Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

William Saliba and Gabriel cost combined fees of only £48m

Best CB partnership in the Premier League. x
20231013_073704.jpg
 
Gabriel Magalhaes scored his first ever goal for his country last night in Brazil’s game against Venezuela.

Gabriel’s stats against Venezuela:
  • 90 minutes played
  • 102 touches
  • 96% passing accuracy
  • 6 duels won
  • 2 accurate long balls
  • 5 clearances
  • 2 interceptions
  • 1 goal

Our Brazilian beast… @biel_m04
 
Ahaa poa mzee
Kifuatacho Sasa Arsenal watawekeza zaidi kwenye RW na CF ,then watarudi kutafuta LCM mwenye kariba ya DM, sababu Partey na Jorginho wapo mwishoni

Bado tunahitaji pia a natural RCB, Dirisha kubwa tulituma ofa kwa Sporting Lisbon ya €35m kumpata Osmane Diomande ,ana miaka 19 Ni upcoming CB mwenye uwezo Kariba ya Saliba

Sporting Lisbon walikataa , now wanataka wamuongezee mkataba waweke release clause ya €80m

Kama tutawahi tunaweza kumpata kwa €40-45m

But kipaumbele kwa Sasa ni CF na RW

Lakin tunahitaji kuuza pia
 
"About time this guy got humbled."
"He'll be cringing himself watching this back."
"All that aura he built up gone in an instant."

Supporters usually enjoy Haaland's antics but this went too far. Even the reporter was stunned. The City striker ate his words shortly after...
 
"About time this guy got humbled."
"He'll be cringing himself watching this back."
"All that aura he built up gone in an instant."

Supporters usually enjoy Haaland's antics but this went too far. Even the reporter was stunned. The City striker ate his words shortly after...
FB_IMG_1697184172663.jpg
 
Kifuatacho Sasa Arsenal watawekeza zaidi kwenye RW na CF ,then watarudi kutafuta LCM mwenye kariba ya DM, sababu Partey na Jorginho wapo mwishoni

Bado tunahitaji pia a natural RCB, Dirisha kubwa tulituma ofa kwa Sporting Lisbon ya €35m kumpata Osmane Diomande ,ana miaka 19 Ni upcoming CB mwenye uwezo Kariba ya Saliba

Sporting Lisbon walikataa , now wanataka wamuongezee mkataba waweke release clause ya €80m

Kama tutawahi tunaweza kumpata kwa €40-45m

But kipaumbele kwa Sasa ni CF na RW

Lakin tunahitaji kuuza pia
Auzwe nani na nani...Nketiah na Cedric panga lao linanolewa...ila naona na Partey naye msimu ujao hatutakuwa naye atauzwa tu
 
Folarin Balogun amefichua kuwa ame bet na Bukayo Saka kuhusu nani atapata namba bora zaidi msimu huu.

Kwa sasa Saka ana mabao manne na asisti mbili kwenye Premier League.

Balogun ana mabao matatu na asisti moja kwenye Ligue One.

Nimeipenda hii.
20231013_171727.jpg
 
All EPL Matches against pep Guardiola: Manchester united win 7 city win 6 and 1 draw…......... Liverpool win 5 city win 5 draw 4, Chelsea win 4 city win 7 draw 3, even tothenham win 6 city win 6 draw 2 now our brother bottler prime fc loose all there 14 EPL matches consecutively against pep Guardiola arsenal just managed to win 1 and shouting as if they win CHAMPIONS LEAGUE small team mentality arsenal is the only small team that pep Guardiola always destroy mercilessly
20220905_100738.jpg
1697126759063.jpg
 
Thierry Henry juu ya Arsenal:

"Tupo mahali pazuri zaidi kuliko hapo awali, najiona nipo kwenye timu sasa, kama shabiki siongei kama mchezaji, naona timu inapambana, inafanya makosa ambayo yanaweza kutokea.

Miaka 5 iliyopita sikuweza kuhusiana na timu, sikuweza tu.

Nilikuwa nikienda kwenye mchezo kwa sababu ilinilazimu si kwa sababu nilitaka. Kwa sababu tu nilikuwa shabiki wa Arsenal sio kwa sababu nilitaka kuwaona wakicheza. Lakini sasa ninaweza kuona wanachokifanya.

Nina heshima kwa kile Mikel amefanya."
 
Folarin Balogun amefichua kuwa ame bet na Bukayo Saka kuhusu nani atapata namba bora zaidi msimu huu.

Kwa sasa Saka ana mabao manne na asisti mbili kwenye Premier League.

Balogun ana mabao matatu na asisti moja kwenye Ligue One.

Nimeipenda hii.View attachment 2781039
Ilikuwa ni UZUZU kumuuza huyu dogo na kubaki na kina Nketiah na Harvert,huyu ni ASSETS,miaka miwili ijayo atakuja kuwa ghali tutabaki kujisonya kwa kumuuza
 
According to xG philosophy

Chelsea wameimarika chini ya Pochetino in term of possession na kuwa imara kwenye beki

But wanakutana na Arsenal ,elite in possession and Defending

20231013_175013.jpg
 
Gabriel Martinelli to run this back against Chelsea after the international break.

I'll be there
20231013_181735.jpg
 
Back
Top Bottom