Fabrizio Romano on Nwaneri - Vijana wanapikwaChido Obi mwenye umri wa miaka 15 alifunga hat-trick katika ushindi wa 4-0 wa Arsenal dhidi ya vijana wa chini ya miaka 18 dhidi Southampton jana.
Bila shaka Ni mojawapo ya vipaji eneo la ushambuliaji.
Chido Obi anatajwa kuwa mshambuliaji mwenye kipaji Cha juu kutoka Hale-End, akifuata nyayo za kina Bukayo Saka, Emile Smith Rowe, Ethan Nwaneri na Myles Lewis-Skelly.
Ikizingatiwa urefu wake na nguvu kwa umri wake haitakuwa jambo la kushangaza ikiwa Chido Obi atarushwa madarasa kutoka U16s kwenda U21s msimu huu.View attachment 2760619
Hiki kitu nimekiona pia, ulitaka ufe mapepa ni kutaka kupishanaKitakachomponza Spurs Ni kufunguka ,wenzake kina manjesta sio wajinga kupaki Basi View attachment 2760554
Wacha zibweke tuRaya anaanza leo
Media za UK zitabweka Sana leo
Per Mertesacker na Jack Wilshere wanafanya Kaz nzuriVijana wanapikwa
Ila yule kiumbe sio mchezo, arudi mapema jamaaMech ingeisha 1st half
Partey wamuache kwanza tuna Kaz nae robo fainal UCL ,hapo ndio tutatumia machine za
Rice Partey Ødegaard
Kwasasa
Kai Rice Ødegaard
Wanatosha
HaweziKama una hela nenda kabet.

hata kina Flano kutwa kusema Arsenal anapoteza ila nyuma ya pazia hua hawafanyi ivyoNna imani watatuongezea kitu hapo baadae wakipanda senior teamPer Mertesacker na Jack Wilshere wanafanya Kaz nzuri
Wameshawapika Charlie Patino, Ethan Nanweri na Myle skyles , Dubery
Patino kaenda mkopo Jana kapiga goli ,dogo ameiva Sana ,Mike alimwambia asitake kuondoka mazima,aende mkopo mmoja arudi kucheza senior team.
Ni LCM mzuri Sana
Nanweri tunaweza kumuona Jumatano Carabao Cup,Leo nasikia anaweza kuwepo bench
If tetes za Trossard kuumia zitakuwa kweli ,my prediction lineup
XI Raya
White - Saliba - Gabriel - Zinny
Rice
Ødegaard F. Vieira
Saka Jesus
Havertz
Hiki kitu nimekiona pia, ulitaka ufe mapepa ni kutaka kupishana
Kama Burnley vule uchezaji wake alivyocheza na nyumbu.
Akija kwetu had dakika ya 60 ameshakula 5
Tuachie timu yetu mjombaMambo ya kupishana bado mpo nayo, last season mlisema hivyo hivyo oooh liverpool, man city, Brighton wakileta mambo ya kupishana wanakufa si chini ya 3 lakini mwisho wa siku tukaona wote yaliyotokea
Ilifaa awepo ili tuwagonge wakiwa timilifuRodri red card - to miss a match against us