Nilisema soon Fabio Vieira ataanza first eleven,sababu ameshakaa na timu amepata muda wa kuzoeaKwani lazima aanze?atokee bench kama hili huyo jamaa mwenye EGO hajaliona hili leo sijui
Nilisema soon Fabio Vieira ataanza first eleven,sababu ameshakaa na timu amepata muda wa kuzoeaKwani lazima aanze?atokee bench kama hili huyo jamaa mwenye EGO hajaliona hili leo sijui
Harvetz ni TAKATAKA kama TAKATAKA nyingine tu,haitaji kupewa moyo kwa sababu hata kujituma tu kama Ode hajitumiShukran ndugu
Tuwape moyo wachezaji sio kuwatukana
Hata huyu Vieira leo watu wanamshangilia lakin ametukanwa Sana humu
Mchezaji akishavaa jez ya Arsenal anahitaji big support
Huwa wanatutambia Sanaa....ile Pre season ya Marekani iliwadanganya🤠🤠🤠...ww tangu 2017 hujawahi kushinda pale Emirates unapataje jeuri ya kuja kutupigia kelele hmu🤠🤠🤠...bila kumsahau Labyrinth 84...aje naye tudiscuss....maana kama namuona alivyoshangilia goli la Garnacho baada ya jana kumpiga mabango na kile kikundi chake cha Marathon Nyukesto🤠🤠🤠Waite mkuu
Tumeshinda lakini tumecheza mpira low quality sanaMzee wa Ndoo kiatu
Ni kwli kabisa mkuu...Hilo mm mwenyewe limenisikitisha sana kwakwli🤠🤠🤠Yani mnajisifia kabisa kufunga beki hikiwa Maguire na Evans shame on you Wenger orphans.View attachment 2737844
Havertz amechukua nafasi ya Xhaka na ataweza kuwa sawa.Arteta ni mpuuzi sana anavyolazimisha HARVETZ acheze,hii mechi ilikuwa na magoli mengi tangu half ya kwanza
Hii game angeanza Jesus ingeisha half time ,najua ilikuwa ngumu kumpiga bench nketiah sababu ya form yakeTumeshinda lakini tumecheza mpira low quality sana
Hii game angeanza Jesus ingeisha half time ,najua ilikuwa ngumu kumpiga bench nketiah sababu ya form yake
Saka hakuwa mchezon kabisa leo
Kai bado anatafuta confidence kucheza double 8 anazidi kuzoea
Declan Rice what a player
Zinny atapiga pass za mbele Hana show mbovu
Vieira Ni muda Sasa aingie first eleven,alisakamwa Sana tukasimama nae kidete ,siku zote naamini katika talent
Kurejea kwa Jesus ,Zinny, form ya Vieira itakuwa poa SanaNow you are talking my friend
Bro,kwa HARVETZ ndipo uwezo wake ulipoishia,ile move ya goli la Jesus kwa mfano nina uhakika angekuwa Harvetz asingeweza kufanya vile,Harvetz inatakiwa acheze mechi za CARABAO huko ili apate fitness kwa kuwa sasa anacheza kwa pressure na sio kulazimisha aingie moja kwa moja kwenye Timu,ni mzigo kukaba kwenyewe anakaba kwa macho,kuna goli alikosa hata mtoto wangu wa darasa la pili angefungaHavertz amechukua nafasi ya Xhaka na ataweza kuwa sawa.
Anatakiwa awe na maelewano mazuri ya Zinchenko upande wao wa kushoto.
Atakuwa sawa tu na atafunga magoli kama ilivyokuwa kwa Xhaka.
Mpira wa wenzetu ni mipango na mifumo na ili kuipatia kucheza yatakiwa uwe na ustahamilivu.
Meneja ana imani na Harvetz na atakuwa acheza kila mechi ili kufit in katika mfumo wa uchezaji wa Arsenal.
Ila huko mbele Jesus atarudi kuanza mechi na Nketia atarudi bench.
Pia hali ya hewa kulikuwa na joto kali hivyo kuathiri uchezaji kwa kuufanya uwe slow sana.
Havertz wengi wadhani ni striker au "deep lying midfielder" jambo ambalo si sahihi.Hii game angeanza Jesus ingeisha half time ,najua ilikuwa ngumu kumpiga bench nketiah sababu ya form yake
Saka hakuwa mchezon kabisa leo
Kai bado anatafuta confidence kucheza double 8 anazidi kuzoea
Declan Rice what a player
Zinny atapiga pass za mbele Hana show mbovu
Vieira Ni muda Sasa aingie first eleven,alisakamwa Sana tukasimama nae kidete ,siku zote naamini katika talent