Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu Kai Ozil naomba tujuane mapema
IMG-20230916-WA0016.jpg
 
Kuna muda utafika uyu wanaomuita Hamis masingeli watamuelewa tu, alisema Teg Hag ni kocha wa kitapeli wakamponda sana ndo hiki kinatokea sasa 😀😀,

Hawa Nyumbu watakuja kushinda mwezi wa 11 mmk
 
Everton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3

Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
 
Everton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3

Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
Last game hawa umbwa, walitunyanyasa sana.
 
Everton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3

Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
Nimeona sehemu Everton wanakuja na traditional 4-4-2 mbele Calvert lewin na Beto

Ila leo watatueleza vzr
 
Nimeona sehemu Everton wanakuja na traditional 4-4-2 mbele Calvert lewin na Beto

Ila leo watatueleza vzr
Mkuu bado Sina confidence ya kusema Leo watatueleza vizuri

Betting wamempa arsenal 1.5, sio Jambo la kawaida hilo
 
Arsenyeto nadhan mnawajua Everton
Ushindi wenu leo droo
Jesus meet satan onana Kivumbi Leo
 
Everton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3

Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
Game waliyoshinda 1 walikuja na formation na kikosi kile kile ambacho walikileta tukawafunga nne.

Game waliyotufunga 1 tulienda na formation na kikosi kile kile na kikawafunga nne.

Isipokua game ya pili Partey alitoka mapema kutokana na injury nafikiri wakato first game alipotoka ndiyo tukapigwa.

Game ya pili tulicreate chances 4. Game ya kwanza hatukucreate chance hata moja.

The fact that walishinda 1 pekee na scorer ni beki ni kwamba walikuja na game plan ya Eriki Kichwa ngumu. Second game tukawa tushajua, so sidhani kama leo itatusumbua kwakua bado Everton ana formation ile ile na watu wale wale
 
Game waliyoshinda 1 walikuja na formation na kikosi kile kile ambacho walikileta tukawafunga nne.

Game waliyotufunga 1 tulienda na formation na kikosi kile kile na kikawafunga nne.

Isipokua game ya pili Partey alitoka mapema kutokana na injury nafikiri wakato first game alipotoka ndiyo tukapigwa.

Game ya pili tulicreate chances 4. Game ya kwanza hatukucreate chance hata moja.

The fact that walishinda 1 pekee na scorer ni beki ni kwamba walikuja na game plan ya Eriki Kichwa ngumu. Second game tukawa tushajua, so sidhani kama leo itatusumbua kwakua bado Everton ana formation ile ile na watu wale wale
Achapike kuanzia 3
 
Back
Top Bottom