Ndugu wanaomponda Sana Kai sio pundit Ni fans tu ,pundit wengi nawasikiliza sky sport ,n.k wanasema huwez kumuhukumu mchezaji kwa mechi 3-4
Lejend wa Arsenal Alan Smith Leo kaongea hivi kuhusu Kai ,
Mchezaji wa zamani wa Arsenal Alan Smith anaamini Kai Havertz anaweza kuwa bora zaidi kwa Arsenal kuliko Granit Xhaka:
“Inaniudhi jinsi watu wako tayari kumkosoa haraka sana.
"Hawa ni wafuasi wa Arsenal na unatarajia kwamba watamuunga mkono katika siku za mwanzo wakati mchezaji mpya anapoingia na anajaribu kutafuta uchezaji wake ".
"Nadhani ni mchezaji mzuri sana kiufundi, nadhani anaweza kuwa mchezaji mzuri kwetu na nilimsikia Arteta akisema Kai anahitaji kujiweka(kushambulia) kwenye box la mwisho , kama Xhaka alivyofanya msimu uliopita. "
"Nadhani Havertz anaweza kuwa bora zaidi ya hapo kwani ana silika ya kushambulia na atakuwa na umaliziaji mzuri anapoingia kwenye nafasi hizo."
KWAHIYO MKUU SIO WOTE WANAOMPONDA KAI
View attachment 2746234