Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fabrizio Romano on Nwaneri -

“Another contract extension they completed in the summer, it was a scholarship deal but he is going to sign an importnt contract. He will continue his process at Arsenal, Nwaneri is one of the new guys, born in 2007.

“We have many (young players) around the world arriving on the big stage I think Nwaneri is going to be one of the next ones because he is a special talent and arsenal is going to extend his contract, not just the scholarship deal already signed in the summer but with a long-term deal also in the future.”

(@podcastherewego via TBR )

tbrfootball.com/unplayable-ars…
 
Ethan Nwaneri(16), Martin Øde(24) na Fabio Vieira(21) naona role ya RCM imeshakua settled kwa miaka sasa tutakua kwenye mikono salama, kutoka kwa Captain himself hadi Hale End hakuna mnyonge na naiona vita ya comparison ikiendelea kuwa kubwa arsenal #depth #afcView attachment 2760612
20230924_115602.jpg
View attachment 2760613
 
Chido Obi mwenye umri wa miaka 15 alifunga hat-trick katika ushindi wa 4-0 wa Arsenal dhidi ya vijana wa chini ya miaka 18 dhidi Southampton jana.

Bila shaka Ni mojawapo ya vipaji eneo la ushambuliaji.

Chido Obi anatajwa kuwa mshambuliaji mwenye kipaji Cha juu kutoka Hale-End, akifuata nyayo za kina Bukayo Saka, Emile Smith Rowe, Ethan Nwaneri na Myles Lewis-Skelly.

Ikizingatiwa urefu wake na nguvu kwa umri wake haitakuwa jambo la kushangaza ikiwa Chido Obi atarushwa madarasa kutoka U16s kwenda U21s msimu huu.
20230924_115725.jpg
 
Chido Obi mwenye umri wa miaka 15 alifunga hat-trick katika ushindi wa 4-0 wa Arsenal dhidi ya vijana wa chini ya miaka 18 dhidi Southampton jana.

Bila shaka Ni mojawapo ya vipaji eneo la ushambuliaji.

Chido Obi anatajwa kuwa mshambuliaji mwenye kipaji Cha juu kutoka Hale-End, akifuata nyayo za kina Bukayo Saka, Emile Smith Rowe, Ethan Nwaneri na Myles Lewis-Skelly.

Ikizingatiwa urefu wake na nguvu kwa umri wake haitakuwa jambo la kushangaza ikiwa Chido Obi atarushwa madarasa kutoka U16s kwenda U21s msimu huu.View attachment 2760619
Vijana wanapikwa
 
Hadi Sasa tuna defense Bora Sana

Kwasasa nikuongeza magoli tu ,

Kuanza kudaka kwa Raya tutakuwa imara zaidi
20230924_121445.jpg
 
If tetes za Trossard kuumia zitakuwa kweli ,my prediction lineup

XI Raya

White - Saliba - Gabriel - Zinny

Rice

Ødegaard F. Vieira

Saka Jesus
Havertz
 
Vijana wanapikwa
Per Mertesacker na Jack Wilshere wanafanya Kaz nzuri

Wameshawapika Charlie Patino, Ethan Nanweri na Myle skyles , Dubery


Patino kaenda mkopo Jana kapiga goli ,dogo ameiva Sana ,Mike alimwambia asitake kuondoka mazima,aende mkopo mmoja arudi kucheza senior team.

Ni LCM mzuri Sana

Nanweri tunaweza kumuona Jumatano Carabao Cup,Leo nasikia anaweza kuwepo bench
 
Per Mertesacker na Jack Wilshere wanafanya Kaz nzuri

Wameshawapika Charlie Patino, Ethan Nanweri na Myle skyles , Dubery


Patino kaenda mkopo Jana kapiga goli ,dogo ameiva Sana ,Mike alimwambia asitake kuondoka mazima,aende mkopo mmoja arudi kucheza senior team.

Ni LCM mzuri Sana

Nanweri tunaweza kumuona Jumatano Carabao Cup,Leo nasikia anaweza kuwepo bench
Nna imani watatuongezea kitu hapo baadae wakipanda senior team
 
Hiki kitu nimekiona pia, ulitaka ufe mapepa ni kutaka kupishana

Kama Burnley vule uchezaji wake alivyocheza na nyumbu.
Akija kwetu had dakika ya 60 ameshakula 5

Mambo ya kupishana bado mpo nayo, last season mlisema hivyo hivyo oooh liverpool, man city, Brighton wakileta mambo ya kupishana wanakufa si chini ya 3 lakini mwisho wa siku tukaona wote yaliyotokea
 
"Fair doesn't exist."

Mikel Arteta says he's 'ruthless' every single day with the team choices he makes and that no manager can possibly be fair to every player
 
Back
Top Bottom