Last game hawa umbwa, walitunyanyasa sana.Everton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3
Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
Nimeona sehemu Everton wanakuja na traditional 4-4-2 mbele Calvert lewin na BetoEverton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3
Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
Wala hujakosea kabisakwa sasa ndani ya man city ;mchezaji wao wa muhimu sana ni rodrigo.
Mkuu bado Sina confidence ya kusema Leo watatueleza vizuriNimeona sehemu Everton wanakuja na traditional 4-4-2 mbele Calvert lewin na Beto
Ila leo watatueleza vzr
kwa sasa ndani ya man city ;mchezaji wao wa muhimu sana ni rodrigo.
No last game tuliwanyanyasaLast game hawa umbwa, walitunyanyasa sana.
Game waliyoshinda 1 walikuja na formation na kikosi kile kile ambacho walikileta tukawafunga nne.Everton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3
Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
Achapike kuanzia 3Game waliyoshinda 1 walikuja na formation na kikosi kile kile ambacho walikileta tukawafunga nne.
Game waliyotufunga 1 tulienda na formation na kikosi kile kile na kikawafunga nne.
Isipokua game ya pili Partey alitoka mapema kutokana na injury nafikiri wakato first game alipotoka ndiyo tukapigwa.
Game ya pili tulicreate chances 4. Game ya kwanza hatukucreate chance hata moja.
The fact that walishinda 1 pekee na scorer ni beki ni kwamba walikuja na game plan ya Eriki Kichwa ngumu. Second game tukawa tushajua, so sidhani kama leo itatusumbua kwakua bado Everton ana formation ile ile na watu wale wale
Halafu huo unyumbulifu anaufanya kwa timu ndogo hadi kubwa, hahofiiThomas partey ni mtu m1 na ¾
Napenda midfield mnyumbulifu,muongo muongo hakuchoshi kumtizama
MhhhhhNo last game tuliwanyanyasa