Everton inabidi ale chuma 4,
Nahisi Raya , Trosaard tutaanza kuwaona Jumatano UCLItapendeza kumuona David Raya golini jumapili.
Jorginho akianza pia itakua vizuri.
Vile vile itapendeza tukiwaona Trossard, Fabio, ESR, Kiwior na Nelson wakipata muda wa kucheza.View attachment 2750158
| @pbsportswriter on Declan Rice at Arsenal: Kulisha matumaini bandia ndo nn mkuu🤠🤠🤠...unashiriki ligi Ili mechi 4 uwe na point 3 au unashiriki ligi kugombania kombe na kuwa kule juu...kwanza ww ambaye sio false hope una makombe mangapi na kile kikundi chako cha mdundiko🤠🤠🤠..top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho hamtakaa muione tena ndugu zetuPoints 3 hizo hizo team yangu haina false hope kuliko wewe ambaye unalisha matumaini bandia halafu at the end of the season unatoka with zero trophies.
Huu msumari. Honestly arsenal wana improve lkn mdomo ndio wananikera
Kulisha matumaini bandia ndo nn mkuu...unashiriki ligi Ili mechi 4 uwe na point 3 au unashiriki ligi kugombania kombe na kuwa kule juu...kwanza ww ambaye sio false hope una makombe mangapi na kile kikundi chako cha mdundiko
..top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho hamtakaa muione tena ndugu zetu
Huu msumari. Honestly arsenal wana improve lkn mdomo ndio wananikera


Wanaimprove wapi? Ile ilikua ni one season wonder, hata Leicester City hiko kiupepo kilishawatokea watu wakawatibiria makubwa, subiri msimu huu uone jinsi Arsenyau watakavyotukanana humu ndani.Orodhesha makombe yako yte ambayo unayo tangu mpira umeanza kuchezwa na sisi tuweke yetu hapa....halafu taja miaka yte ambayo umefanikiwa kumaliza top 4 hapa na sisi tuweke hapa....halafu tukueleweshe vzuri nn maana ya kuwa bdo kijana mdgo sana🤠🤠🤠....ww leo unacheza na WA level zako Sasa...Bwana Brentford na usipoangalia pamoja na kwmba mpo kwenu litawakuta jambo mkuu🤠🤠🤠Kwani wewe una kombe gani ? Timu ambazo hazikuwepo uefa ni Newcastle na Arsenal kwa muda mrefu, unavyoongea ni kama vile hapo top four misimu mitano iliyopita ulikuepo humo , wewe ni mgeni kama wageni wengine tu usijipe wenyeji wa kudumu hapo top 4 .
Kwa nyuma kule namuona Babu wenger.Xabi Alonso taratibu naanza kumuweka kundi la makocha vijana wanaokuja kwa Kasi
Xhaka anasema hawana tofauti Sana na Mikel
Picha chini Ni Mikel na Alonso View attachment 2750577
Orodhesha makombe yako yte ambayo unayo tangu mpira umeanza kuchezwa na sisi tuweke yetu hapa....halafu taja miaka yte ambayo umefanikiwa kumaliza top 4 hapa na sisi tuweke hapa....halafu tukueleweshe vzuri nn maana ya kuwa bdo kijana mdgo sana....ww leo unacheza na WA level zako Sasa...Bwana Brentford na usipoangalia pamoja na kwmba mpo kwenu litawakuta jambo mkuu
![]()


Huyu mzee nae kitambo sana anawajuaKwa nyuma kule namuona Babu wenger.