Ameumia saa ngapi...au Arsenal nao wameanza uhuni wa kufake majeruhi Ili kuepusha watu wasiende timu za taifa....Partey sijui kama kaitwa... Martinelli sijui kama kaitwa...Saka ndo hvyo naye...huu umafia...ndo maana Arteta press alikuwa anatoa mijibu ya uongo tu...OFFICIAL -
Saliba WON'T be joining France for international duty due to a toe injury. Will be replaced by Todibo
(@equipedefrance )
Ile mechi ya Spurs tungempata muhuni Partey pale kati angeendana na zile kazi chafu za akina Bissouma.Dhidi ya Man utd 3 points
Dhidi ya Spurs 1 point
Dhidi ya Man City 3 points
Hii ndiyo maana ya timu kubwa.
Ukitaka kushinda Epl lazima uchukue pints kwa Big 6
We are gunners 💪💪
Hakika, ilikuwa tunabeba points 3 paleIle mechi ya Spurs tungempata muhuni Partey pale kati angeendana na zile kazi chafu za akina Bissouma.
EPL mnaweza kubeba ila UCL ni ngumu sana.Arsenal BINGWA epl na uefa
Tunamtaka Madrid hata kesho
COYG FOREVER
CL ichukuliwa na hawa mamruki ,itawagharimu miaka 1000EPL mnaweza kubeba ila UCL ni ngumu sana.
Wale walipata ujiko siku ile sana mabwana wadogo wale...ila ipo siku Yao🤠🤠🤠...eti Bissouma na Sarr wakawa wanageukageuka tu pale kati....tukikutana nao tukiwa kamili wale....watatueleza siku ile walipataje draw....ile ilikuwa dharau sana siku ile🤠🤠🤠Ile mechi ya Spurs tungempata muhuni Partey pale kati angeendana na zile kazi chafu za akina Bissouma.
Kufikia level zao siyo kazi rahisi. Kwenye mpira muhimu matokeo tu namna ya kuyapata haina maana sana. Kuwafunga tu City ni hatua.Mm nataka siku itokee tuwa dominate na kuwafunga convincingly hapo ndo ntasema Sasa tumewiva kwa Hawa Mabraza...vngnevyo so far tukikutana nao tuwe na game plan nzuri tu...tutaendelea kupata matokeo
Nakubaliana na ww metal fan.. Ambae ulianzisha team shabik lia lia wa Gunners.Tulivyokuwa tunawapiga back to back ulikua hujaanza kushabikia mpira plastic fan
Hahaha! Arsenyani kubeba UCL bado sana, lile kombe lina ukatili mkubwa sana.CL ichukuliwa na hawa mamruki ,itawagharimu miaka 1000View attachment 2775987
Mkuu ukiwa na physicality kama ya jamaa wale na total domination kama Yao...inakupa uhakika wa kuchukua makombe mengi...sawa kuna mechi utaotewa ila uhakika wa mechi nyng kushinda unakuwa nao..na sisi ndo tunapoelekea huko...lazima uwe na watu wa kazi....mfano mzuri mechi ijayo na Chelsea utaelewa nnachokiongea tukiwa full mkoko🤠🤠🤠Kufikia level zao siyo kazi rahisi. Kwenye mpira muhimu matokeo tu namna ya kuyapata haina maana sana. Kuwafunga tu City ni hatua.
Hakuna kombe jepes kubeba Kama UCL ,ndio maana hata timu mbovu zinafikaga mbaliEPL mnaweza kubeba ila UCL ni ngumu sana.
Na tuna wachezaji wenye mentality ya ushindi.. Wakiongozwa na Rice.Hakuna kombe jepes kubeba Kama UCL ,ndio maana hata timu mbovu zinafikaga mbali
Ni michuano ya kimkakati tu
Watu wananiona natania ila mwaka huu tunacheza fainal pale Wembley
Timu nyingi UCL unga unga Sana
Bado mpinzani halisi Ni mancity