Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cc
YinYang
Bridger
Cookie
BlackBold
Moderator

Atimiziwe ombi lake huyu mdau
Ligi Ni marathon ,mim katika kitu ambacho Sina wasiwasi nacho Ni Arsenal kuwa top of the table ...

Ni team flani hivi average ya kitoto haina ambition ,hata tukiwaacha Arsenal na Spurs wakimbizane kugombea ubingwa Spurs will cook you ..

Mara nyingi team ndogo kama Arsenal season after season Ni kusherekea kuzifunga team kubwa ambazo walikuwa na mlolongo bila kuzifunga ,last season ubingwa wenu ulikuwa kuifunga united stoppage time ,ndio maana mlicelebrate kama vile mmechukua EPL ,the rest is history..

Ndio maana hata mashabiki wengi WA Arsenal psychological walishakuwa affect ,Uzi WA Arsenal unaweza fikilia labda wanadiscuss football , tactics na technique ,masikini ya Mungu ukiangalia comments zao Ni za kusikitisha ,maana unahisi Ni watu WA mirembe wapo jf wanajaza server za jf Kwa kuandika pumba tupu ,ila Ni haki Yao Kwa sababu simu Ni zao na Bando Ni Lao ......Sisi wenye Akili timamu tuaoelewa football kuingia Uzi WA Arsenal na kujipishana na watu waliozeeka lakin hawana knowlodge na football Ni matumizi mabaya ya Akili ,,siwezi kabisa absolute not ,..
 
Mara zote tulipokua tunakutana na city tulikua na bahati mbaya ya kikosi
Either kikosi kinajitafuta (enzi za kina mustapha)
Majerui (partey, saliba..)

Kwa mwendo huu wa kikosi kipana
Tusiwe na injuries Sana za watu muhimu

• 23 touches
• 0 shots.
• 0 shots on goal
• 0 goals

• [0.00{ Expected goals rate (xG)

• Found in the pockets of Saliba

Eti Haaland wanamuita jini
 
Tutachukua tu hata Liverpool walikuwa wanakosa kombe mara kibao tu lakini baadae wakalipata na sisi tutalipata punguza kukariri maisha usikae hapo ukafikiri Arteta na Arsenal yake hawajifunzi from mistakes ili wapate matokeo bora zaidi mwisho wa siku kuchukua kombe,i tell you this season is different last season city kachukua point 6 kwetu but now tumeshachukua 3 kutoka kwake na tunasubiri kukusanya more points from top 6 team na hakika msimu huu tutafanya kitu zaidi ya last season mark my words.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa MTU anaejua EPL ,kujua makocha waliopo na mentality walizonazo harafu akaangalia hii table ilivo , ndio unaweza kudhibitisha kuwa kuna watu humu wanajiita Ni mafans WA Arsenal dish lilishayumba , ubingwa hapo bado mnoo ,Kwa table ilivo hata united anaweza kupush game 4 tu akawa top of the table ...
 
Elewa message yangu,kwa mtazamo wangu naona bado tuna uwezo wa kupambania kombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kukariri wewe unaongea as if hao man city toka ianzishwe inachukua tu makombe...arsenal is progressing bro unaona kabsa kila mwaka kuna hatua wanavuka hebu sometimes jaribuni kuwapa credit hiv mmesahau arsenal ilipotoka?
 
Against Arsenal your most clinical finisher hajapiga shot.

The whole team imepiga shots nne.

Sisi tumekubali Arsenal ni timu ndogo. Swali langu kwako ni utajipiga ban au ulikua unanogesha stori?
 
Huyo united apush game 4 awe top of the table labda top 6 wapigwe game zote 4 kitu ambacho siyo rahisi kutokea bro ni kama ndoto tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game na spurs kama partey angekuwepo, zile nafasi kina jesus wangeweka basi tungekuwa tunazungumza mengine.
Kibabu jorginho kiliharibu mambo.

Lakini si mbaya, ndio football.
Jorginho sio mzuri kupiga pasi za mbele, mara zote hupenda kuilinda timu kwa kurudisha mipira kwa Kipa
 
Ila kuna muda huwa naamini pengine martinell akikaa kati kama centre foward pengine tunaweza ona zaidi ya tunachoona
 
hapo Kai umemuongeza tu ila hata asingekuwepo hakuna ambaye angelalamika. Ila Tomi jana sijui aliingia kucheza kama beki ama forward maana nakumbuka kumuona mbele tu anafanya machambulizi ila sikumnbuki kumuona nyuma akikaba
Kuna kitu kimoja jana nilikiona baina ya Ederson- halland -alvarez kuna long ball alikua anazipiga Ederson halland anahold kwa fisrt touch alf alvarez anapita na mpira kama upepo alifanya kama mara mbili au 3 ivi, na last game KDB lituumiza kwa mpira wa aina iyo iyo.

Kwa uwezo wa Raya wa kupiga long ball kwa usahihi tunamuitaji Kai au new striker aina ya Toney kuna mipira ilikua inapotea sana tulikua tunamtegemea jesus pekee kwenye kufanya ivyo ila na yeye alikua yuko Wide kwaiyo nmemtaja Kai kwa kile nilichokiona kwenye game ya Jana,game ambazo anazokuepo na aina ile ya mipira tunayoitaji kucheza,

Kuna jamaa umu alikua analalamika sana kuhusu Arteta kua amekaliliwa na aina yake ya uchezaji ana akawa anahusu angalau kuna muda inabid tupige pasi 3/2 au moja kufika golini na kupata bao naona msimu huu kuna mabadiliko sana ya ivho kitu ambacho jamaa alikua anadai na kina matunda sana, nahis ni kati ya
-Castr
-ComputerArsenal
- Au zittor sina hakika saaana ila kama yupo naona anikumbushe kwaiyo sijamtaja Kai kwa bahati mbaya bro


Tomiyasu mpira upo katikati ila yeye yupo pale ambapo Xhaka alikua anakaa sikuamin kama atakua eneo lile yule jamaa.
 
Kwa maoni yangu Jorginho ana pasi nzuri, long balls na splitting passes kuliko uwezo wa kudefend
Huenda ingawa baada ya kutoka na Kuingia Partey niliona timu ili imarika kwa kwenda Mbele zaidi
 
Umeongea vzr Sana ,ila sababu ya ushabiki watabisha

Na hapo fikiria Timber hayupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…