Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Do you think we got him cheaper? I still believe his price was in the region of £50-70.
Kwa market hii ambayo Casemiro ana 31yrs anaku ofa mwaka mmoja anauzwa €70m,

How about Rice ambaye anakupa A+ kwenye LCM na DM , ambaye utamtumia kwa 7-10yrs

Pep ,Tuchel walikuwa tayari kuweka over £90m ,why?

Ni Mara nyingi Sana mchezaji wa price tag £100m kukuta anasumbuliwa na media sababu wanashindwa kufikia thaman zao,

Kwa Rice inaonekana £105m Ni bargain

Mchezaji kutoka Westham anakuwa Nominees kwenye Ballon dor
 
Partey being protected at all costs ahead of the Chelsea clash next Saturday #afc
20231012_154458.jpg
 
Kwa market hii ambayo Casemiro ana 31yrs anaku ofa mwaka mmoja anauzwa €70m,

How about Rice ambaye anakupa A+ kwenye LCM na DM , ambaye utamtumia kwa 7-10yrs

Pep ,Tuchel walikuwa tayari kuweka over £90m ,why?

Ni Mara nyingi Sana mchezaji wa price tag £100m kukuta anasumbuliwa na media sababu wanashindwa kufikia thaman zao,

Kwa Rice inaonekana £105m Ni bargain

Mchezaji kutoka Westham anakuwa Nominees kwenye Ballon dor

Naweza sema hii biashara ya wachezaji ikiwa regulated this hypothetical pricing of players will be history.
 
Arteta should have mercy on Kenge
Kwakweli asee ,aweke full mziki ,mambo ya kumuacha nje Partey ,sijui nketiah aanze hapana

Aweke full kikos , tunataka mtu akijichanganya apigwe hata mkono half time ,ili tuheshimihane

Siunaona wiki nzima Hakuna kelele humu

Aweke hii lineup chini

Bado had Sasa hatujawahi kuanza na kiungo Cha Øde Partey Rice na attacking ya Saka Jesus Martinelli

20231011_074637.jpg
 
Kwakweli asee ,aweke full mziki ,mambo ya kumuacha nje Partey ,sijui nketiah aanze hapana

Aweke full kikos , tunataka mtu akijichanganya apigwe hata mkono half time ,ili tuheshimihane

Siunaona wiki nzima Hakuna kelele humu

Aweke hii lineup chini

Bado had Sasa hatujawahi kuanza na kiungo Cha Øde Partey Rice na attacking ya Saka Jesus Martinelli

View attachment 2781978
Tukiingia hivi Kenge anakufa wiki kavu
 
Kuna muda mpira hua unamatokeo ya kikatili sana, matarajio makubwa kwenye game hasa Derby ni yakuyaepuka.


.........Rice......................................Odegard.
..............................PARTEY.............................

KENGE wanaweza wasiguse mpira
 


.........Rice......................................Odegard.
..............................PARTEY.............................

KENGE wanaweza wasiguse mpira
Ninyi fisi maji asenyeto ndio mnavyojidanganya au sio?.
Mtapigwa mchakae
 
Mwanzo Arteta alikuwa na Martin ODEGAARD,sasa hivi ameongezeka DECLAN RICE. #Glossaryyasoka

Wachezaji wanaokuwakilisha Kocha Pale Kiwanjani.

Mara nyingi Kocha akishatoa Maelekezo yake,anaishia pale Kwa touch line.

Wanaofanya utekelezaji ni wachezaji.Lakini Kuna nyakati wachezaji wanaweza kutoka kwenye Mstari

Wanaweza Kusahau baadhi Maelekezo ya Kocha.Kwanini? Kwasababu wachezaji sio Maboroti ni Binadamu

Hapa ndo Kocha anahitaji watu Maalumu Kiwanjani kama Nahodha Kwaajili ya Kukumbushana

Huwa wanaita Coaches Extended arm on the Pitch.Mtazame DECLAN RICE anamuelekesa Thomas Partey aina ya Pasi inahitajika wakati huu

Hapa ni Wakati Arteta amefanya Sub 4 .Aliingia Thomas Partey, Tomiyasu, Martinelli na Kai HAVERTZ

Na hawa wote ndo walihusika Kwenye bao la ushindi dhidi ya Manchester CITY

Hivi nyie Wengine mnashabikia hizo team mnazoshabikia Kwasababu Gani? I miss you Arsenal

Mzee wa Jambia
mzeewajambia-20231014-0001.jpg
 
Dah! hamis77 una masimango kama vile Arsenal ni timu moja kubwa sana.
Unanikumbusha mshikaji mmoja wa liverpool anaitwa Captain Marvelous wakati liverpool iko form msimu wa COVID, alitunyanyasa sana kwa kila aina ya rekodi na story unazozijua wewe.

Leo hii nadhani ama amebadilisha ID ya JF au ameacha ushabiki wa mpira baada ya kuishi nje ya matarajio ya timu yake.
Ni suala la muda tu nawe utanyamaza.
 
Dah! hamis77 una masimango kama vile Arsenal ni timu moja kubwa sana.
Unanikumbusha mshikaji mmoja wa liverpool anaitwa Captain Marvelous wakati liverpool iko form msimu wa COVID, alitunyanyasa sana kwa kila aina ya rekodi na story unazozijua wewe.

Leo hii nadhani ama amebadilisha ID ya JF au ameacha ushabiki wa mpira baada ya kuishi nje ya matarajio ya timu yake.
Ni suala la muda tu nawe utanyamaza.
Huyo Ni jobless mmoja Hana Kazi ya kufanya Kazi Ni kutafuta strory ambazo hazina mbele wala nyuma kuandika humu ,unafikili watu WA hivo Wana muda basii soon hutamuona ..
 
Dah! hamis77 una masimango kama vile Arsenal ni timu moja kubwa sana.
Unanikumbusha mshikaji mmoja wa liverpool anaitwa Captain Marvelous wakati liverpool iko form msimu wa COVID, alitunyanyasa sana kwa kila aina ya rekodi na story unazozijua wewe.

Leo hii nadhani ama amebadilisha ID ya JF au ameacha ushabiki wa mpira baada ya kuishi nje ya matarajio ya timu yake.
Ni suala la muda tu nawe utanyamaza.
Mwanangu hupend kabisa tufurahie Arsenal yetu ,dah mbona haukuwa hivo

Wapi nimewasimanga aisee?

Leo mmesahau Arsenal hata tuki draw mnavyotuandama

Mmesahau mlivyotamba humu kuwa tunaenda kufungwa ?

Yaan unategemea nikae humu niponde Arsenal nisifie man u?

Hongereni timu kapewa mzawa Sir Jim
 
Back
Top Bottom