Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eti Nketiah kaanza !au Arteta alirusha jezi watakaowahi ndio first eleven?
Tumecheza chini ya kiwango Sana
Au tumemuheshimu mpinzani kupita kiasi

Kipindi Cha pili gwaride ndio linaenda kuanza
 
Hatuna timu ya ubingwa kabisa hata hiyo top four tufanye kazi sana nimekumbuka sana old style football ni 4 4 2 kila mtu afanye kazi yake.

Arteta Kai hatufai tunakua kama hatujatimia yani
 
Back
Top Bottom