Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Meneja ana imani na Harvetz na atakuwa acheza kila mechi ili kufit in katika mfumo wa uchezaji wa Arsenal.
Chelsea walisubiri hili kwa miaka zaidi ya 3!! Havertz is trash Kila mtu anajua Hilo ila sijui Arteta anacholazimisha ni Nini?

Tena tushukuru Tomas kutumia, lazima angeanza kama Full back!! Tungefungwa kwa counter za Man UTD

Ujuaji wa Arteta umetu cost msimu huu tunaikosa ligi kijinga sana.
 
Arteta sote twafahamu amekuwa akifanya experiments ambazo hazina msingi.

Ni bora Partey yuko bench.
 
Hapo kwny offside mkuu umeteleza....it was clear offside....Malgalhaes alicheza offside trap nzuri sana ukiangalia review...halafu kocha wenu aache ujinga vngnevyo ataipoteza dressing room....mchezaji unamalizana private sio kuja kumchana kwny media kama anavyofanya Baba ubaya
 
Kwa hilo suala la Sancho kama haya marumbano ni kweli yanaendelea yataleta athari kubwa sana kwenye dressing room.
Binafsi bado sijaamini ni kweli hali imefikia hivyo au ni media tu zimeamua kukuza mambo.
Yote kwa yote mkishachezea kipigo lazima atafutwe mchawi, sidhani kama hii mechi tungeshinda tungeweza kusikia haya malumbano ya Sancho na kocha wake.
 

Sio ramli ni hali halisi wewe tunakuita false hoper na wenzako wote kutokana na wins kama hizi , kama hapa mlivyo after hii game mna matumaini makubwa sana ila acha ifike may
kila moja atasema sababu yake mara phase 2 mara kaumia fulani au kumuangushia na kumfanya rob holding scapegoat.

Sisi tuna alama 3
kaa kwa kutulia utaona may hapa nan anacheka na nan analia., nyinyi kupewa hope ambayo ni false hope hamjaanza leo kuna matukio mengi kama nelson mwaka jana, welbeck 2016 vs Leicester city , man utd last season na mengine mengi .
 
Nimekuuliza una point ngapi mpk sasa
 
Rasmus alibaki na beki wawili akatoa pasi.

Mtangazaji akasema "Jesus nafasi kama ile angelazimisha kuingia kwenye boks kwa skills na agility yake"

Dk kadhaa mbele Jesus akascore lile goli la wiki. Mtangazaji hakusema hata ile "Exactly what I said earlier"

Now kama mtangazaji anaweza ona gape la unyumbulifu na skills kwa Rasmus kwanini wengine hatuoni? Notice kwamba hata Michail Antonio ukimuacha na mabeki wawili ataforce kuscore na hana skills nyingi au unyumbulifu wa kutisha.

Nafikiri Rasmus angefanya poa timu ambayo ni dominant na siyo kwenye hii game plan inayotaka counter.
 
Una mchezaji gan zaidi ya Rashford

Niliuliza humu mtaweza kuzuia msako pale Emirates

Mliwaona Fulham wameshikilia bomba mkazani nyie mtaweza
 
Kai kakosa goli Kama Saka alivyokosa

Kai kacheza LCM au double 8 na Ødegaard

Kuna wenzako walisema double 8 ya Øde na Kai haiwezi ku function,but sikuona manjesta mkifurukuta pale katikati ,mliishia kucheza mpira kwa Onana na mabeki wenu na kuvizia kaunta


Mwaka wa pili bado timu inacheza kwa kuvizia kaunta,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…