Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ongea vya mwsho mwsho...kesho ukishinda niulizwe mm...Hamna timu...mna kikundi cha wakimbiaji
 
Tumefanya usajili wa Kai, tangu Kai yupo Chelsea nilikua nasema hana finishing yeye na wenzake lakini shabiki mwingine anakopi article inayoelezea pros za Kai kuja Arsenal na anaamini ni itawork out hivyo tu bila kuangalia factors zingine
Hivi mkuu kwanini tulimsajili Kai sioni a anachoongeza kwenye timu. Hiyo £65 Million Bora tungesajili RCB au sub ya Saka kuliko huu utumbo
 
FDJ, the most offensive center-back. Huyu jamaa nilichinja kuku dili la kwenda Unyumbuni lilivyobuma. CB yake ni ya kipekee sana.
 
Mbona Tunawachapa bila ya partey, kaa kwa kutulia
 
Unakuta amekomaa kutaja majina ya wachezaj wake Average utazani ndo galacticos wa enzi zile za kina Beckham,Zidane,Carlos,Ronaldo wale tuliowambwaga Shanga UEFA kwa bao la TH14, ndo kina willson, almiron hao
Mara atuletee na takwimu zake za hapa na pale🤠🤠🤠....basi ilimradi tu vurugu nyiiiingiiii
 
Hivi mkuu kwanini tulimsajili Kai sioni a anachoongeza kwenye timu. Hiyo £65 Million Bora tungesajili RCB au sub ya Saka kuliko huu utumbo
Kai ulikua usajili wengi tumeshtukia amefika.

Kama utakumbuka wengi tulidhani namba ya Xhaka atacover Trossard au Emile hakuna aliyejua kocha ana mipango gani.

Binafsi kwakua najua Kai ana skills na ni AM na ndiyo Rice alikua anakuja huku rumours za Partey kuondoka zinapamba moto nilifikiri Arteta anataka 4 3 3 ambayo 3 ya mid itakua na DM Rice kisha AM Kai na AM Odegaard.

Ila game ya city nikaona kamuweka CF na hizi nyingine kama mid so bado sioni idea ya kocha ameona jamaa ana strength zipi kiuchezaji na ana mpango upi tena
 
Uwe unaelewa.

Ili Rice na Kai wapangwe inabidi Partey awe RB na White awe CB na Gabriel awe benchi.

DM kucheza beki ni jambo la kawaida mno kama ndiyo kwanza unaona kwa Arteta basi subiri
Unazingua ... kai akianza siyo lazima partey acheze RB.. Uliicheki game na city
 
Flano Yuko wapi aje kumjaza ujinga jamaa yake
jana nilikua na ndugu yangu Masingeli kwenye jukwaa la Man Utd tukitambiana kuhusu mechi ya jumapili, nilimuahidi Masingeli jumapili tukimfunga Arsenyo atafute kabisa sehemu ya kujificha maana tutampiga mande mashabiki wa Utd pamoja na mashabiki wa Arsenyo waliochoka na taarabu zake

Leo asubuhi nikaamkia humu kutest mitambo kama kuna sehemu yoyote ina loose connection, aiseeeee nilichokutana nacho humu Masingeli aombe tu kesho apate walau hata draw la sivyo atafute chimbo kabisa la kujificha kwa miezi isiyopungua mitatu
 
Lugha gani tena hizi wazee
tumia lugha ya mpira .....
 
Hakuna ukweli sana juu ya hili. Jamaa alikuwepo jana na leo mazoezini.
Ngoja tusubiri club statement tu-confirm hizi taarifa.
 
Labyrinth 84 team yako niaje?ndio one season wonder au

Leo sio siri huyu De Zerbi katudhalilisha si kwa mpira ule yaani wakiwa na mpira ni hatariii wasipokua nao ndo hatariii zaidi tulikua tunatembea tu uwanjani huyu sasa ndo Genius si huyu ndezi wenu Arteta. Leo nimenyosha mikono kwa De Zerbi team unaiona inavyocheza hakuna pengo la caicedo sijui trossard sijui nan ni compelete team.

Kuhusu kipigo hizi game 4 zilikuwa hatarii hata kabla league haijaanza niliona ni ngumu na zimekua ngumu kweli.

We move forward!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…