Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Husikii unaambiwa ana mkimbio mzuri.
Vipi huyu anaenda miezi 9 Hana hata goli la offside

Unashinda humu unamponda kai
20230912_171351.jpg
 
Kai ni KIAZI tu,kumfananisha na OZIL ni kumvunjia HESHIMA Ozil,pia kusema eti ana faida zaidi ya Xhaka ni sawa na kufananisha Mbingu na Ardhi,Kai ni mzigo hastahili kuvaa jezi ya Gunners kabisa,yule anapaswa kucheza Nottingham Forest huko. Aendelee kusifiwa sijui ana mikimbio mizuri lakini kiwango ni UHARO tu
 
Mshaambiwa Kai tumpe muda ata improve taratibu,izo lawama zenu ndo zinamuondolea confidence.

Na akianza kutupia mtaanza kuja na kumsifia hapa.


IMG_4879.png
 
Mshaambiwa Kai tumpe muda ata improve taratibu,izo lawama zenu ndo zinamuondolea confidence.

Na akianza kutupia mtaanza kuja na kumsifia hapa.


View attachment 2747272
Kai hata apewe miaka 100 ni KIAZI tu hana jipya,hakuna dalili za improvement yoyote kwake,hata huko Timu ya Taifa bado ni KIAZI tu,hana sifa wala kiwango cha kuchezea Arsenal
 
Ramsdale kapigwa goli Kali na Harry magwaya View attachment 2747529
Msameheni bure Lord Maguire alivyomuona Ramsdale akajua ile mechi ya Man Utd vs Arsenal bado inaendelea, hapo Maguire kwa akili yake mpaka anatoka uwanjani anajua kaisaidia Utd kupata goli la 2, ukimuuliza matokeo ya mechi ya jana atakwambia Arsenal 3 - 2 Utd.
 
Kai ni KIAZI tu,kumfananisha na OZIL ni kumvunjia HESHIMA Ozil,pia kusema eti ana faida zaidi ya Xhaka ni sawa na kufananisha Mbingu na Ardhi,Kai ni mzigo hastahili kuvaa jezi ya Gunners kabisa,yule anapaswa kucheza Nottingham Forest huko. Aendelee kusifiwa sijui ana mikimbio mizuri lakini kiwango ni UHARO tu
kwa hio unataka kubisha kua Kai sio mnyumbulifu na pia sio mzuri kwenye aerial duel?
 
Ndugu wanaomponda Sana Kai sio pundit Ni fans tu ,pundit wengi nawasikiliza sky sport ,n.k wanasema huwez kumuhukumu mchezaji kwa mechi 3-4


Lejend wa Arsenal Alan Smith Leo kaongea hivi kuhusu Kai ,


Mchezaji wa zamani wa Arsenal Alan Smith anaamini Kai Havertz anaweza kuwa bora zaidi kwa Arsenal kuliko Granit Xhaka:


“Inaniudhi jinsi watu wako tayari kumkosoa haraka sana.

"Hawa ni wafuasi wa Arsenal na unatarajia kwamba watamuunga mkono katika siku za mwanzo wakati mchezaji mpya anapoingia na anajaribu kutafuta uchezaji wake ".

"Nadhani ni mchezaji mzuri sana kiufundi, nadhani anaweza kuwa mchezaji mzuri kwetu na nilimsikia Arteta akisema Kai anahitaji kujiweka(kushambulia) kwenye box la mwisho , kama Xhaka alivyofanya msimu uliopita. "

"Nadhani Havertz anaweza kuwa bora zaidi ya hapo kwani ana silika ya kushambulia na atakuwa na umaliziaji mzuri anapoingia kwenye nafasi hizo."


KWAHIYO MKUU SIO WOTE WANAOMPONDA KAI View attachment 2746234
"Nadhani Havertz anaweza kuwa bora zaidi ya hapo kwani ana silika ya kushambulia na atakuwa na umaliziaji mzuri anapoingia kwenye nafasi hizo."


huo umaliziaji mzuri sasa wa Kai kiungo ya boli akiwa ndani ya box
1694591315583.jpg
1694591387016.jpg
 
Back
Top Bottom