Usajili ujao Ni Striker

Ivan Toney

Evan Ferguson

Ollie Watkins

Victor Osmhem
Nani ungependa kumuona viunga vya Emirates
View attachment 2748719
Nampenda Ivan Toney ila naona anachoweza ku-offer ndio anachofanya Gabriel Jesus.
Toney ana threat zaidi akicheza nyuma ya mshambuliaji yeye akiwa kama SS au false 9.
Ana link-up play vizuri, holder mzuri, very good in control na ni mfungaji mzuri wa mabao.
Pace yake tu ndo ipo chini.
Even Ferguson ni mpachika mabao mzuri sana lakini kuja kumtoa pale Brighton timu zitatakiwa kutoa si chini ya £100 mil, in which kwa kijana wa miaka 18/19 ni gamble.
So sitoshangaa akiendelea kuwepo kwa misimu kadhaa pale Brighton.
Ollie Watkins, ni mzuri na namkubali. Otherwise, no comment!
Victor Osimhen, what a player. Ana nguvu, ana pace, anaweza kutupa magoli 30+ kwa msimu.. Tatizo la huyu pia ni price tag, plus timu yenyewe ya kufanya nao biashara, Napoli ni sumbufu.
Wao wamenunua £80+ mil, unafikiri watamuuza kwa ngapi at his peak right now ukiongeza na umri wake ndio kwanza 24?
Na mchezaji wa namna hii usikute anawaza kucheza Real Madrid au Barcelona.
Ninavyoona kwa jinsi timu yetu ilivyo na namna recruitment ya wachezaji inavyofanyika siku hizi, ya kuchukua wachezaji wenye mapenzi na timu, nahisi tunaweza kununua loyalty ya either:
Ivan Toney au Ollie Watkins,
Ukizingatia hao wameprove kwenye EPL kwa misimu kadhaa, na experience yaliyo nayo plus umri walio nao sasa ni wa ushindani, they'll do us good!