Nimeota Kai with assist na goli lake moja leo.
Flano, maana ya hii ndoto ni nini?


utakojoa amkaKatika ndoto yako haujamuona trossad ata kwa mbaliNimeota Kai with assist na goli lake moja leo.
Flano, maana ya hii ndoto ni nini?
Walianza kutufunga iliyofuata tukawafunga nne bilaMhhhhh
Au nimesahau, sio ile Onana akakichafua sana pale kati. Moja bila wakatufunga?
Everton wanapaki basi sidhani kama hii game Kai inamfaaNimeota Kai with assist na goli lake moja leo.
Flano, maana ya hii ndoto ni nini?
Nimeota Kai with assist na goli lake moja leo.
Flano, maana ya hii ndoto ni nini?



Kai kiungo ya ball, mzee wa kuwin aerial duel, inverted MF, mzee wa press resistant bila kusahau pia ni mnyumbulifu. 



Kai kiungo ya ball, mzee wa kuwin aerial duel, inverted MF, mzee wa press resistant bila kusahau pia ni mnyumbulifu.
Tafsiri ya ndoto yako leo Kai anapiga hatrick
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
#Kai Ballon d'Or




Trousad ni muhimu sana kwenye game ya leoEverton akiwa kwake amekua mgumu Sana kuachia points 3
Arteta anakuja na muarubaini gani leo? Ndio swali la kujiuliza
Leo tunaingia na plan gan? Style of play?
MANJESTAKai kiungo ya ball, mzee wa kuwin aerial duel, inverted MF, mzee wa press resistant bila kusahau pia ni mnyumbulifu.
Tafsiri ya ndoto yako leo Kai anapiga hatrick
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
#Kai Ballon d'Or
MANJESTA
Mngetulia jukwaa kwenu kuona jinsi gani mtamkabili bayern



Daaahhh kwa kua jana Dawati la jinsia tumezabuliwa goli 3 ndio haturuhusiwi humu hata kujibu maswali tunayoulizwa? Kwa ajili ya kulinda afya yako ,hamia Arsenal ushuhudie mpira mzuri ,pass za kutoshaDaaahhh kwa kua jana Dawati la jinsia tumezabuliwa goli 3 ndio haturuhusiwi humu hata kujibu maswali tunayoulizwa?
Huu ni unyanyasaji wa wazi kabisa, Masingeli naomba ingilia kati huu unyanyapaa tunaofanyiwa sisi mashabiki wa Dawati Fc humu ndani.
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
#Kai Ballon d'Or
View attachment 2752160
Hili timu letu tokea lilivyoachana na mambo muhimu ya mpira na kujikita zaidi katika masuala ya dawati la kijinsia limeanza kupoteza mpaka mvuto.Kwa ajili ya kulinda afya yako ,hamia Arsenal ushuhudie mpira mzuri ,pass za kutosha
Kuiangalia Arsenal Ni tiba Tosha,
Mwez wa 12 utarudi manjesta, Ten hag wanamtimua ,ila Naomba msimchukue Di Zerbi, muendelee kutaabika ,mna mdomo mtatusumbua Sana,
Najua mtaokoteza Tena makocha wa ujanjaujanja
Leo nikiwa naiangalia Arsenal pia nitakua namuangalia huyo straika Beto.Nimeona sehemu Everton wanakuja na traditional 4-4-2 mbele Calvert lewin na Beto
Ila leo watatueleza vzr
Last game hawa umbwa, walitunyanyasa sana.
Raya kapost Instagram poster hii
Na chelea kusema huenda akaanza leo
Ili Ramsdale aonje utamu wa UCL jumatano
View attachment 2752182