toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Kaa mpaka mwisho mkuuHoljburg richardson wapo njee kipindi chapili damu zitamwagika
Nilisema leo hamna clean sheet
Kaa mpaka mwisho mkuuHoljburg richardson wapo njee kipindi chapili damu zitamwagika
Nilisema leo hamna clean sheet
Tupo humu spurs kachukua form ya man utd ya msimu uliyopita wameKaa mpaka mwisho mkuu

Mkuu vp kuhusu vieraNdugu zangu naombeni msamaha kuhusu Nketia
Anapoteza mpira hata pasipokua na sababu ya kupoteza mpira
Hana uelewano na wenzie
Bora kua na Kai namba 9 kuliko kua na Nketia wa leo.
Mkuu vp kuhusu viera
Mechi kama hizi lazima ziwe na decisive player na leo namuonaHii mech maamuzi ya mwisho yataptikana kuanzia dakika ya 85
Mshinde na nani...???Tunapoteza mipira sana, tukiweka utulivu tunashinda
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Zinchenko amezoea msaada wa martinel kurudi chini kumsaidia kukabaHasa Nketiah na Rice
Hakuna haja ya dakika ya 70,Naona tuna abiria mwengine uwanjani.. Nketiah, nitashangaa akiendelea kuwepo uwanjani mpaka dk ya 70.
Aingie Nelson kwa sababu yuko aggressive upande wa kushoto ili Jesus ahamie kati.
Jesus nae ashaanza ugonjwa wake wa kukosa nafasi za wazi..
Ngoja tuone 2nd half itakuaje.
Vieira sio mbaya ila anaitajika afanye zaid na zaid.Mkuu vp kuhusu viera