Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hata mtoto wangu wa Nursery akiona mfananisho wa Kai na OZIL atakushangaa sana,Kai ni GARASA kama MAGARASA mengine tu


mkorea anakwambia anamuona Ozil kwenye miguu ya kai. Yaani mkorea na ndugu yangu arsenal2004 hawa watu wawili chochote watakachoaminishwa na Masingeli hua wanakibeba kama kilivyo na kuanza kuwaaminisha watu mpaka mtu unajiuliza hawa jamaa hua wanakaa kwenye Tv wanaangalia mpira au mpira wao hua wanauangalia kwenye comments za Masingeli?

Tomiyasu is a proper center back
