Liva ameanza kunyooshwa
Kwahyo pep yeye ndio kila kitu kwenyr mpira ndio mwenye maamuzi ya mwisho sioYani pep akubali kufungwa 2 games streak
Akubali kubaki na 18 points ilihali akijua kuna wenzie
Wakipata 3 points leo yeye atajikuta wa 3 au 4 kwenye
Ligi kuelekea international break
umuhimu wa partey kuwepo kunasaidia sana odeagrd kucheza vizuri
Yaani City ni katuacha tactically iko waziKisha unaambiwa Manchester City fans wanaogopa game ya leo vs Arsenal game, inawezekana leo tukapata positive results itakuwa ni ujinga mkubwa kulose 13 games in a row vs Manchester City wakati EPL Tittle tunaitaka
Fulham - lone DM - drawWewe una mdomo na mpira haujui
Haya hatuchezi double pivot
Vipi manjesta anayecheza double pivot yupo wapi
Comment gani?Kutokana na ile comment ya Zinchenko inawezekana leo asicheze
Nilisema kitakachotupa ushindi mechi ya leo ni NIDHAMU.Tunalaumu United ina wachezaji wazuri ila kocha hajui kuwaunganisha kimbinu.
Hicho alichokishindwa Eriki Kichwa Ngumu Pep amekifanya kwa City for years. Acha hela zao za visima na Dad Sheikh lakini hiki ndicho wanatuzidi.
Ability ya kuset tempo ya mechi. Hiko ndiyo hatujamaster, haswa tukicheza na timu ambazo zina team work ya kwenda toe to toe na sisi.
Kama ukiiangalia Arsenal na City ya sasa unaona Arsenal anaweza kushinda huku anamnyanyasa City basi unakosea vibaya mno.
Mzee unajua alichokoment kweli?Namsupport zincheko bana ,#free Palestine,,kama mnataka kumfanya mlichonfanya Ozil basi laana itaendelea kuwatafuna gaygunners nyie
"we stand behind Isael" means zincheko anasuuport islael ,Mzee unajua alichokoment kweli?
Halafu ndugu yangu Labyrinth 84 wewe una madini ya kutosha kuhusu mpira, hakika wewe unastahili haswa kua mchambuzi nguli.Yaani mtu anafungwa na lens lakini bado anamuona bayern ni wa kawaida kisa tu ushindi wake against man utd uliruhusu kufungwa goli nyingi na united.
United ni mbovu ila katika timu ambayo haitabiriki linapokuja suala la big games, maana inaweza kumfunga team yoyote ile sio city sio madrid sio Liverpool.
Man city kamfunga bayern na real madrid si kwamba ni team mbovu bali ni ubora wa city ni wa viwango vingine ,Arsenal hana ubora kulinganisha na city mpaka ajiweke kwenye upande wa kushinda game against hizi team 2.
Linapokuja suala la knockout stage approach ya hizi team ni tofauti kabisa na Group stage.
I stand with IsraelComment gani?