Hawa ni izi jarb jrb zao msimu huu hawawez hata kutusumbua kwa lolote.Kiukweli mna timu ya kawaida sana.
Ujawai fundisha hata team ya kanisa tuliaArteta atoi sub inamaana anavutiwa na impactless ya Kai?

Sawa na man utd kutomtoa martialArteta atoi sub inamaana anavutiwa na impactless ya Kai?
Yule mtoto mjerumani ni mchawi sana , sijui alizindika nini , yaani alimroga Lampard ,Tuchel , Potter ,Lampard tena na sasa kamriga Arteta ,sijui coaches wanaona nini kwa huyu dogo ,maana upuuzi anaofanya ground ni mwingi kuliko kawaida yet kwa hao makocha wote amekuwa full time starter kila mechi ,Nina wasiwasi ARTETA na KAI kuna zaidi ya tusilolijua![]()
Chelsea wamekua matapel SanaHahaaaaa ,Toddy mseng€ Sana,yaani Havertz ni wa kuuzwa kwa bei ile kweli ?