Kwani we timu gani? Newcastle, Psg, au Arsenal, ebu liweke sawa hilo.Newcastle 3 -0 PSG 0 sometimes tukubali kupokea criticism toka kwa rivals tusipende kujitutumua but in reality team yetu ipo ipo tu
Unaonaje kwani?Kwani we timu gani? Newcastle, Psg, au Arsenal, ebu liweke sawa hilo.
Newcastle 2 PSG 0 Half Time
Newcastle 3 -0 PSG 0 sometimes tukubali kupokea criticism toka kwa rivals tusipende kujitutumua but in reality team yetu ipo ipo tu
Acha maneno mengi...sijui grup la kuwahiana sijui rotation nyng...HAPANA hiyo hatutaki...sisi leo tunataka tuone bolu likipigwa na binafsi ntakuwa bega kwa bega na ndugu Mbappe...Ramsdale mechi ya jana isingemfaa whether ukubali au ukatae....wale Lens wanapress vzuri sana...ile mipira angekuwa anabutuabutua sana na kutuweka under pressure...tunazungumza tactically hapa sio ushabiki...PSV mwaka jana ugenini si tulitunguliwa na Ramsdale akiwa pale golini na mechi tuliishika vzuri tu....kwhyo hyo sio sababu kwmba yy ni mzuri sana kuliko Raya....tunakubali tumefungwa...ongeeni ndugu zetu...ikifika saa nne usiku na sisi tunaanza kuwawangia....ize tu
Mnaona UEFA Watu wanavyo pindua Meza
Ongea yte mkuu uwanja ni wako....yamebaki masaa kadhaa tutakutafuta uje utuelezee imekuwajekuwaje matokeo ya mechi yenu...tupo hapa
Wewe issue hapa ni wewe uache ujuaji we boya.Oya ,kichaka Cha kujifichia kwangu ,Mara sijui naaminisha watu ,sijui Nini achana navyo
Humu watu Ni wazima ,Hakuna anayeshikiwa akili
Achana na hivo vichaka Rudi kwenye majukwaa yenu ,timu zenu zinapigwa daily
Kuja humu kutafuta vichaka hakuwezi kuwapunguzia maumivu
😆😆😆hawa jamaa wanavituko sana. Tazama huyu mwingine.
Mechi 2 tu za uefa tena group stage maneno mengi na bado kuna mechi kama 4 za kuamua kwenda mbele au kurudi nyuma maneno mengiii mambo bado mabichi kabisa kila mashindano....False Hopes Football Club. Ma super specialist wa F.A cup.
Bado hamuogopi kuendelea na UCL. Andikeni barua UEFA muombe kurudishwa EUROPA LEAGUE.
Tena hata EUROPA ni matumizi mabaya ya muda, maana kila mkienda mnatolewa nje.
Mrudishwe EUROPA CONFERENCE LEAGUE, huenda kule mkapata hata kakombe ka ulaya cha maana.
Unashabikia Newcastle?😆😆😆hawa jamaa wanavituko sana. Tazama huyu mwingine.
Hawa waliona lens kashinda jana wakasema kama dogo janja lens kashinda kwanini na sisi tusishinde , hawakujua kama lens alikutana na wauza matikiti wa london.
Ongea yte mkuu uwanja ni wako....yamebaki masaa kadhaa tutakutafuta uje utuelezee imekuwajekuwaje matokeo ya mechi yenu...tupo hapa
Hapana.Unashabikia Newcastle?
Jua ukiwa shabiki wa Arsenal lazima ukute kuna nyaya zimechunika.😆😆😆hawa jamaa wanavituko sana. Tazama huyu mwingine.
Si tumeangalia mpira wte jana mkuu....wamecheza bolu wameshinda ndugu zetu....kwa sasa tunasubiri mpk mechi za mwsho tuone kubwa jinga ni nani na dogo janja atakuwa nani...ila Manunu nyie mjiandae tu kwnda Ueropa kuzugazuga kule na kina Liverpool....focus yte kwa sasa ni j2 dhidi ya City....wale mabraza sijui tutawaambia nn siku hyo maana tuna kesi nao kubwa sanaMkuu arsenal2004 vipi ushamtafuta Labyrinth 84 aje ukuelezee imekuwajekuwaje matokeo ya mechi yao na PSG?
Yah!! Hili lipo clear kabisa.Jua ukiwa shabiki wa Arsenal lazima ukute kuna nyaya zimechunika.