwabwaje wee...ikifika siku hyo tuombee tuwe na watu wte halafu tuone watachezea wapi huo mpira wao🤠🤠🤠....Nafasi ya 11-12 inawahusu