Kai akiingia baadaye au akianza?Decisive player wenu leo ni odergard au kai
Kai akiingia baadaye au akianza?Decisive player wenu leo ni odergard au kai
SupersubKai akiingia baadaye au akianza?
Hapo kati kuna bissouma na sar kuna kitu cha hatar kitaenda kutokea leoUkiangalia benchi letu huoni sub ya kushtua moyo.
Jesus yupo kati na Nketiah wing. Mid Bissouma nakumbuka alivyowahenyesha nyumbu anafanya nijiulize kama na leo atakua na same quality.
Maddison ni long shot merchant ataambaa ambaa na mpira kisha utashangaa kashut something ambacho kwa Arsenal asipofanya Odegaard waliobaki wanaogopa.
Wana forward nzuri, kuanzia Kulusevski mpaka lwa Son, nafikiri wataopt kutaka kufanya total domination kwakua kuna wachezaji wawili hawapo. Wakiopt hivyo itakua fair tuklascore early goals kama mechi ya kwanza msimu uliopita.
Jesus ni msumbufu, na natarajia atagawa challenge nzuri tu kwa wakina Romero.
Nakumbuka uliwai kusema, tuwe na chambuzi before game halijaanzaUkiangalia benchi letu huoni sub ya kushtua moyo.
Jesus yupo kati na Nketiah wing. Mid Bissouma nakumbuka alivyowahenyesha nyumbu anafanya nijiulize kama na leo atakua na same quality.
Maddison ni long shot merchant ataambaa ambaa na mpira kisha utashangaa kashut something ambacho kwa Arsenal asipofanya Odegaard waliobaki wanaogopa.
Wana forward nzuri, kuanzia Kulusevski mpaka lwa Son, nafikiri wataopt kutaka kufanya total domination kwakua kuna wachezaji wawili hawapo. Wakiopt hivyo itakua fair tuklascore early goals kama mechi ya kwanza msimu uliopita.
Jesus ni msumbufu, na natarajia atagawa challenge nzuri tu kwa wakina Romero.

Richarlson ana mechi ngapi za Spurs ana magoli mangapi?Hapo kati kuna bissouma na sar kuna kitu cha hatar kitaenda kutokea leo
Kuna jamboa la supersub lipo leo either kwa yeyote
Arsenal kai
Spurs Richardson
Nachojua hamna clean sheet leoRicharlson ana mechi ngapi za Spurs ana magoli mangapi?
Kacheza derby ngapi kafunga magoli mangapi?
Huyo simhofii
Wanaosema Kai anacheza vizuri mbona asipopangwa hawaonyeshi kusikitishwa?

wewe jamaa banaMna weak starting lineup leoNaona game ya Leo asilimia kubwa ni pale mido
Kwa upande wa arsenal Rice ndio kiungo mkabaji, ubora wa rice ubora wa arsenal
Jesus na Nketiah ni wazuri Sana kwenye pressing, na uzuri Wana pressing with high pressure
Chemistry ya timu ipo vizuri ila Spurs wao ligi wameanza vizuri huo ndio utofauti
#COYG
