Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

brother binafsi nakuheshimu sana
ila ifike mahala tuache uwezo wa mchezaji ujitetee uwanjani na sio hizi statistic sijui space sijui duels obviouslly ukiwa mchezaji mzuri utaonekana tu
ukitaka kuamini hilo angalia watu kibao walivyokuwa wanamponda Fabio leo hao hao wanamsifu so they were true fans pale walipokuwa wanamsema alipozingua na they were also true fans leo wanavyomsifu pale anapocheza vizuri that all

Pundit kibao wanakosoa uchezaji wa Kai does it mean hawa wote wanamchukia Kai? Totally No brother Kai has got zero output in the middle of the park that is very clear and it can pain you as a fan of Kai but try to accept it because it what it is that all....

Lets judge what we see on the pitch that football
Kai ni mzigo kama furushi la maparachichi, anabebwa na ARTETA tu
 
Ndugu wanaomponda Sana Kai sio pundit Ni fans tu ,pundit wengi nawasikiliza sky sport ,n.k wanasema huwez kumuhukumu mchezaji kwa mechi 3-4


Lejend wa Arsenal Alan Smith Leo kaongea hivi kuhusu Kai ,


Mchezaji wa zamani wa Arsenal Alan Smith anaamini Kai Havertz anaweza kuwa bora zaidi kwa Arsenal kuliko Granit Xhaka:


“Inaniudhi jinsi watu wako tayari kumkosoa haraka sana.

"Hawa ni wafuasi wa Arsenal na unatarajia kwamba watamuunga mkono katika siku za mwanzo wakati mchezaji mpya anapoingia na anajaribu kutafuta uchezaji wake ".

"Nadhani ni mchezaji mzuri sana kiufundi, nadhani anaweza kuwa mchezaji mzuri kwetu na nilimsikia Arteta akisema Kai anahitaji kujiweka(kushambulia) kwenye box la mwisho , kama Xhaka alivyofanya msimu uliopita. "

"Nadhani Havertz anaweza kuwa bora zaidi ya hapo kwani ana silika ya kushambulia na atakuwa na umaliziaji mzuri anapoingia kwenye nafasi hizo."


KWAHIYO MKUU SIO WOTE WANAOMPONDA KAI View attachment 2746234
Kai hawezi na hataweza kuja kuwa Bora pale Arsenal kumzidi Xhaka, hatafikisha hata robo ya mchango wa Xhaka pale Arsenal
 
C&P

For years, the media have gaslit Arsenal fans into turning against their own players by relentlessly mocking the player that they feel is supported the least by our fans. Because they hate us.

Previously, it was Xhaka & it culminated with the Palace incident.

Now, it’s Kai.

Binafsi nilishasema kuhusu Kai nimeweka akiba ya maneno
20230614_200052.jpg
 
Leo nimeota tukishinda 1-3 dhidi ya Everton wiki ijayo.

Katika ndoto yangu nimemuona pia Gabriel Jesus akishangilia kwa kupiga simu .

Hii Arsenal itaniua kwa kisukari!
Hawa hawapati goli hata 1

Arsenal ya away huwa inacheza kwa nidhamu Sana ya kulinda cleansheet tofaut na Arsenal ya Emirates inaamini ukija pale wewe Ni underdog lazima ushambuliwe mwanzo mwisho ndio maana imekuwa mtihani kupata cleansheet home
 
Arsenal were among Europe's top clubs who wanted to sign Martin Ødegaard in 2015.


Some things are destined to happen. My captain 🥹
20230912_101735.jpg
 
Kuna taarifa Arsenal itarudi Tena kumtaka Ousmane Diomande January au next summer

RCB ana miaka 19 tu
20230911_162103.jpg
 
Leo nimeota tukishinda 1-3 dhidi ya Everton wiki ijayo.

Katika ndoto yangu nimemuona pia Gabriel Jesus akishangilia kwa kupiga simu .

Hii Arsenal itaniua kwa kisukari!
Mkuu punguza vitisho,huu mpira ni wetu sote na ifike mahali tupendane mkuu.kwa mfano unataka sisi vijana wa erick 7hag tusiwe tunakuja humu au?.
Mnakera bwana yaani mnasababisha mimi na Flano tunaishi kwa mashaka kweli.sasa ndiyo nini mlichotufanyia kwenye mechi yetu kama sio dharau yaani mnatupiga 3 na bado trossard na rowe hawakuingia na kwa timu yetu hao wawili wanaanza panga pangua.kwamza tumefurahi kinoma kuumia timber maana ule nao ni mkosi mwingine,jamaa anachota kushoto na anamwaga kulia kama prime DAN ALVES wa barcelona.

Kuna huyu jamaa wakujiita @hamiss77 namuombea apoteze techno yake ili asiingie jukwaani kwetu maana kila anachokisema kuhusu man u kinatokea hivyohivyo.mshenzi amekuwa NABII WA MAJANGA nikimkuta ICU nachomoa mpira wa oxygen .

Narudia mkuu tuheshimiane sana na uache vitisho
 
Mkuu punguza vitisho,huu mpira ni wetu sote na ifike mahali tupendane mkuu.kwa mfano unataka sisi vijana wa erick 7hag tusiwe tunakuja humu au?.
Mnakera bwana yaani mnasababisha mimi na Flano tunaishi kwa mashaka kweli.sasa ndiyo nini mlichotufanyia kwenye mechi yetu kama sio dharau yaani mnatupiga 3 na bado trossard na rowe hawakuingia na kwa timu yetu hao wawili wanaanza panga pangua.kwamza tumefurahi kinoma kuumia timber maana ule nao ni mkosi mwingine,jamaa anachota kushoto na anamwaga kulia kama prime DAN ALVES wa barcelona.

Kuna huyu jamaa wakujiita @hamiss77 namuombea apoteze techno yake ili asiingie jukwaani kwetu maana kila anachokisema kuhusu man u kinatokea hivyohivyo.mshenzi amekuwa NABII WA MAJANGA nikimkuta ICU nachomoa mpira wa oxygen .

Narudia mkuu tuheshimiane sana na uache vitisho
Manjesta watani zangu, tatizo wanapanik Sana

Ila manjesta Bora wangebaki na ole guna tu

Yaani vs Arsenal dk 45 wamepiga pass 200 eneo Lao tu ,

20230911_174339.jpg
 
Chukua hii nakupa Mimi Kama mchambuzi nguli

Manjesta walipiga jumla ya pass 213 first half

Pass 199 pekee walizipiga kwenye eneo Lao la backline

Pass 8 pekee walizipiga kwenye Midfield ya Arsenal kwa dakika 45

Pass 5 pekee ndio walifanikiwa kupiga kwenye final third ya Arsenal

Mechi nzima walipiga 12% ya pass zote kwenye final third ya Arsenal,hii Ni record ya chini kabisa toka 2006/2007 kwa mujibu wa OPTA

20230911_174339.jpg
 
Chukua hii nakupa Mimi Kama mchambuzi nguli

Manjesta walipiga jumla ya pass 213 first half

Pass 199 pekee walizipiga kwenye eneo Lao la backline

Pass 8 pekee walizipiga kwenye Midfield ya Arsenal kwa dakika 45

Pass 5 pekee ndio walifanikiwa kupiga kwenye final third ya Arsenal

Mechi nzima walipiga 12% ya pass zote kwenye final third ya Arsenal,hii Ni record ya chini kabisa toka 2006/2007 kwa mujibu wa OPTA

View attachment 2746708
 
Mkuu punguza vitisho,huu mpira ni wetu sote na ifike mahali tupendane mkuu.kwa mfano unataka sisi vijana wa erick 7hag tusiwe tunakuja humu au?.
Mnakera bwana yaani mnasababisha mimi na Flano tunaishi kwa mashaka kweli.sasa ndiyo nini mlichotufanyia kwenye mechi yetu kama sio dharau yaani mnatupiga 3 na bado trossard na rowe hawakuingia na kwa timu yetu hao wawili wanaanza panga pangua.kwamza tumefurahi kinoma kuumia timber maana ule nao ni mkosi mwingine,jamaa anachota kushoto na anamwaga kulia kama prime DAN ALVES wa barcelona.

Kuna huyu jamaa wakujiita @hamiss77 namuombea apoteze techno yake ili asiingie jukwaani kwetu maana kila anachokisema kuhusu man u kinatokea hivyohivyo.mshenzi amekuwa NABII WA MAJANGA nikimkuta ICU nachomoa mpira wa oxygen .

Narudia mkuu tuheshimiane sana na uache vitisho
 
Paul Merson

"Declan Rice ni mchezaji tofauti sana, ukimlinganisha na Moises Caicedo, Rice anakupa kila kitu"

"Ilikuwa ni 1-1 dhidi ya Man Utd, Arsenal ilikuwa ni lazima washinde mchezo huo kama kweli wanataka kushindana na Manchester City. Rice alilijua hilo akafunga bao muhimu"

"Lakini Jumamosi, Chelsea walifungwa 1-0 na wakamtoa Caicedo. Wote ni wachezaji wa kiungo cha kati lakini mmoja anakupa mengi zaidi"

"Kama Rice anaweza kutupa mabao kwenye mechi zake basi naogopa kufikiria ni thamani gani anayostahili."

(Chanzo: SkySports )
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Arteta au Pep? je hawa Makocha wanafanana Approach vipi kuhusu Arteta kamuiga Pep kama inavyodaiwa tuone kwa kifupi tu

Pep Guadiora ni Muhumini mkubwa wa Possession football ( Mpira wa pass nyingi ) Pep mpira huu kautoa Barca pale ambapo Muhasisi mkuu Johan Cruffy Gwiji la soka Uholanzi

Pep alichokuja kufanya ni kumodify tu na kuongeza baadhi vitu ila hakuondoka kwenye msingi Falsafa hiyo mpaka leo anaongeza vitu ila msingi ule ule kumiliki mpira

Arteta Ulaliwahi kucheza Academy ya barca pia Antiguoko huko jiji Barcelona Spain Hivyo Arteta hizo falsafa alizipitia pia Licha kwamba Pep ndio amemu Influence Sana Arteta lakini swali je kwa sasa wanacheza kitu sawa

Binafsi niseme wanaweza kufanana baadhi ya vitu mfano falsafa ya kucheza na viungo wawili wenye asili ya namba 10 au 8 na kiungo mkabaji mmoja ,ila sio kila kitu Arteta ana path way ya kwake nisikilize

Arteta anacheza kitu kinaitwa Vertical Positional hybrid zaidi kuliko Kumiliki mpira tu

Kwa misingi hii Arteta anacheza na positioning Zaidi yupo Direct kiasi fulani Na mashambulizi ya haraka ( Quick attacking)

Kwanini Nasema Positional play sababu Uchezaji Arteta umejaa positional interchange na flexibility ( Unyumbulifu )

Arteta Licha kutumia baadhi patterns sawa na za Pep mfano 3-2-5 in build up akitaka kuoverload zaidi 2-2-6

Huku msimu huu akijaribu Zaidi kucheza 3-2-2-3 sababu ya uwepo Declan , Timber, Havertz,

Kwanini nasema Positional ndio msingi mkuu wa Arteta kuliko posession ni hivi Unamuona Kai Havertz licha kuwa anacheza Kama LCM on paper ila mara nyingi unamkuta katikati kama Second striker au unamkuta ndani ya box kama CF hii yote inaitwa positional interchange

Arteta na Pep wanaweza kuwa sawa ila wasifanane kila kitu

Amigo adios hermanos
 
Back
Top Bottom