😂 😂 😂 😂 😂 Duu... ndugu nipo sana aisee mambo ni mengi muda ni mchache.Dah! hamis77 una masimango kama vile Arsenal ni timu moja kubwa sana.
Unanikumbusha mshikaji mmoja wa liverpool anaitwa Captain Marvelous wakati liverpool iko form msimu wa COVID, alitunyanyasa sana kwa kila aina ya rekodi na story unazozijua wewe.
Leo hii nadhani ama amebadilisha ID ya JF au ameacha ushabiki wa mpira baada ya kuishi nje ya matarajio ya timu yake.
Ni suala la muda tu nawe utanyamaza.
Timu ikiwa inafanya vyema aisee hua kuna ile feel good vibe muda mwingi na kuona ubingwa "ushatua" nyumbani hivyo hamis77 ni wakati wake sasa afanye fujo kwan muda mrefu sana wamenyanyasika aisee... ila sasa mtihani pale, kuanzia February mpaka May ndio Kipara kwa ukubwa wa kikosi unatunyanyasa.. Tazama tu Arsenal kuumia kwa Andre last season walivyokosa utulivu pale nyuma kwa kua kikosi hakikua na like for like back up...Tuko pamoja mkuu,sema ni vile jukwaa limekumisi na update zako tu.
Lakini unaona fujo za hamis77 ?
Huwezi kufanya valuation ya mchezaji if you dont understand ball, ndio maana watu wa recruitment ni lazma kwanza waelewe mpira tactically, inabidi ujue mchezaji ana add value ipi kwenye kikosi chako, na kwenye idara hii huwezi kuwa bora kumzidi pep Guardiola, sasa kama pep, tuchel, mikel walikuwa tayari kuoffer €100m kwa Daclan, unashangaza wewe shabiki unapo question vitu kama hivyo, hizi ni kazi za watu wapo full time, sio kwamba wanauza mahindi afu badae wanarudi huku kuona nini kimetokea.Ingefanyika revaluation ya wachezaji according to what they offer and a regulated market valuation. There are few player(s) ( maybe one or 2) in the world whose individual value exceeds £90m,
Mbona unatoboa Siri SasaIli chelsea tusiwafunge wahitaji kuwa bora tactically, lakini wanahitaji mental fatigue kwa kufocus mchezoni dakika zote 90, wasiwe na makosamakosa na uzembe, kwa level tuliyofikia kwa sasa ni kama unacheza na Man city, ukijisahau kidogo tu yani watu hivi, watu wanaenda kati.
Na wao wanatamba na Wana matarajio makubwaMpira ni dakika 90,na ni jambo zuri kumheshimu mpinzani wako,msidhani Chelsea Wana miguu miwili na Arsenal miguu mitano,tupunguze matumaini yaliyozidi uwezo
Thomas Partey aliichezea Ghana kwa dakika 45 usiku wa jana katika kichapo chao Cha 2-0 dhidi ya Mexico.
Alibadilishwa wakati wa mapumziko, hata hivyo ulikuwa uamuzi uliopangwa tayari uliokubaliwa na timu ya dakatari wa Arsenal.
Daktari huyo wa kikosi cha kwanza cha Arsenal, Simon Murphy yuko na Thomas Partey huku akiwa kwenye majukumu ya kimataifa tena kuhakikisha anarejea akiwa fiti kabisa kumenyana na Chelsea wikendi ijayo.
Martinelli - Vieira vs Aston Villa
White - Nelson vs Bournemouth
Nketiah - Vieira vs Fulham
Jesus - Vieira vs Man Utd
Martinelli - Havertz vs Man City
Kwenye platforms zao zote nimepita wanadai hivo tena wanajiaminiNimepita kwenye Uzi wa Chelsea eti wanasema Watakupigeni nyingi![]()
Nisipowapiga nyie kenge had half time goli 3-0 ,nitaamini mpira unadundaNyie kondoo tukubaliane kbs, mngependa Mudryk awapge ngapi? ...
hawana utofauti, wote UEFA =0Kwenye platforms zao zote nimepita wanadai hivo tena wanajiamini
Cha ajabu sisi Arsenal humu Kuna watu wanatuzuia tusiseme tutawapiga
Sisi tunawangoja kwa pichi hiyo jumamos
Watatofautisha Kati ya kina Luton,Burney na hii Arsenal
Usije ukakimbia jukwaa kama kawaida yako,ukaacha mikondoo yako inahaha hapa, na pia nataka nikufahamishe mpira hauna bahati, usije ukaja ukasema tuliwabahatsha.Nisipowapiga nyie kenge had half time goli 3-0 ,nitaamini mpira unadunda
Hamna ubavu huo ,ninyi level zenu ni Luton FC ,hao ndio mnaiweza kuwavimbia ,sio simba wa London Chelsea .Kwa lugha hizi na kejeri hizi ,hatuna huruma na nyie