Hzo Sasa fikra zako🤠🤠🤠....leta makombe ulochukua hapa uoneshwe nn maana ya ukubwa🤠🤠🤠Kitu kikishapita muda wa 2 decades hakina maana tena mzee ndo maana unaona Nottingham forest wakija kujitamba wana uefa unawapuuza , miongo 2 ( miaka 20) without epl & uefa huna kombe lolote la maana.
Atleast ukae muda mrefu then uchukue kombe ndo tuhesabu makombe ya zamani kama liverpool alivyofanya, sasa wewe unataka kuhesabu makombe wakati last seen 2004![]()
Man U wapo ugenini au Nyumbani 🤠🤠🤠....maana sielewielewi...naona Brighton wanagonga moja moja tu tena kwa madoidoTayari Brighton imeanza
Too lateMan City kachezea kimoja huko.. Napenda ngoma ilale ivo ivo
Tatizo city ili uamini kazi imeisha ni hadi mechi iisheMan City kachezea kimoja huko.. Napenda ngoma ilale ivo ivo
Tunahitaji kikao cha haraka kujadili mwenendo wa wenzetu Hawa....hii si sawa🤠🤠🤠....tuandamane kipara ten hag afukuzwe atawashusha daraja aiseeNyumbu ananyooshwa jamani
Hana game plan.Tunahitaji kikao cha haraka kujadili mwenendo wa wenzetu Hawa....hii si sawa🤠🤠🤠....tuandamane kipara ten hag afukuzwe atawashusha daraja aisee
Mimi.nilishamaliza kuhusu hao jamaaTunahitaji kikao cha haraka kujadili mwenendo wa wenzetu Hawa....hii si sawa....tuandamane kipara ten hag afukuzwe atawashusha daraja aisee
Tutabanana nae pale juu vzr tu