Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Taratiibu tutaanza kuelewana kwamba Arteta kwa Havertz kachemsha.

Tunacheza kwa tabu kwa sababu ya mtu mmoja.

Clear chance he misses, poor pass leads to goal.

Huyu jamaa sio wa kuanza! Tunacheza pungufu ndani.. tutaendelea kushinda ila kwa tabu mpaka Arteta atakapokubali ambayo sio leo wala kesho.

After match tusubiri hizo stats zitakazokuja za kumsifia wakati tulioangalia mpira tumeona kama kafikisha pasi 5 mnikosoe.

Halafu Ramsdale ni muda sasa wa kupumzika ampishe mwenzie, kama ni changamoto basi huu ndio muda sahihi.
 
Yan Arsenal ni ile ile sidhani kama kuna mechi tutakuja kushinda hata goli 5+.

Tukiwa nyuma tunacheza mpira mkubwa mno wa kutafuta goli ila tukiwa level kuanzia dakika ya 70 kushuka chini,

Hiki kinatucost sana toka msimu ulioisha.
 
Kai kwa chance aliyokosa inaelekea hayupo sawa kisaikolojia ,makosa kizembe sana kama hayupo uwanjani.
kwa wachezaji wote, ukiwa unacheza under pressure ndo unafanya makosa kama hayo
 
Mmh mechi kama hizi unahitaji nidhamu sana.
Kwangu mimi kai na hata rice bado kuna kitu walitakiwa wajifunze wakiwa nje na wawe wanaingia taratibu.

Jesus na trossard wakiingia watatupa nguvu zaidi ya kushambulia,vieira ataleta akili kwenye game.

Joginho?
 
Mmh mechi kama hizi unahitaji nidhamu sana.
Kwangu mimi kai na hata rice bado kuna kitu walitakiwa wajifunze wakiwa nje na wawe wanaingia taratibu.

Jesus na trossard wakiingia watatupa nguvu zaidi ya kushambulia,vieira ataleta akili kwenye game.

Joginho?
Rice ana intercept sana amecheza vzuri sana
 
Back
Top Bottom